Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kirusi kimeondoka tuendelee na uzi!!

Mwaka fulani nikiwa likizo ya semester ya kwanza,mida ya saa 10 hivi jioni nlikuwa nmejipumzisha tu barazani kwetu,nikitafakari matokeo yatatokaje ukizingatia niliharibu baadhi ya courses,basi nikaona binti wa kipare mweupe sana pale mgeni machoni kwangu anajipitisha pitisha pale, mara aende arudi, aingie ndani kwao atoke huku anajiongelesha na simu muda mrefu na vipozi vya ki kike kike, na kwenye mazungumzo yake alikuwa akichanganya kipare na kiswahili(kwa bahati nzuri naelewa pia kipare) basi kati ya maongezi yake akasema kwa kiswahili "yaani wote wameolewa bado mimi tu M** sijui nina mkosi gani".


Basi sikumtilia maanani sana huyo binti, akapita dada flani wa pale mtaani anaitwa G,dada flani hivi msela sana, anapiga sana mmea,ni aina ya wale madem ambao campany yao ni washkaji tu ila mimi sikuwa na mazoea nae sanaaa,basi akanisalimia akaja pale nlipokuwa nmekaa barazani story mbili tatu wote tukimtizama huyu mtoto M***, akaniuliza "hivi chinedu huyu manzi unajua anakutaka"?nkacheka nkamwambia haiwezekani akasema "wewe mtizame tu macho yake na kwa muda huu uliokaa apa amekuwa anaingia ndani anabadilisha nguo kama nne hivi hujiulizi sababu"?kweli nkajiulza maana amevaa gauni hili, akiingia ndani akitoka anatoka kavaa nguo nyingine, na kingine akiingia ndani anachungulia dirishani kwao bila kujua sisi tunamuona anavyotuchungulia!!

Basi huyu G tukaagana nae akaondoka na mimi nikaondoka baadae kama saa 1 jioni hivi narudi naona mtoto anaenda kuoga,alivoniona akajifanya kajikwaa lakin hajaanguka akasema "mamaa"mradi tu nmpe attention,muhun nkapita kama sijamuona,nmefika geto, shetani akaingia kazini,nkapata akili palepale nikaandika namba yangu kwenye kikaratasi na jina langu alafu nkatoka fasta kumvizia akitoka bafuni, kweli mtoto anatoka bafuni nkamfata alafu nkampa namba ya simu bila hata kumsemesha!!

Nkarudi zangu geto,mida ya saa 4-5 hivi naona text inaingia "mambo chinedu",sikutaka kumuonesha nlikuwa desperate sana, nkakausha sikujibu,akatuma ingine "hi myn umelala?"nikachunia na hio,baada ya muda akatuma "usiku mwema myn" nkasema yees, baada ya dakika kadhaa nikamuendea hewani, simu haijaita hata sec 5 kapokea, bas baada ya salamu akaanza kulalamika mbna hujib text ulikuwa unafanya nini? Nkajitetea uongo pale akanielewa basi nkamwambia mbna hujalala mpka muda huu akasema hana usingizi nkamjaribu njo tuchek movie,dem akasema njo nifate naogopa nje, mzee huyo nkamfata hadi geto!!

Dem alikuwa amevaa kapendeza utadhani kuna sehem anaenda, basi nkamkaribisha geto akaanza me naogopa kufumaniwa na mwenyew,bla bla bla ila nikamtuliza akaelewa!!nkamsifia pale uongo na kweli,nkaanza kumpapasa mapaja katulia, nikata niingize mkono dem akanambia "kazime taa kwanza"nkajua tayari basi nmeenda kuzima taa narudi namvamia mtoto ananambia subiri kwanza,fumba macho usichungulie,mtoto akasaula akachukua shuka akajifunika basi tulisumbuana sana pale,nikamtight nkafanya yangu mtoto anakelele yule,ita sana Yesu, baadae tumemaliza ndo ananipa story alinielewa alivoniona tu,nisingejiongeza kesho yake angenifata!pale mtaani alikuja kwa mama ake mdogo baada ya kumaliza form 4 kazingua na mama ake mdogo kaenda kwenye harusi kurudi baada ya siku 3, basi nlijipigia yule dem Mpaka aliporudi kwao japo kwa siri sana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeona sasa nillichokua namaanisha!!

Yaani kwa kuwa 'umesikia' kwamba baadhi ya wake za watu hutoka nje ya ndoa basi nawe kutwa kucha unajiachia tu kuvuliwa chupi kupanua mapaja unapigishwa katerero weeee ufike mshindo ufurahi.

Aisee, sikujui hunijui...
But serious this is not something mwanamke aliye smart upstairs kuwa 'proud of'

Naona wanaume wanaku kenulia meno tu hapa.

Mie Nakuchana live.

We mama mtumishi si kuna jukwaa la dini huko?Huku nyegge gani zimekuleta?Hayo maushauri yako peleka kwa binti yako si tuachie machizi wetu!
 
NILIVYOLIWA KIMASIHARA NA MHANDISI WA MKOA WA..... NIKITAJA MTAMJUA

Kwa wenyeji wa Dodoma ilipo roundabout ya pale airport kuna mradi wa serikali saivi wanajenga eneo la utaliii zamani kidogo mwaka juzi mle ndani kulikuwa na bar wanauza kitimoto wenyeji wanaijua.

Mida ya SAA saba nilienda pale kula kitimoto nikiwa nimekaa peke yangu.

Kuna wabab wawili wakaja Wakakaa pembeni yangu kwa muda .

Baadae wakawa wameniomba kampany na mm bila hiyana tukaunga tukaendelea na story na bia mbili tatu . Chakula kilupokuja tukala na story zikaendelea.

Yule mhandisi akaniomba namba kama anahitaj kampany ya kutoka atanipigia maana walikuja kwenye masuala ya vikao vya bunge.

Usiku mida ya SAA 2 alinipigia simu akaniambia kama naweza kuna kazi ya kuandika kama nitapenda niende kumsaidia atanilipa yupo NASHERA HOTEL ROOM NUMBER 20.

Ninavyopenda helaa huyoo mpka Nashera kufika kule akanipa kazi nikamsaidia kuandika nilivyomaliza ilikuwa kama mida ya SAA 5 usiku akaniambia wewe lala tu hapa utaondoka asubuhi na mm nikaona mhg huyu mzee kabisa hawez nifanya chochote wacha nilale.

Nashangaa baadae tukaanza kupeana mabusu alafu sasa kumbe hana hata nguvu za kiume alichukua kadushelele kake akawa anakechezesha kwenye simi langu mpaka nikafika mshindo duuuh kila nikikumbuka huwa nacheka kinyaaaamaaa.

Siku hizi akija tu Dom kwenye mavikao huwa ananitafuta tunafanya huo mchezoo maana kaniambia yeye huwa hasex na mke wake so anapenda huo mchezo na yeye hufika climax yaan kama nasagana na mwanake mwenzanguu duuuuh.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahahahaha umejua kunifurahisha aisee....
 
Mm huwa nashangaa sana mwanamke akiongea anaonekana Malaya jaman wanawake tuachen hizo hayo maisha nimepitia kwan kuna ubaya wowote kuwaeleza watu wajifunze yawezekana nilikuwa sahihi kwa wakat huo au nilikosea sasa hukumu ya nn

Sent using Jamii Forums mobile app
hata wasiposema kama waliliwa kirahisi rahisi ndio ishatoka,mbona ni wengi tu tukiwaona utadhani wastaarabu kumbe chupi kiremba kuitoa fasta sana...
 
Dah wakubwa vip tena naingia humu nakuta reply zaidi ya 200 najua story za kutosha kumbe ni vita kati ya demiss na Mama D, anyway Demiss usivunjike moyo japo story zako zingne zinaonekana kama chai ...hizo ni ajali kazini. Haloo isirudiwe hiyo.....
.Mabaharia wa buza tunasema watu washushe madini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua wanawake wanachukia sana huu uzi wanaona kama utoto kudhalilika and so, hata madam mmoja huko nyuma anadai anaimiss Jf ya zamani

Huu utofauti ni biology tu na tumeumbwa hivyo

Ni biology (au gene) ya kila jinsia na huwezi kushindana nayo, mwanaume akimla mwanamke anafurahi anajiona mshindi, mwanamke akiliwa anajiona kama vile katoa utu wake n.k, ni kwanini asijione naye ni mshindi kama mwanaume? Ni biology tu

Mwanamke akiweka kisa cha kuliwa kimasihara hapa hata nafsi yake itamsuta maana ni kitu hawapendi hasa kama hawakuoana, lakini mwanaume anafurahia tena sana. Ni biology tu

Ni biology tu kwahyo wanawake kwenye huu uzi tulizen hizo hisia zenu hamna anaeweza kushindana na biolojia ya jinsia hizi mbili

Mods wa kike mtanisamehe maana mbunye zinachakatwa kweli kweli.. tusome wote uzi utembee na speed yake, na hivi vident mtumie kinga jamani vimekuja likizo na genye balaa
Mm nyuzi zangu nikiandika tu hazimalizi dakika 10, zinafutwaa.... Ziwe jukwa la siasa... Intelligence.... Au mengine... Zinafutwaa chapu... Nafikiri ni kuwa na content sensitive.... Na presentation za wazi mno.... Nifundisheni coding system

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan Demiss jf ni kirusi ndiyo maana unaona haya wacha niendelee na savvana yangu hapa
Dah wakubwa vip tena naingia humu nakuta reply zaidi ya 200 najua story za kutosha kumbe ni vita kati ya demiss na Mama D, anyway Demiss usivunjike moyo japo story zako zingne zinaonekana kama chai ...hizo ni ajali kazini. Haloo isirudiwe hiyo.....
.Mabaharia wa buza tunasema watu washushe madini.

Sent using Jamii Forums mobile app
.
IMG_20191216_175909.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom