Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mwenzio aliokota hivohivo, Akapeleka Geto.

Week ya kwanza, ya pili, ya tatu mara mwezi

Mwezi wa kwanza, wa pili, wa tatu akamuamini yule mlupo akawa anamwacha geto anakuta demu kapika,kafua, kadeki.

Mwezi wa nne jamaa yuko zake mishe demu akakodi kirikuu akasomba mazaga yote geto akatokomea kusiko julikana.

Jamaa kufika geto alikutana na mwangwi.
Kwamba mwangwi...akasema hiiiii mwangwi ukajibu tena hiii
 
Mwenzio aliokota hivohivo, Akapeleka Geto.

Week ya kwanza, ya pili, ya tatu mara mwezi

Mwezi wa kwanza, wa pili, wa tatu akamuamini yule mlupo akawa anamwacha geto anakuta demu kapika,kafua, kadeki.

Mwezi wa nne jamaa yuko zake mishe demu akakodi kirikuu akasomba mazaga yote geto akatokomea kusiko julikana.

Jamaa kufika geto alikutana na mwangwi.
Aa asee mwangwi maana yake hakuna hata kijiko
 
Mara nyingi ukimpa mtu msaada zaidi ya asante usipokee chochote kutoka kwake, yamkini akawa si mtu mzuri, ila akaamua kuwa mzuri kwako sababu umemsaidia. With time yanaweza tokea mabaya. Japo pia anaweza kuwa ni mtu mzuri tu genuine.

Please wadogo zetu wa kiume ili kupunguza malalamiko na kataa ndoa humu Jitahidini kuwachunguza vizuri mnaoingia nao katika mahusiano, hili laweza kuwa si kwaajili yako tu hata kwa ajili ya wanao, Yamkini huyo binti leo akapata mimba, atafaa kuwa mama wa wanao?

Sisi tupo hapa mkihitaji washauri siku za usoni.
 
Back
Top Bottom