Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante.Pole
Hahaaaaa, jamaa hakuwa serious anatania bwana. Ni chai hii usije ukaua mtu huko.Dah mapenzi, mapenzi, mapenzi.
Unaogopa nini mzee hawezi kukupiga hatujuani humu sema atakuheshimu sana. Wewe yako ndo imekuwa kimasikhara hasaWe jamaa unazingua daah… mnamjaza jamaa upepo
Wewe utani wa hivyo mpe moyo tu mwamba lakini code kazi unlock akatajiwa mpaka jina la manzi plus chuo anachosoma ikawa mulemule.Hahaaaaa, jamaa hakuwa serious anatania bwana. Ni chai hii usije ukaua mtu huko.
Kwani ameoa Sasa ? hata kama anamaindi. Jamaa awe amuache au atulie tuu.Wewe utani wa hivyo mpe moyo tu mwamba lakini code kazi unlock akatajiwa mpaka jina la manzi plus chuo anachosoma ikawa mulemule.
Halafu useme utani ebu kuwa serious bwashee
Na mimi ngoja nifunguke Jinsi nilivyomla kimasihara Mtoto Malkia yule aliyepanda basi la Abood toka Moro to Dar tarehe 1../09/2023 akaingia Dar Saa 4 Usiku.Wewe utani wa hivyo mpe moyo tu mwamba lakini code kazi unlock akatajiwa mpaka jina la manzi plus chuo anachosoma ikawa mulemule.
Halafu useme utani ebu kuwa serious bwashee
Me wala sikupania mkuu vitu vimejiset automatic vyenyewe ila daah Nimejisikia vibaya sana aisee…ila ajikaze tu me mwenyewe wahuni washanigalagaza sana kwa pisi zangu napiga moyo konde nasonga mbeleUnaogopa nini mzee hawezi kukupiga hatujuani humu sema atakuheshimu sana. Wewe yako ndo imekuwa kimasikhara hasa
Ila we mhuni unanichekesha sana daaah yan leo mmekuwa kina Jesus Christ sio ?Toka huu uzi uanzishwe miaka hiyo na kutrend sana for the first time jana fumanizi ndio limetokea, haijawahi kutoke hii kitu[emoji23]
Mkuu qangekuja watu wa chai wanisaidie aisee jamaa asije akaua mtuHahaaaaa, jamaa hakuwa serious anatania bwana. Ni chai hii usije ukaua mtu huko.
Nyie jaa bwana ajali kazin me nimestaafu kimasihara kama mambo yenyewe ndio haya….rikiboy uzi wako umesababisha fumanizi tunaomba uje kusimamia hii kesi
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] umegongewa kimasikhara kosa sio lako ni maamuzi yake na viungo vyake na matobo yakeDah mapenzi, mapenzi, mapenzi.
Toka huu uzi uanzishwe miaka hiyo na kutrend sana for the first time jana fumanizi ndio limetokea, haijawahi kutoke hii kitu[emoji23]
We jamaa umenifurahisha sana fanya mpango unipe mawasiliano tu ya uyo mrembo nina safari ya mbeya tuendelee kuikandaMe wala sikupania mkuu vitu vimejiset automatic vyenyewe ila daah Nimejisikia vibaya sana aisee…ila ajikaze tu me mwenyewe wahuni washanigalagaza sana kwa pisi zangu napiga moyo konde nasonga mbele
[emoji23][emoji23]We jamaa umenifurahisha sana fanya mpango unipe mawasiliano tu ya uyo mrembo nina safari ya mbeya tuendelee kuikanda
Sijakuona siku nyingi sana asee!!Abee
Nipo, za kwako?Sijakuona siku nyingi sana asee!!
Ni poa kabisa, sio poa watu kupishana tu mtaani namna hii mkuu!Nipo, za kwako?
Mimi pia sijakuona muda mrefu.