Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hahaaaaa, jamaa hakuwa serious anatania bwana. Ni chai hii usije ukaua mtu huko.
Wewe utani wa hivyo mpe moyo tu mwamba lakini code kazi unlock akatajiwa mpaka jina la manzi plus chuo anachosoma ikawa mulemule.

Halafu useme utani ebu kuwa serious bwashee
 
Wewe utani wa hivyo mpe moyo tu mwamba lakini code kazi unlock akatajiwa mpaka jina la manzi plus chuo anachosoma ikawa mulemule.

Halafu useme utani ebu kuwa serious bwashee
Kwani ameoa Sasa ? hata kama anamaindi. Jamaa awe amuache au atulie tuu.
 
Wewe utani wa hivyo mpe moyo tu mwamba lakini code kazi unlock akatajiwa mpaka jina la manzi plus chuo anachosoma ikawa mulemule.

Halafu useme utani ebu kuwa serious bwashee
Na mimi ngoja nifunguke Jinsi nilivyomla kimasihara Mtoto Malkia yule aliyepanda basi la Abood toka Moro to Dar tarehe 1../09/2023 akaingia Dar Saa 4 Usiku.
 
Unaogopa nini mzee hawezi kukupiga hatujuani humu sema atakuheshimu sana. Wewe yako ndo imekuwa kimasikhara hasa
Me wala sikupania mkuu vitu vimejiset automatic vyenyewe ila daah Nimejisikia vibaya sana aisee…ila ajikaze tu me mwenyewe wahuni washanigalagaza sana kwa pisi zangu napiga moyo konde nasonga mbele
 
Back
Top Bottom