Relax mkuu.

Mwenyewe kuna masihara niliandika huku Mwamba alinusa harufu akanifuata PM nikamuweka sawa nadhani bado maisha yanaendelea upande wao
 
Relax mkuu.

Mwenyewe kuna masihara niliandika huku Mwamba alinusa harufu akanifuata PM nikamuweka sawa nadhani bado maisha yanaendelea upande wao
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ noma mwanangu sa tushapasuana i cant undo that na me jamaa sikujua kama anazamaga huku like nimeshastuka juz kati jamaa kanitambulisha kwa mwanamke , mwanamke kaiba namba kwa mshikaji kaja kunitafuta mida mibovu nikimpasua nakausha tu
 
Noma sana aloo, kuna moja hiyo naiwazia mpaka leo. Usipokuwa makini ngwengwe ipo pale inakusubiri, unawaza haka ka chuo sio shida, maniner kumbe bora hawa 30+ tunaoishi nao mtaani.
 
Noma sana aloo, kuna moja hiyo naiwazia mpaka leo. Usipokuwa makini ngwengwe ipo pale inakusubiri, unawaza haka ka chuo sio shida, maniner kumbe bora hawa 30+ tunaoishi nao mtaani.
Mkuu hawa watu hawana fomula kabisaaaa
 
Wakuu kwema humu ndani.

Hivi ushawahi kumla au kuliwa na mpangaji mwenzako ulianzaje na baadae ilikuaje. Mimi kwa upande wangu ilikua ni simple sana coz nilianza kuona viashiria vya kunipenda mara aniongeleshe, mara ajipitishe pitishe na alipenda sana kuvaa kanga moja akiwa nyumbani nyuma kabarikiwa mno yule mtoto [emoji16] ..

Basi bwana kuna siku niliomba namba akanipa baada ya siku moja nikamchek nikamuomba niende kwake tuangalie wote tamthilia nikabeba na mafuta ya massage, kifuatacho nakula hadi leo na ni mtamu balaa[emoji39]. Popote ulipo Shery ukifa huozi na ukioza hunuki sio kwa utamu huu unaonipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…