Hahahahaha alitaka kupora madaraka huyu atakuwa mlevi wa madarakaa. Kwani hana vigezo vya kupandishwa cheo mkuu?
 
Kweli mkuu kule kuna ziwa lipo sasa kuna siku nikafunga safari na washikaji kulifuata njiani nilikutana mashamba mengi ya mianzi na mianzi mingi ilikua inavunwa hiyo pombe ..ajabu kwenye kile kijiji mademu wanajirahisisha mno halafu namba ya wanafunzi wanaokutwa na mimba ni kubwa sana
hatari hiyo ni Wilaya ya Mufindi huko kuna kinywaji wanaita Ulanzi sasa wakiwa wanapata kitu cha Mkangafu au mtogwa klabuni stimu zikishawapanda huwa wanachukuana tu kwenda kupeana tunda kimasihara bila zana ndio maana spidi kubwa sana huko.
 
Hahahahaha alitaka kupora madaraka huyu atakuwa mlevi wa madarakaa. Kwani hana vigezo vya kupandishwa cheo mkuu?
Vigezo anavyo lakini aliepo madarakani kamzidi baadhi ya mambo ..kama time spend together na vingine vya kimaisha but ye nimkali in appearance [emoji23][emoji23][emoji23]eti mlevi wa madaraka!
 
Huyo mwanamke hatari, alikutongoza kwa biriani? 😂😂😂
 
Huku nasikilizia jibu la hapo demu atasemaje sikuamini alipoinuka kunijibu... "hebu naomb simu yako mara moja nimpigie mtu" ile nimempa tu simu mara gari hii apa nkamwambia tupande akapanda na me nkapanda hao tukashuka mitaa ya rose garden
siku hiyo nikatoka kutalii talii mitaa ya bamaga, nipo kwenye kituo cha daladala
Hii Chai Mzee, Sijawah kuona Daladala inayopita njia ya Rose garden kutokea Bamaga anyways inawezekana nmechelewa kuja Mjini.... I
 
we vipi hujawahi kuwekwa kimasikhara na condom lakini teh

Niliwahi kubakwa..... Meaning nililiwa bila kupenda. baada ya yeye kunizidi nguvu ilibidi nimpe ushirikiano. Baada ya pale nkapotezea Ila jamaa akalazimisha tuendelee nkakaza akatuma watu wanipige. Kesi iliishia polisi. Akaulizwa kwani kuna utamu gani ulipata hadi ung'ang'anie hiyo papuchi wakat zingine zimejaa?? Hadi Leo Ana hasira na mm.
 

Ilikuwaje mpaka ukakaa mafichoni nae? i mean mkakaa sehemu watu waili tu ?

huenda ulionyesha viashiria fulani ukazingua mwamba akasema usinitanie wewe

By the way mimi pia huwa nawaweka wengi sana kwa nguvu sometimes na vibao juu sema nilichopishana na mwana huwa sitaki tena labda aendeleze shobo.
 
Hii Chai Mzee, Sijawah kuona Daladala inayopita njia ya Rose garden kutokea Bamaga anyways inawezekana nmechelewa kuja Mjini.... I
Kwenye mataa pale kuna road from mwananyamala to mikocheni inapitia rose garden apo kiongozi
 

[emoji85][emoji85][emoji85] tulizoeana tu kiaina....akawa cku moja moja anantumia lunch box, anakuja kazin kwangu twastorishaaa hadi nkamzoea Ila sikuwah kumpenda kingono.

Siku moja akanambia ukifunga tupitie mahal flani/ bar tupigepige story. Basi nlipofunga nkapitia hapo nkamkuta yupo na rafiki yake. Akaniagizia st. Anne 2 kwa kuwa situmii bia. Tukakaa sana hadi mida mibaya kwa kuwa kwangu mbali nkaona si mbaya nikilala kwake. Ila napanda kitandani ndo mambo yakabadilika ikawa ugomvi anataka kwa lazima.

Akanipanua Miguu kwa nguvu nlipoona nazidiwa nguvu ikabidi nijiachie tu amalize. Akalazimisha km vitatu ...tukalala kulipokucha akapiga na morning glory ya nguvu . Nilipata maumivu miguuni na mwilini ctasahau. Yy Alitaka tena na tena nkakataa mazima na kukataa mazoea. Nilipoona amegeuza uadui hadi kunitumia masela nkashtaki.

Nikasubiri baada ya muda nikapimA niko salama nikamshukuru Mungu.
 
pole sana,inamaana jamaa anachumba kimoja tu kwamba kwenye kitanda mlipanga mlale pamoja kama kaka na dada?
 

Mpumbavu pekee ndo atakayekuacha ulale mpaka asubuhi hajaweka,

na shoo kama hizo mimi nazipigaga kama sitaona tena papuchi usikie maumivu au raha utajua wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…