Well, labda nianze kwa kukuuliza, niongope hapa ili nipate nini? Kuna mashindano hapa kwa atayeandika jinsi alivyokula tunda kimasihara?

Umesoma vizuri lugha na aina ya sentensi?

Hakuna mahali nimeandika kuwa nilishusha chupi, nilichoshusha ni pajama.

Hapo juu umeandika ''arafu'' hii ni lugha wapi au ulimaanisha ''halafu''?
Pia umeandika ''ulio ishusha'' kama ulisoma vizuri darasani hayo sio maneno mawili tofauti, inapaswa kuwa ''ulioishusha''.

Tenga muda na ujifunze lugha ya Kiswahili vizuri, uwezo wetu wa kufikiri na kuelewa mambo unapimwa kwa uwezo wetu wa kuelewa lugha husika.

Asante, uwe na mchana mwema.
 

Vijana wengi wa Kitanzania wana-exposure ndogo sana katika masuala yanayoendelea katika ulimwengu huu na wengine hata mambo ya mtaani kwao tu.
Kuna watu wanadhani kwa kuwa kitu hajawahi kukiona yeye kikifanyika basi hiko kitu hakiwezekani.
Haya masuala ya ''threesome'' kwa sasa yanafanyika sana tena na watu hawa hawa tunaoishi nao mitaani.

Ndugu utapoteza nguvu zako kuanza kuwaeleza na kuwafafanulia.
 

Mwamba anaamini lisilowezekana kwake basi dunia mzima haliwezekani pia.

Haya bwana ngoja niwaache tu.
 
Hahahahaha jamaa kazingua hao wa masihara sio marafiki ni wale unaikuta ghafla na mawazo nae huna😎
Binti akishakuwa rafiki jua umeshapoteza asilimia 70 za kumgegeda.
Miaka ile kuna binti mmoja nilimfanya rafiki, anaweza kuja chumbani kwangu akalala na chupi tu, na nikiomba mzigo hanipi ataishia kunizingua tu. Wakati mwingine wewe unatengeneza urafiki anatokea mwamba anakula mzigo kiulaini kabisa. Kula tunda kwanza urafiki uje baadaye.
 
Naked truth
 
mkuu achana naye huyo jamaa ndio wale wale kina Pa-tigoo wanaona wivu mabaharia kula matunda kimasihara wakat wao hawajawah kugonga mbuye bila kuhonga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acronym nimependa sana story yako...Naahidi kuwapenda,kuwatunza na kuwalinda wazazi wangu hadi siku ya mwisho.
Kila la kheri ndugu yangu, wazazi wako wakifurahi na wakaishi vyema siku zao za uzeeni hapa duniani ni jambo jema sana.
Achana na hawa wanafiki wa dini halafu hata hawajui wazazi wao wamkula nini huko vijijini.
 
natuamaina amejifunza kitu hatorudia😂😂😂😂😂😂😂
 
kwakweli tembea uyaone mambo ni mengi mno pale unapodhani umeyaona yote 😎 😎 😎
 
Du yaani mazali kama hayo nikipata romantic wa hivyo lazima niweke ndani ...!! Kbs wanawake wengi sio romatic kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…