Namfaham.hapa Dar alikuaa ananizungusha zungusha mchez
Sasa mkuu wewe ndio shida na wala sio huyu bibie...... Jibu unalo kabisa kua alikua anakuzungusha kuhusu mchezo,unashindwa kujiongeza kua hataki kukupa Apple,nyie mmetuchosha kabisa,kwani kila siku tunawapa mbinu humu lakini hamtilii maanani....... Mbona kaka zenu hatukua hivyo?
 
Wenye experience zao 🀣🀣🀣
 
Maybe ni ghafla au alipamiss dar πŸ˜ƒ
But jifunze kutake easily itakusaidia usipate kisukari mapema samehe ona ni kawaida tafuta solution
Sisi wanaume wa hovyo chini ya uongozi uliotukuka wa kiongozi wetu mkuu mzabzab na msaidizi wake mwaminifu mkuu realMamy tumekubaliana kwa kauli moja mwamba achomeke bluetuth kwenye tundu lingine lolote lililo karibu naye. mwisho wa nukuu.
 
Wewe ndiyo huna akili.. unakubali kuchezewa
 
Usihuzunike si ajabu ukakuta kuna mwamba umemletea na hiyohiyo VVIP, lakini pia usihuzunike sana kuna mwenzako huwa hamkatiagi basi ana take flight. "Jipige kifua mara tatu sema mimi ni mpumbavu, ningemtumia mama angenibariki mpaka kufa kwangu"
 
Kwan period anakaa nayo mwez mzima...akae dar mpaka period iishe
 
Acha uongoo fazaaaa
 
Usihuzunike si ajabu ukakuta kuna mwamba umemletea na hiyohiyo VVIP, lakini pia usihuzunike sana kuna mwenzako huwa hamkatiagi basi ana take flight. "Jipige kifua mara tatu sema mimi ni mpumbavu, ningemtumia mama angenibariki mpaka kufa kwangu"
True
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…