Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mwaka 2014 nilienda duka la madawa kununua Dawa, sasa kufika nikamkuta dada anauza Dawa ... pharmacist, nikaongea naye pale kuhusu ninavyojisikia, akasema ataniandikia Dawa fulani na pale anazo nitumie then nitampa mrejesho wa maendeleo yangu, ile pharmacy pembeni kuna kama kachumba hivi, nikamuuliza huko ndani hamfanyi vipimo? akasema wapi? huko chumbani? akawa kama anaendamo huko chumbani na ananielezea kazi ya hicho chumba mm nikaona niingie kabisa hadi kwenye kachumba hako, ile nimeingia tu, nikamwangalia kwa mahaba sana nikaanza kumshika shika pale kosa lake ni kurespond positively hapo hapo nikamlaza chini humor humor nikala mzigo kiulaini, kuanzia siku hiyo, nikamwelekeza ninapoishi akawa anakuja mwenyewe nikula mzigo, tatizo lake akawa anakuja bila Taarifa nikaamua kumpiga stop, kumbe lengo lake alitaka nimuoe, nikamkatalia na kumpiga stop asije tena kwangu
 
Usikute jamaa kaenda kumuomba demu wake msamaha, amegongewa alfu anaenda kuomba tena msamaha, ukiangalia story ya jamaa line kwa line unaona kuna viashiria vya mwamba anaendeshwa na demu kias fulani

Kweli bro anapelekeshwa kwanza dem atakuagiza vp ukasafishe room lake? si ufala huo[emoji23]
 
Usikute jamaa kaenda kumuomba demu wake msamaha, amegongewa alfu anaenda kuomba tena msamaha, ukiangalia story ya jamaa line kwa line unaona kuna viashiria vya mwamba anaendeshwa na demu kias fulani
Nyie ndio wachonganish ninyi sa demu anamwendesha kivipi ? Leten visa vingine wakuu
 
Back
Top Bottom