subadesubking
Senior Member
- Jan 17, 2015
- 195
- 324
oya baharia njoo umalizie basiKuna stori hapa zinafurahisha wakati mwingine inabidi tu ucheke, nina ombi kwa wana masiahala ili iwe motisha kwa wasimliaji wetu na waongezeke maana hatuwezi wapa pesa basi like ziwe nyingi kwa kila msimuliaji haijalishi kaandika poda au sembe ili nyuzi lisonge mbele,
Basi nyuzi limeanza niko zangu mwanza pale nyege asubuhiiiii nianze safari kurudi zangu dar hivo lazima nipitie moro nilale kwenye banda langu .
Nimeingia kwenye basi kampuni ya nyehunge siti ya kwanza kabisa kwa dereva maana siti ya kwanza nayo siku hizi ni michongo kuipata nilikuwa na maana yangu kuitaka iyo seat, nimekaaa kama nusu saa niliwahi kidogo . Ghafla kaja dada mmoja na mshikaji wote wakazama ndani mtu wa kwanza kuingia ni jamaa nashangaa tu kaishiwa pozi kuniona ile siti kumbe demu wake naye kakata seat ile ile.Ilikuwa wanakuja kuagana kwa kukaa pale sasa ndo kakuta nishaingia mapema nimepiga miwani myeusi tii na pensi fulani hivi inshort nilivaa kiblzamen kichizi alafu nimependeza balaa nazingatia kuvaa vizuri nikiwa nasafiri au kitaa maana ndo utajiri nilio nao wa kubebea totozi kali.
Ile nawachora tu kwenye kioo cha miwani jamaa alivoishiwa pozi nikasikia karudi nyuma kamwambia demu wake siti yako iyo hapo then kaweka kibegi chake akaomba waagane nje uko,muda wa kuondoka ukawadia nikaona jamaa kaingia tena kupunga mkono wakaagana safari ikaanza nami sina habar kabisa na yule sistaa duu mwenye kalio kubwaaa alafu (shortchasis)fulani mzigooo umeeendaaaa weeeeeeh vile gari zinatoka nduki pale kila mtu ana habari zake sikutaka kumshobokea maana nisije kuta kituko badae au demu akalet nyodo sisizo.katikati ya safari bwana wake anampiga tu simu kumwambia awe makini na asinizoee kabisaaa hizo aliniambia demu baada ya mazoea na kuna muda nilisikia demu anamwambia kuwa na Amani bhana yeye mwenyewe hana hata ilo unafikiria,kipindi wanaongea mie nimekaza tu nazuga nimesinzia huku nachora maeneo yote yaliyo karibu yangu inshort namwangalia demu kuanzia juu nashuka naye ila kiwizi wizi maana kushapambazuka nikaona pisi kali kindwazi.
Akili ikasema hapana nitakula naye tu yule mpuuzi safari imeendelea weeeh baridi linapuliza hatari mara pyuuuu kapitiwa usingizi wote tukasinzia badae kidogo nashituka tuko mbele uko vijijini sipajui foleni na trafiki wanafanya yao, pale ndo tukaanza kuongeleshana sasa nikaanza mbona unajifunika sana vipi baridi? Kanijibu eeeh c unajua hii ni asubuh tena ananiangalia kwa kuibia hivi.nikamwambia naomba basi tujifunike wote nami nasikia baridi kweli samahani lakini dada.kakaza fulani hivi sitaki nataka nikakausha then nikaendelea na stor za hapa na pale kudadisi yule nani na anaenda wapi .
Pale pale nikatoa miwani yangu sasa kumekucha demu kaniambia yule ni rafiki yangu ni bodaboda alinisindikiza,nikakaza rafiki yako mpka anakutafutia seat vile kuwa tu mkweli bana siyo poa kumkataa baharia.Demu alicheka kidogo kisha akasema achana naye ila moyoni kichwa kinajua ni basha ake yule maana nilimkazia maswali ili nimuone ni mwanamke gani ikitokea nipate pa kuwekea akiba badae usiku nitashuka naye tu ilo lazima nishaliweka kichwani.
Safari iyo ngona inapuliza sasa badae nikaachana naye nikatoa miwani yangu nikapiga usingizi heavy sana ila siyo wa kukoloma maana nilitoka kukesha na nesi mmoja hapo Mwanza hospital moja kubwa tu private. Kumbe nimelala yeye ndo kapata muda wa kuniangalia na kunisaminisha yawezekana naye kunila kimasihara kulianza kumwijia kichwani nami nikimuwazia mbeleni uko mpka kufika moro analiwa lazima mwisho wa safari,badae nimeshtuka nikakuta ananicheki kichizi katoa jicho chap stori zikaendelea weeeeh nikahakikisha namfahamu vizuri wenyeji wake moro na yeye...kumbe alikuwa kamaliza chuo cha ualimu seco mkoani moro hivo alienda mwanza kutalii kwa maelezo yake ila si kwa bwana.......sasa njiani zikawa ni stori tu kumbe wale makondakta wanamuonaga sana mchizi anamsindikiza mara kibao anaendaga mwanza kwa kupitia huo usafiri jamaa nikaona kama wanaona wivu fulank nilivomuweka mtoto kitanzi ananiingelesha kama tunafahamiana muda.
Tumefika sehem sijui shinganya nikashuka kuchimba dawa yeye kabaki kumbe ananichora nilivokuwa smart dadeq na nilivokuwa tu mwonekano demu kuchomoa siyo rahisi nahisi hata jamaa ake aliliona lile ndo maana kajamba,nimerudi kwenye gari mtoto ananichangamkia ti safar ikaanza stor zinaisha tunalala tunaamka muda wa msosi nikanunua plate mbli za nyama kuku,naingia nakuta kanunua matunda sahani mbili naye na bite bite hivi nilivofika nikamkaribisha maana tushazoeana sana akaniambia anaumwa jino hivo kula nyama itakuwa shida kwa kuwa na nishanunua basi atajitahidi kidogo tumekula stori zinaendelea hatari huku na huku jamaa yake anapiga simu mida wote waongeee mara amuulize huyo jamaa vp mnaongea naye ,mara vp mko wapi,kashuka demu kamwambia ameshuka singidani uko ndo jamaa kuelewa akamuuliza vp ulimpa namba demu akakataa....muda huo mie nina habari na simu yangi nakula mziki badae kwnye stori ndo demu kuniambia aseeeh yule mchizi anaulizia kila muda...nikamwambia wewee siyo ulisema yule ni boda kumbe jamaa yako? Kakubali kishingo upande ila nikajiongeza huyu kawaka kwangu na yule jamaaa alikuwa na hela sana trip zote yeye ndo anashika na pesa za ziada kampa mpaka kadi ya bank kampa cuz mshikaji alikuwa kampuni fulani ya watu weupe yeye kama mhasibu hivo alikiwa anamake sana pesa ila ndo hivo tunatofautiana mwonekano na kujiweka.
Stori zote hizo alikuja kufunguka mwanadada stori ni ndefu mpka kufika nitamalizia ngoja nitoe huduma kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app