Heisenberg blue meth
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,310
- 1,633
si ndiyo siku ile alikutokea Licud tanga asubuhi akikwambia amekupenda na utoke hotel fulani hapo Dom na usipofanya hivyo ataenda chukua bibi wa wili alale nao usiku huo. wewe ukashadadia kuwa huo ni mtongozo wa nguvu kumbe ukaenda.....ukaona na ujinga wenyewe na uishe. lakini hukuliwa kimasihara bali mlilana kimasihara maana na ninyi mna haki ya kupata mkitakacho na mtakapo.Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho
Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara
Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba
Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara
Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF
Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
Bonge umerudi?
Mnabaki kuwa wapenzi watazamaji na wasomajiUzi kwa ambao hatujawahi kula tunda kimasihara tunakomenti wapi wakuu !!!
HahahhahahhaaaaaahahahahahaahhahhaahajahhahajahhBonge umerudi?
Wewe dogo upo?Unanikimbia eeeeh
Zabibu zipo lakini tayari zimeiva. Ninaomba nikutumie Hela unitumie za 20k hapa ARUSHA demissHombolo
Mkuu umefufuka?!Ndiyo nimerud kuna mtu anateseka kwani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kimasihara haipangwi my[emoji23]
Ndio my wangu, nilikutumia kadi ya mwaliko kwa Sanduku lako la posta naona bado haijakufikia hadi leo hiiMy kumbe umeoa? Eeeh wanaumee[emoji119]
Nmevutiwa na kile kipini cha puani best.Ndiyo nimerud kuna mtu anateseka kwani
Mtu mwenye akili timamu atapeliwe kwa lipi kwamba mimi ni yule wa ile hela tuma hapa au!Ww utakuwa dume unataka kutapeli watu hapa
WekaSi uko DM. Au niweke wazi chatting zangu nawe nilizozifanya kwa id nyingine!? Utaaibika
Dar uliliwa kimasihara na 7800 juu, bado tena na dom ukaenda kuliwa kimasihara...duhKuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho
Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara
Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba
Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara
Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF
Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
Mbinu yako ya Kutangaza Biashara nimeipenda, unaoneka ni mbunifu sana ata kwenye suala la mapenzi unaoneka nimbunifu!! nakuja PMIlikuwa kimasihara, sirudii tena mamii!