Kirusi kimeondoka tuendelee na uzi!!
Mwaka fulani nikiwa likizo ya semester ya kwanza,mida ya saa 10 hivi jioni nlikuwa nmejipumzisha tu barazani kwetu,nikitafakari matokeo yatatokaje ukizingatia niliharibu baadhi ya courses,basi nikaona binti wa kipare mweupe sana pale mgeni machoni kwangu anajipitisha pitisha pale, mara aende arudi, aingie ndani kwao atoke huku anajiongelesha na simu muda mrefu na vipozi vya ki kike kike, na kwenye mazungumzo yake alikuwa akichanganya kipare na kiswahili(kwa bahati nzuri naelewa pia kipare) basi kati ya maongezi yake akasema kwa kiswahili "yaani wote wameolewa bado mimi tu M** sijui nina mkosi gani".
Basi sikumtilia maanani sana huyo binti, akapita dada flani wa pale mtaani anaitwa G,dada flani hivi msela sana, anapiga sana mmea,ni aina ya wale madem ambao campany yao ni washkaji tu ila mimi sikuwa na mazoea nae sanaaa,basi akanisalimia akaja pale nlipokuwa nmekaa barazani story mbili tatu wote tukimtizama huyu mtoto M***, akaniuliza "hivi chinedu huyu manzi unajua anakutaka"?nkacheka nkamwambia haiwezekani akasema "wewe mtizame tu macho yake na kwa muda huu uliokaa apa amekuwa anaingia ndani anabadilisha nguo kama nne hivi hujiulizi sababu"?kweli nkajiulza maana amevaa gauni hili, akiingia ndani akitoka anatoka kavaa nguo nyingine, na kingine akiingia ndani anachungulia dirishani kwao bila kujua sisi tunamuona anavyotuchungulia!!
Basi huyu G tukaagana nae akaondoka na mimi nikaondoka baadae kama saa 1 jioni hivi narudi naona mtoto anaenda kuoga,alivoniona akajifanya kajikwaa lakin hajaanguka akasema "mamaa"mradi tu nmpe attention,muhun nkapita kama sijamuona,nmefika geto, shetani akaingia kazini,nkapata akili palepale nikaandika namba yangu kwenye kikaratasi na jina langu alafu nkatoka fasta kumvizia akitoka bafuni, kweli mtoto anatoka bafuni nkamfata alafu nkampa namba ya simu bila hata kumsemesha!!
Nkarudi zangu geto,mida ya saa 4-5 hivi naona text inaingia "mambo chinedu",sikutaka kumuonesha nlikuwa desperate sana, nkakausha sikujibu,akatuma ingine "hi myn umelala?"nikachunia na hio,baada ya muda akatuma "usiku mwema myn" nkasema yees, baada ya dakika kadhaa nikamuendea hewani, simu haijaita hata sec 5 kapokea, bas baada ya salamu akaanza kulalamika mbna hujib text ulikuwa unafanya nini? Nkajitetea uongo pale akanielewa basi nkamwambia mbna hujalala mpka muda huu akasema hana usingizi nkamjaribu njo tuchek movie,dem akasema njo nifate naogopa nje, mzee huyo nkamfata hadi geto!!
Dem alikuwa amevaa kapendeza utadhani kuna sehem anaenda, basi nkamkaribisha geto akaanza me naogopa kufumaniwa na mwenyew,bla bla bla ila nikamtuliza akaelewa!!nkamsifia pale uongo na kweli,nkaanza kumpapasa mapaja katulia, nikata niingize mkono dem akanambia "kazime taa kwanza"nkajua tayari basi nmeenda kuzima taa narudi namvamia mtoto ananambia subiri kwanza,fumba macho usichungulie,mtoto akasaula akachukua shuka akajifunika basi tulisumbuana sana pale,nikamtight nkafanya yangu mtoto anakelele yule,ita sana Yesu, baadae tumemaliza ndo ananipa story alinielewa alivoniona tu,nisingejiongeza kesho yake angenifata!pale mtaani alikuja kwa mama ake mdogo baada ya kumaliza form 4 kazingua na mama ake mdogo kaenda kwenye harusi kurudi baada ya siku 3, basi nlijipigia yule dem Mpaka aliporudi kwao japo kwa siri sana!!
Sent using
Jamii Forums mobile app