Tumeongea kwa uchungu mno😂
 
Kwema wakuu
Kuna demu nimemtongoza mtaani akakubali. Kama wiki imepita nikapewa mzigo ila nilivaa kondomu na haikupasuka. Cha kushangaza kama baada ya siku mbili nikaanza kuumwa na homa kali. Sasa najiuliza ni ngoma au uti maana demu simwelewi ni mwembamba sana
 
Nenda hospital kapime, jf hawapimi wagonjwa
 
Inaonekana mpira hukuvaa huyo ni "mfalanyaki" aka ngwengwe
 
Mawazo yako na hofu yako ndio itakuua,ninavyojua mimi baada ya wiki mbili reaction ya virus ndio huonekana,hayo ni mambo mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…