Na wanapuliza mbele za wakubwa, na hawana wasi wasi.
Wanafumia boli zao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtoto alipuliza iliyotumika huku manii za kidume zikiwa full, kwa bahati mbaya akamlipukia mtoto mwingine usoni kichwa chote kikawa cheupe cha lowasa kina uafadhali.
Tuzitupe tunapomaliza kuufanyia kazi utu uzima.
 
'First year warahisi sana.

Upo zako campus chuoni huna hili wala lile, mara unaona kadada karembo kanakusogelea bila aibu kanakusalimia; 'Mambooo, za wewe...' unakajibu; 'Poa.'

Kanaendelea; 'Jamani naomba uwe kaka yangu wa chuo mimi mgeni kabisa huku sijapazoea.'
Unashtuka, unakosa cha kumjibu. Unajiuliza mbona ghafla hivi? Amejuaje mimi sio first year? Unaamua umuulize na yeye; 'Umejuaje mimi ni continous?'

'Nimeona umevaa ID ya chuo, sisi first year bado hatujapata.' Unaona kama huyu anakuchora tu, unamuuliza; 'Kwani umekosa rafiki wa kike awe dada wa chuo?' Anakujibu 'Ninae, lakini nataka wa kiume pia, there's just a different vibe, nataka the full college experience' viingereza vingi.

Basi kimzaha mzaha mnaanza kufahamiana hapo, si unajua zile unaitwa nani, course gani, umetokea shule gani, hivyo.
Kakaomba namba muwe tunawasiliana, unakapatia.

Siku kadhaa zinapita, kanakuuliza unakaa wapi? Kenyewe kanakaa hostel, wewe ulishakaambia una kaa nje. Unajaribu kukaelekeza. Kanakuambia kanataka kukusindikiza kakapaone. Unakubali, unaenda nako.

Mnafika geto, kanaoashangaa shangaa, kanabaki kuuliza uliza maswali 'hii shingapi', 'umeipatia wapi' muda unaenda, unakaonea huruma, unawaza hata hivyo kula kirahisi rahisi hivyo haiwezekani....

Siku moja mpo chuo, kanakuambia ukape funguo kakalale geto, kamegombana na wenzake huko hostel hakataki kwenda. Unakapa. Baadae kidogo unarudi geto, unakakuta kamefanya usafi, kamepika. Unashangaa.

'Vipi tena mbona umepika?' unakauliza. 'Kwani ni vibaya jamani?' kanakujibu. 'Hamna, sikutegemea tu.' unaongezea. 'Yaani unanichukulia nina roho mbaya hivyo kweli, nikae tu hapa bila kusaidia chochote.' kanalalamika. 'Sijakuzoea hivyo' unakaambia.

'Hicho ni kidogo tu kulipia the kindness you've shown me these few weeks.' Unakajibu; 'Kawaida tu.' 'Mimi sio stranger tena kwako, usinitreat hivyo.' kanasema.

Hapo mmekaa kitandani, katoto kanakulegezea macho balaa, unaona hapa leo sichomoi unakauliza 'Sasa unataka nikutreat vipi?' Chap, hako kanakuwahi kanakubusu, unaona usiwe mshamba, unakala mate.

Unapeleka mikono kwenye sehemu muhimu, unamshika shika chini na kumtomasa matiti, mtoto anaanza kuguna taratibu. Unambusu busu shingoni kisha unamsukumia kitandani.

Haraka unaenda kufunga mlango na ufunguo, kisha unachukua zana ukamalize kazi.'



Alihadithia jamaa mmoja kijiweni kwetu. Mimi naona ni chai, vipi nyie wadau?
 
Nilimpata dada fulani hivi "Mmakua" Jmn , yule dada ni fundi nyie alikua hachoshi na tendo analijua haswa sio masikhara. Yule dada alikua anakaa jirani na nyumban kwetu basi ikawa kila ndugu zake wakiondoka asubuhi mm napita njia za panya naenda kula Tunda .

Bahati mby simu yangu niliivunjaga na namba yake nilipoteza niliumia sana , asingekua kashazalishwa yule mm ningemuweka ndani tu .
Mi Kuna Moja naichakata Toka Kilwa Pande maeneo ya Lihimalyao huko, ni moto wa kuotea mb
 
Boya mmoja tu, ngoja ufe.
 
We mtinda nyuzi na mpaka 💋💄👄💏 unanitukana sio. Wiki ijayo nakuja mbeya, nitakutufauta hapo CUcom unaposemea Upishi.

Dada yako wa Mbeya aliniambukiza Gono yule mmasai na lile Pengo lake. 😀😀😀😀
Choka mbaya tu huwezi kulipia king'asti kizuri unaokota wamama mtaani.
 
Mwaka huu zimenitokea mara mbili.

1.Ilikua mwezi april nipo katika harakati zangu za kurudi nyumbani,nikadaka daladala mara nikapata siti nilikaa na mdada mmoja hivi alikua simple hivi amenyoa low cut anaongea na simu kwa sauti ya chini lakini ikionekana anazozana na mtu.

Mara akasonya akaweka simu kwenye mapaja yake kisha akaegamia kiti,ukweli sikua na time nae mara akanishtua kwa salama "kaka habari,samahani naomba uniazime simu yako nipige yangu imezima" ilikua mfululizo bila hata kujibu nikampa kitochi akapiga bado akawa anazozana na yule mtu muda huo niliweza kusikia sauti ya kiume upande wa pili japo sikujua maongezi yao. Lakini dada alionekana akilalamikia jamaa anamtukana bila sababu na wala hajauliza kwanini amechelewa kwenda kwake.

Baada ya pale ni kama mchizi alisusa akakata simu na manzi kila alipopiga hakupokea,,mpaka tunafika mbagala Zakhem. Yule dada alionekana kama mtu anayewaza kitu muda huo tayari nishachukua simu yangu ile nataka kushuka jamaa yake anapiga ikabidi nimpe simu akapokea nikasikia tu anasema "sawa,umeshinda baba" akakat simu akanipa.

Muda huo gari imeshavuka Dar live binafsi nilikua na lengo nishuke Zakhem ili nicheki samaki kabla sijashuka tena kwa mara ya pili yule jamaa akawa anapiga tena nikamwambia dada mwambie mtu wako mi nashuka atafute namna nyingine ya kuwasiliana huku nikiwa tayari nimesimama yule dada na yeye akasimama tukashuka wote lakini mazungumzo yao yaliishia na mwanamke kusema asnte huku machozi yakimlenga.

Kufupisha stori kumbe yule manzi alikua mjamzito wa mwezi 1 na jamaa alikua haitaki ile mimba maana ana familia yake huku demu anafosi hataki kuchomoa na muda ule alikua ametoka kibaha kwa mathias na walikubaliana aende kwa jamaa tangu asubuhi ili wakubaliane ndo mambo yakawa mengi demu alichelewa na mchizi alikua ameshaondoka kwenda kazi(mfanyakazi wa Azam mwandege).

Muda ulikua saa 1 kasoro jioni nikamwambia kutokana hali yako twende nyumbani ukapumzike kesho utarudi kwenu au kukutana nae manzi alikubali tukaenda home (honestly sikua na lengo lolote baya ni ilikuja kama huruma na alionyesha hakuwa saw). Tumefika home nimepika pale wali samaki nikambembeleza tumekula then nimauonesha bafu nikamwambia wewe lala chumbani mimi nitalala sebuleni akasema sawa. Asubuhi saa 11 nimeamka nikamgongea nikaingia bafuni(maana lipo chumbani) nikaoga sasa nikawa nataka kusepa na yeye alionekana bado hana nia ya kuondoka asubuhi ile mtihani ukawa je niondoke nimuache?.

Manzi aligundua ile hali akaniambia kaka naomba nikae hadi saa 4 ndo niende chukua Kitambulisho changu hiki nakuahidi kama kuna kitu kitapotea utanipata muda huo jamaa yake anapiga sana simu ila hapokei,nikasema poa(hapo nilicheza kamari) tukabadilishana namba nikasepa nikamuelekeza na pakuweka funguo basi saa 5 nikaona kimya nikamcheki akaniambia bado yupo nikaguna nikasema poa,,saa 7 mchana akaniuliza narudi saa ngapi nikamwambia saa 11 jioni akasema sawa nakusubiri nikukabidhi chumba chako basi nikarejea nikamkuta bibie kashapika kafanya usafi wa nguvu sana. Nikala msosi na baada ya stori ila alionekana bado hana ratiba ya kusepa sikumuuliza akaniambia tu ameamua kumuacha jamaa aendelee na mambo yake na yeye atalea mimba kimpango wake nikamtia moyo na kumpa pole lakini kadri ya maongezi yalivyoenda ndipo tulijikuta ukaribu unazidi na ulipofika muda wa kulala niliingia ndani nichukue shuka alikuja akaniambia usijali leo tutalala wote kitanda kimoja. Sikushtuka nikasema okay tukaingia kulala and the rest ni sauti za mahaba alikaa 5 days pika pakua akaondoka zake mpaka sasa yuko na kitumbo lakini karudi kwao huko shinyanga. Ukweli nili enjoy sana yule dada alikua msafi mchangamfu na mnyumbulifu mno ilikua good test kupiga mjamzito.

2.Mpangaji mwenzangu chumba cha pili mdada miaka 38 anaishi mwenyewe hana mume ila sijui kama ana mtoto au la. Hapa tunapoishi hakuna aliye na familia wote ni masela siku hiyo wiki iliyoisha nimeamka kwenye saa 3 asubuhi nikawa nimetoka nje sasa nilizoea siku za kazi unaweza jikuta siku nzima nyumba nzima unakaa peke yako so nilitoka tu na boksa mpaka nje nia ilikua nikachukue taulo nililokua nimefua jana.

Hamadi nakutana na jirani anafua na yeye kajifunga kanga tu na alivyo na umbo kubwa lilimchora mapaja wazi ,dah na mimi nina kiboksa ilikua soo sana. Macho yaligongana niakarudi ndani upesi nikavaa bukta na vest nikatoka ,nikamsalimu lakini alionekana kama na aibu hivi. Nikachukua taulo nikaingia ndani ila roho ya uchu ilinijia nikaamua na mimi kutoa nguo chache nikafue pale pale.

Basi nikatoka nje nikaanza kufua tukiwa beneti lakini macho yangu hayakutulia tunagongana huku namwangalia sana mapaja yake,jirani aligundua hilo akaamua kuinuka kuingia ndani nikaona katoka kajifunga na kanga nyingine kiunoni ukiachana na ile aliyokua amejifunga shingoni basi nikaona jau nikafua fasta nguo zipe chache (suruali 3 na T shirt 5) nikaanika nikasepa.

Nimekaa ndani roho ya uchuku imenikamata ,ikabidi nitoke nje nikakuta anaanika ,huwezi amini matukio yote hayo hatukuongeleshana zaisi ya salamu😁. Basi kucheki time saa 6 mchana nikawa najiuliza nianzaje na upwiru umenishika mara mlango wangu unagongwa kufungua yeye akanipa karatasi yangu niliacha wakati nafua nilitoa mfukoni. "Asante" hapo akaniuliza utakula ugali ? Nikamwambia ndio je, umeshanunua mboga akasema ndio mchicha na njegere. Nikamwambia ngoja nikacheki samaki hapo akasema sawa.

Fasta nikaenda nunua samaki mkubwa badala ya dagaa😁 nilitumia kama saa hivi maana walikua bado hawaja kaanga nimerudi nimekuta na yeye ananisubiri akaniambia ingia ndani (kwake) tule pamoja ,bila hiyana nikazama na ndo ilikua kwa mara ya kwanza naingia kwake tumekula msosi tukaanza piga stori nyingi hapo ndo tukafahamiana huku akinuliza kwanini sina mke nikamjibu mauongo na yeye akasema yake pale kua devorced na mume wake na bla bla kibao nikaanza msifia pale tulikaa kama masaa 3 hivi kushtuka saa 10 jioni tukabadilishana namba za simu nikaaga nikasepa kabisa home.

Saa 3 usiku nikamtext nimletee nini maana narejea akasema chochote na emoji za tabasam ,basi nikanunua korosho nikarudi nazo namkabidhi akaniambia niingie ndani nile msosi na hapo ndo sikutoka mpaka kesho mchana 😁,kiufupi hata yeye alikua na upwiru jamaani wazee sijui kwanini ila wadada watu wazima wana test ta kipekee sana kwenye mapenzi. Nimeshapiga mara 2 tangu hiyo siku changamoto sasa siko huru tena kama mwanzo japo na yeye ameniambia najua nina mahusiano yangu so hana shida maana na yeye ana yake japo jamaa yake hajawahi kuja pale.


Pole ndefu ,nimekuchosha
 
Safi sana mkuu
 
Nilikapata kamoja jana aisee mpaka nilikojowa povu maana shahwa zote kwisha kwenye mbupuz.
Hv ww na huyo mshamba hachekwina undugu maana hamko serious kabisa, aisee mnaniacha hoi sana.... Mara useme una kibamia, Leo Tena unadai ulipiga paipu mpaka shahawer zilikata kwenye mbupu...

Sasa huyo jamaa Ako mshamba hachekwi daily anapata tags za mambo ya upinde kutoka kwa bichws komwe but mshikaji hamaind yupo comfortable kabisa..... Nyie mnaniacha hoi sana.
 
Haya ya mshamba mie sipo....yangu ni ya kweli mwanawane. Kibamia ninavho kweli ila nimekuja kugundua ukipiga gym na ukakimbia aisee kibamia kina function vizuri kabisa ndio hivyo unajikuta kibamia kinaenda mwendo mrefu mwisho unakojowaa upepo
 
Unyama sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…