Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Ukiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli tena ya gari VIP,umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo

Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period

Nauli nimelipa Vip kwenda na kurudi tu kaki 2 na nusu inakatika na matumizi mengine laki 5 ila kwa alichokifanya siwezi.mrudisha na VIP atarudi na Zuberi no way tusipeane hasara

Na kuna watu wanasema eti sikumwmabia kuwa nahitaji hilo tendo.. hivi uwasiliane na mwanamke tena aseme nimnunulie shanga kabisa na kachagua kabisa rangi ya shanga na kakubali kabisa ntamvalisha wakati wa Tendo bado mnasema alikuwa hajui kafuata nini
Tumeongea kwa uchungu mno😂
 
Kwema wakuu
Kuna demu nimemtongoza mtaani akakubali. Kama wiki imepita nikapewa mzigo ila nilivaa kondomu na haikupasuka. Cha kushangaza kama baada ya siku mbili nikaanza kuumwa na homa kali. Sasa najiuliza ni ngoma au uti maana demu simwelewi ni mwembamba sana
 
Kwema wakuu
Kuna demu nimemtongoza mtaani akakubali. Kama wiki imepita nikapewa mzigo ila nilivaa kondomu na haikupasuka. Cha kushangaza kama baada ya siku mbili nikaanza kuumwa na homa kali. Sasa najiuliza ni ngoma au uti maana demu simwelewi ni mwembamba sana
Nenda hospital kapime, jf hawapimi wagonjwa
 
Kwema wakuu
Kuna demu nimemtongoza mtaani akakubali. Kama wiki imepita nikapewa mzigo ila nilivaa kondomu na haikupasuka. Cha kushangaza kama baada ya siku mbili nikaanza kuumwa na homa kali. Sasa najiuliza ni ngoma au uti maana demu simwelewi ni mwembamba sana
Inaonekana mpira hukuvaa huyo ni "mfalanyaki" aka ngwengwe
 
Kwema wakuu
Kuna demu nimemtongoza mtaani akakubali. Kama wiki imepita nikapewa mzigo ila nilivaa kondomu na haikupasuka. Cha kushangaza kama baada ya siku mbili nikaanza kuumwa na homa kali. Sasa najiuliza ni ngoma au uti maana demu simwelewi ni mwembamba sana
Mawazo yako na hofu yako ndio itakuua,ninavyojua mimi baada ya wiki mbili reaction ya virus ndio huonekana,hayo ni mambo mengine
 
Back
Top Bottom