alikuja bila kujua kwamb kutoa k mpk kumpenda?au hajakupenda 😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alikuja bila kujua kwamb kutoa k mpk kumpenda?au hajakupenda 😅😅😅
Manzi nawe umezingua, pisi zote hizi mjini?Bado namfikiria hii kiufundi ni hasara mtoto wa kike lazma ajujue anapoenda kwa mwanaume anaenda kufuata nini
Sasa mkuu wewe ndio shida na wala sio huyu bibie...... Jibu unalo kabisa kua alikua anakuzungusha kuhusu mchezo,unashindwa kujiongeza kua hataki kukupa Apple,nyie mmetuchosha kabisa,kwani kila siku tunawapa mbinu humu lakini hamtilii maanani....... Mbona kaka zenu hatukua hivyo?Namfaham.hapa Dar alikuaa ananizungusha zungusha mchez
Wenye experience zao 🤣🤣🤣Ilitakiwa amwambie ukweli kwamba akija kita “happen” ili yule ajue kabisa apangilie siku ambayo haikaribii period.
Sasa anamuacha mtu aje tu hajasem chochote. Wenzake kabla ya kutuma nauli huwa wanahakikisha mwanamke karidhia kutoa papuchi na akituma nauli tu hapo hapo sexting zinaanza utasikia “enhe babe niambie utanipa style gani😂😂😂” yaani mtoto mpaka anafika chupi imelowa.
Sisi wanaume wa hovyo chini ya uongozi uliotukuka wa kiongozi wetu mkuu mzabzab na msaidizi wake mwaminifu mkuu realMamy tumekubaliana kwa kauli moja mwamba achomeke bluetuth kwenye tundu lingine lolote lililo karibu naye. mwisho wa nukuu.Maybe ni ghafla au alipamiss dar 😃
But jifunze kutake easily itakusaidia usipate kisukari mapema samehe ona ni kawaida tafuta solution
Wewe ndiyo huna akili.. unakubali kuchezewaUkiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli tena ya gari VIP,umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period
Nauli nimelipa Vip kwenda na kurudi tu kaki 2 na nusu inakatika na matumizi mengine laki 5 ila kwa alichokifanya siwezi.mrudisha na VIP atarudi na Zuberi no way tusipeane hasara
Na kuna watu wanasema eti sikumwmabia kuwa nahitaji hilo tendo.. hivi uwasiliane na mwanamke tena aseme nimnunulie shanga kabisa na kachagua kabisa rangi ya shanga na kakubali kabisa ntamvalisha wakati wa Tendo bado mnasema alikuwa hajui kafuata nini
Usihuzunike si ajabu ukakuta kuna mwamba umemletea na hiyohiyo VVIP, lakini pia usihuzunike sana kuna mwenzako huwa hamkatiagi basi ana take flight. "Jipige kifua mara tatu sema mimi ni mpumbavu, ningemtumia mama angenibariki mpaka kufa kwangu"Ukiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli tena ya gari VIP,umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period
Nauli nimelipa Vip kwenda na kurudi tu kaki 2 na nusu inakatika na matumizi mengine laki 5 ila kwa alichokifanya siwezi.mrudisha na VIP atarudi na Zuberi no way tusipeane hasara
Na kuna watu wanasema eti sikumwmabia kuwa nahitaji hilo tendo.. hivi uwasiliane na mwanamke tena aseme nimnunulie shanga kabisa na kachagua kabisa rangi ya shanga na kakubali kabisa ntamvalisha wakati wa Tendo bado mnasema alikuwa hajui kafuata nini
Mixx by Nyashmixx by yas ya kazi gani ?
🤣Ajiandae kupangua hoja kwa CAG.Kikaguzi hapo fedha uliyobajetia uweke kwenye Devo fund umetumia kulipia deni la mwaka wa fedha uliopita......kihasibu haijakaa sawa na utapata hoj
maswali mengine ya kizembe sana. mwisho wa nukuu.mixx by yas ya kazi gani ?
Aseee pole Sana! Hizo shanga sasa inabidi uzivae wewe maana umefanya miscalculation...Alikuwa anajua hadi shanga nimenunua na nikamwambia nitamvaliasha wakati wa tendo na akachagua hadi rangi ya shanga hujiongezi.hapo
Amekua manipulated kishamba sana.. 😃😃Aseee pole Sana! Hizo shanga sasa inabidi uzivae wewe maana umefanya miscalculation...
*****!! Ng'ombe kapata mkamuliwajienhe babe niambie utanipa style gani😂😂😂” yaani mtoto mpaka anafika chupi imelowa.
Kwan period anakaa nayo mwez mzima...akae dar mpaka period iisheUkiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli tena ya gari VIP,umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period
Nauli nimelipa Vip kwenda na kurudi tu kaki 2 na nusu inakatika na matumizi mengine laki 5 ila kwa alichokifanya siwezi.mrudisha na VIP atarudi na Zuberi no way tusipeane hasara
Na kuna watu wanasema eti sikumwmabia kuwa nahitaji hilo tendo.. hivi uwasiliane na mwanamke tena aseme nimnunulie shanga kabisa na kachagua kabisa rangi ya shanga na kakubali kabisa ntamvalisha wakati wa Tendo bado mnasema alikuwa hajui kafuata nini
Acha uongoo fazaaaaUkiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli tena ya gari VIP,umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period
Nauli nimelipa Vip kwenda na kurudi tu kaki 2 na nusu inakatika na matumizi mengine laki 5 ila kwa alichokifanya siwezi.mrudisha na VIP atarudi na Zuberi no way tusipeane hasara
Na kuna watu wanasema eti sikumwmabia kuwa nahitaji hilo tendo.. hivi uwasiliane na mwanamke tena aseme nimnunulie shanga kabisa na kachagua kabisa rangi ya shanga na kakubali kabisa ntamvalisha wakati wa Tendo bado mnasema alikuwa hajui kafuata nini
TrueUsihuzunike si ajabu ukakuta kuna mwamba umemletea na hiyohiyo VVIP, lakini pia usihuzunike sana kuna mwenzako huwa hamkatiagi basi ana take flight. "Jipige kifua mara tatu sema mimi ni mpumbavu, ningemtumia mama angenibariki mpaka kufa kwangu"