Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me mvivu kuandika. Stori ndefu kwa hiyo na summarize. Ningekuwa mwanafasihi ningeandika riwaya nzuri tu.
Mkuu
Bora umemwambia
Tatizo nyota basi
Dah mkuu nikajua ID yako imepigwa ban umekuja kivingneMkuu
Vipi tena unaweka sahihi ya jina langu?
Kwani kuna shida mahali au ukorofi tu?
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja mkuu, ulkuwa combania gan?Maganga alikuwa amechelewa siku hio tulikua na Vempa ilikua Op Kikwete ..
Kabla ya mwaka kuisha lazima nije niwaeleze hapa nilivyokula kimasihara dada aliyekuwa anafanya CPA.....
Ngoja nimalize kazi kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣 angekupotezea nn mkuu..?Natoka zangu kununua Luku kama 2012 nimemaliza chuo ndo nabuzz buzz nipate kajob kuna lidada jirani jeupe mke wa mtu tulikuwa watu wa story moja mbili sio kiihvyo niko njiani narudi mara simi hiyo kupokea yeye saa 7 mchana hiyo ananiuliza eti nakunywaga bia ( hapo mimi hata bia sijwahi gusa) ila akili ikafanya kazi fasta nikamjibu ndio. Akasema basi twenzetu sehemu...nikamwambia kama ni hvy itabidi tunywe sehemu iliyojificha sio bar za nje kiutani utani akanambia subiri kidogo...hee!! After 30mnts ananiambia njoo lodge fulani room namba fulani...uoga ukanishika ila daa nkasema nyama hii siwezi kuiacha.basi nikajisogeza sehemu nikamkuta kweli kajitenga na kuna Safari chupa 2 na yeye kajinunulia castle light...nikasema sasa bia sinywi si ntaumbuka...basi nikachukua nikapiga sip moja nikampangusa viwalo nikampa cha kwanza akalala fofof nikaenda kuimwaga chooni yote...then nikamuacha madakika kibao nikamwamsha eti ooh ushamaliza chupa moja nikamwambia ndio nikamla cha pili akalala tena fofofo nikamwaga chupa ya pili chooni nikabakisha kama robo glass.....YAANI SIKUAMNI KAMA NILIKULA LILE TOTO JEUPE...ILA MME WAKE MSUKUMA KAENDA HEWA ANA BONGE LA MWILI.ikabidi nimpotezee mazima maana angenipotezea marinda yangu bure kama ningeendelea nae
Una wivu mkuu ujawahi kula tunda kimasihara. Pambana na hali yako kila mtu anataka ale tunda kimasihara saizi. Wenzio tushakula zaidi ya mara kumi tena kimasihara.
Tafuta tunda ule kimasihara ndugu. Au unasoma Njombe kwamba unaogopa HIV. Mana uko demu mmoja Kijiji kizima kinataka kijipigie.
Ilikuwa mida ya usiku nimetoka kitaa flani ivi kuzuga napita kwa street nakutana na demu ambaye namfatiliaga mda mrefu ila hananizungusha . Nikamwita tupige stori ataki na kuniambia kuna mtu namwahi hapo chini, nikawaza uyu demu anamuwahi Yule masanii anaekunywa bia nje pao. Du nikamaindi nikasema uyu demu ananizingua sababu ya Yule mwanamziki maarufu kuzidi mimi.
Kukakucha asubuhi.
Ilikuwa mida ya saa saba kasoro nimetoroka job narudi home nikapita nje ya nyumba anapoishi Yule mwanamziki. Namkuta Yule demu anaziguka nje kwao. Nikamwita na kumuuliza we vipi hapa akawa Hana jibu. Unaelekea wapi . Akajibu me nipo nipo tu hapa. Nikamwambia basi naomba nikuzungushe kidogo, akakubali na kuniambia Mana sina hata mpango was kuenda home saizi.
Moyoni nikacheka na kusema Leo nimeokota dodo.
Nikamwambia unaonaje tukaenda kupiga stori gheto akakubali . Stori mbili tatu nikampiga mashine . Baada ya hapo kila mtu kala 50 zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] hii story nilikuwa naitafuta jamaa aliniacha hoi mnoNa ukikamia utakuja kuangukia kama yule jamaa aliparamia, akidhani kila demu n kumla kimasihara ailigwa bonge la kofi na urafiki na demu ukaishia palepale.
Kula kimasihara huwa inakuja tu automatically kama huyo jamaa wa hapo juu, yan ametoka tu mpiran kupumzika halftime akakuta manz kakaa pale katoa msaada na akala mzigo siku tatu!
Sent using Jamii Forums mobile app