mmoja nshakutana nae..ana masters..ckuelewa kwanini yuko kwenye Mambo..japo selection za wateja wake ni hatari...
Ni kazi ambayo unapata hela kwa muda mfupi sana ndani ya masaa mawili ameshakunja kitita , akiwa na wateja wake watano wa weekend tuuh hakosi 200K weekend na hapo bado bills zote wanaume wanamlipia ( vinywaji chakula )
 
Kwani una umri gani mkuu?,anyway muombe ruhusa mkeo uende
 

Halafu umaskini ukiwepo watu wanasingizia serikari Kumbe wakati waujana walikuwa wanaponda Mali
 
Mzee kwa hii story bila shaka umenilia demu wangu *****, kila kitu on the line, https://jamii.app/JFUserGuide you.
 
Mzee kwa hii story bila shaka umenilia demu wangu *****, kila kitu on the line, JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala you.
Mkuu i am sorry story nimeikode kidogo aisee kama kuna kitu kama hicho kimetokea kwako Pole ila mimi sio mhusika, anyways lakini ebu taja herufi ya kwanza ya jina la demu , au taja chuo anachosoma , kama details zitafanana nakuomba msamaha alafu nakushauri alafu we uwe shuhuda wa kwanza kwamba kimasihara ipooo….
 
Ndio ukweli malaya wengi sikuhizi wanajificha kwenye kichaka cha nasoma chuo , na sikuhizi malaya wanasafiri mkoa kwa mkoa anaangalia tuu mkoa gani una biashara nzuri
Mtu yeyote anaweza kuwa malaya ila huyu kweli mwanafunzi ila kama ni malaya its another thing. Kumbe ninyi mnadanganyika wanachuo sio malaya? Kusoma chuo na kuwa malaya ni vitu viwili tofauti. Mgekuja enzi za 5N pale pemben ya mlimani city mgeona wana ud wanavyojiuza mngeelewa. Yan kumbe ndio mana watu wanadondoka kama kuku akisema mwanachuo mnajua sio malaya daaah, hata aseme katoka mbinguni jana vaa condom aisee…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…