Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kweli bro anapelekeshwa kwanza dem atakuagiza vp ukasafishe room lake? si ufala huo[emoji23]
Key Line
""saa moja jamaake anapiga simu kuwa kamaliza kusafisha gheto lake""

saivi anataka kumpiga chini bwanake sababu pale pale alibadilisha security access ya device zake zote ili awe comfortable with whatever will go on with us.
[emoji16]
 
Key Line
""saa moja jamaake anapiga simu kuwa kamaliza kusafisha gheto lake""

saivi anataka kumpiga chini bwanake sababu pale pale alibadilisha security access ya device zake zote ili awe comfortable with whatever will go on with us.
[emoji16]

[emoji3][emoji3][emoji3] dah dem muhuni kakutana na muhuni kaliwa kihuni, it seems dem ni mjanja kuliko mshikaji na mshkaji hana sauti yoyote kwa dem, inawezekana jamaaa yeye ndo aliomba msamaha kama ulivyosema previous post.
 
Huyu bro

Baada ya Kuhusi anaweza Kuwa manzi yake akatengeneza ID mpya tarehe 08/10/2023

Na akaupata Ukweli kuwa manzi yake kaliwa kimasihara kweli huku yeye msafisha Ghetto akiachwa solemba

Toka Tarehe 09/10/2023 amepotea kabisa huku JF.

Tuzidi Kumuombea huko alipo awe mzima[emoji40]
 
Key Line
""saa moja jamaake anapiga simu kuwa kamaliza kusafisha gheto lake""

saivi anataka kumpiga chini bwanake sababu pale pale alibadilisha security access ya device zake zote ili awe comfortable with whatever will go on with us.
[emoji16]
Wanang kaushen bana mtafanya wagombane aisee mambo mengine yanatokea sisi hatujui…achen kuchochea moto wazee
 
Huyu bro

Baada ya Kuhusi anaweza Kuwa manzi yake akatengeneza ID mpya tarehe 08/10/2023

Na akaupata Ukweli kuwa manzi yake kaliwa kimasihara kweli huku yeye msafisha Ghetto akiachwa solemba

Toka Tarehe 09/10/2023 amepotea kabisa huku JF.

Tuzidi Kumuombea huko alipo awe mzima[emoji40]
Hii nchi ngumu sana kuitawala hii , ona huyu nae sasa aisee nyie jamaa mna dhambi sana, yan kitendo kilichofanyika utasema ni murder case kumbe kila siku mambo kama haya yanatokea sema tu kwasababu unakua hujui ndio unaona kawaida, kama iringa kwenye michezo ya SHIMIWI wake za watu ni halali ya majamaa, tukileta visa apa mnaanza kuunganisha dot mnagombana bora tukaushe
 
Ni kazi ambayo unapata hela kwa muda mfupi sana ndani ya masaa mawili ameshakunja kitita , akiwa na wateja wake watano wa weekend tuuh hakosi 200K weekend na hapo bado bills zote wanaume wanamlipia ( vinywaji chakula )
Na hicho kiungo kukifanyia maintenance sio mchezo mkuu.
 
Back
Top Bottom