Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hii pisi ya chuga pisi kali kinoma nikawa naiheshim kumbe nilikuwa nachelewa chelewa mwenyewe😭😭😭
Screenshot_20250216-094854.jpg
 
Mi namshukuru Mungu nimejua hili ingali mi bado kijana mbichi sana namshukuru mwenyezi Mungu kwa kunipa haya maarifa maana yatanisaidia niwe na msimamo thabiti wa kukaa mbali na ndoa

Acha wadau waendelee kushusha visa
Usije ukajaribu,kwa umri wangu na niliyoyaona usijaribu kabisa ndoa,kesho naenda Morogoro kikazi ila kuna mke wa mtu naenda kumchapa pia
 
Back
Top Bottom