...na boda naye akala kwa masihara!!!
 
Kma sio makongo juu basi changanyikeni hii!
 

Sasa nmeamini ukimwi hautaisha afrika nchi Kama lesotho umewamaliza sababu ya kutojielewa
Kikubwa tujitahidi kujielewa na tupime afya Mara kwa Mara
 
Mimi ni nani hata niipite hii Katiba bila kutia Neno?
 
[emoji3]
Milenia huko km unaelekea chuo cha afya cha PARADIGMS napaelewa kweli kuna vijichaka kiaina vya kutafunana kimasihara
 
Yani hii hata hujahangaika kuandaa chai umetupa tangawizi tupu mkuu😁 mhh mhhh mhhh
 
Bongo muvi.
 
chai
 
Nimekoswa koswa kuliwa kimasihara na jirani yangu….Mimi ni me, shemeji yenu amesafiri sasa hizi apartment zetu za kupanga kuna kabint jirani ambako mara kwa mara kanakujaga shemeji yake akiwepo(shemeji yenu ana urafiki na dadaake) ……naona baada ya kufahamu shemeji yake amesafiri kakaanza kunitembelea mara hoo Concoo umesahau kufunga mlango…..nkakazuga nkakapotezea …mara ya pili kamenikuta nachek movie seblen kakanishika mabega na kuniangalia kwa macho kamelegeza…….nkazuga nmemaliza kuchek movie nasepa……mara ya tatu kamekuja ndan tuu nkatoka nje nkaanua nguo na kukaambia kuwa me nasepa kakimaliza kalichofuata kafunge mlango nkatoka nje kuwasha gari na kutokomea……nahitaji kujipongeza kwa hili maana kameshika adabu saiz hakana shobo tena …..wana masihara nakaribisha matusi yenu!!!
 
Umeupiga mwingi ni lazima tushinde vishawishi
 
Endelea kujisifia kwa kutuangusha.

Wacha wana masiala wakamle mkeo kimasiala huko aliko ndo akili itakukaa sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…