Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Initial "S" Mzumbe.
[emoji3][emoji3] Wewe ndo ulikua unasafisha geto la dem kumbe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Initial "S" Mzumbe.
Mkuu tuendelee kupambana tu , maisha ndio haya haya tupige kazi mkuu daah….
Duh hatari sana nimeamini jf ina watu wengi sana aise. Jamaa kaliwa demu wake na kaja kutangazwa sijui ataendelea au atapiga chini.Mwamba umedakwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah wakuu si mnasemaga chai ninyi . Au nasema uongo ?Mwamba umedakwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu me sio wa kulaumiwa… lawama zote kwa Ricky boy
😂😂😂😂😂 ilikuwa chai bwana…Mzee baba mwenye mali kakubamba.
Hapo ndio ukute mwamba alienda hadi chumvini wakati umetoka kumla.
Mkuu me sio wa kulaumiwa… lawama zote kwa Ricky boy
PoleKuna dem nimehangaika nae karibu miezi 6 natongoza kumbe natongoza malaya mwisho ananiambia nimpe 100 anipe utelezi dadeq mjinj malaya wengi sana
Dah mapenzi, mapenzi, mapenzi.Mkuu tuendelee kupambana tu , maisha ndio haya haya tupige kazi mkuu daah….
Aaah wakuu si mnasemaga chai ninyi . Au nasema uongo ?
Duh hatari sana nimeamini jf ina watu wengi sana aise. Jamaa kaliwa demu wake na kaja kutangazwa sijui ataendelea au atapiga chini.
Usikute jamaa kaenda kumuomba demu wake msamaha, amegongewa alfu anaenda kuomba tena msamaha, ukiangalia story ya jamaa line kwa line unaona kuna viashiria vya mwamba anaendeshwa na demu kias fulaniUshaharibu mahusiano ya watu najua jamaa anakiwasha huko haha.
I am sorry bro…Dah mapenzi, mapenzi, mapenzi.
Daaaah like serious unanilaumu mimi ?
Usikute jamaa kaenda kumuomba demu wake msamaha, amegongewa alfu anaenda kuomba tena msamaha, ukiangalia story ya jamaa line kwa line unaona kuna viashiria vya mwamba anaendeshwa na demu kias fulani
Nyie ndio wachonganish ninyi sa demu anamwendesha kivipi ? Leten visa vingine wakuuUsikute jamaa kaenda kumuomba demu wake msamaha, amegongewa alfu anaenda kuomba tena msamaha, ukiangalia story ya jamaa line kwa line unaona kuna viashiria vya mwamba anaendeshwa na demu kias fulani
Daah we jamaa ni mpambe nux yan daaah unakoleza kuni aiseeKweli bro anapelekeshwa kwanza dem atakuagiza vp ukasafishe room lake? si ufala huo[emoji23]