Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Nina stori lukuki, nitaweka chache.

1.Kwenye msiba wa Baba yangu, mpangaji wetu mmoja alikuwa anaishi na mdogo wake kadada kazuuri ,jioni baada ya mazishi usiku kadada kakaja kunipa pole nilikuwa peke yangu chumbani tukamalizana.

2.Nilikutana na Dada mmoja anasafiri, Basi ya Railway imechelewa kidogo muda nikasema naye, akakubali, nikaenda naye gheto tukamalizana, baadaye nikamsindikiza stesheni gari ilipofika akaondoka

3.Tulikutana kwenye safari tulipofika tukamalizana.
 
Nina stori lukuki, nitaweka chache,
1.Kwenye msiba wa Baba yangu, mpangaji wetu mmoja alikuwa anaishi na mdogo wake kadada kazuuri ,jioni baada ya mazishi usiku kadada kakaja kunipa pole nilikuwa peke yangu chumbani tukamalizana.
2.Nilikutana na Dada mmoja anasafiri,Basi ya Railway imechelewa kidogo muda nikasema naye akakubali nikaenda naye gheto yukamalizana, baadaye nikamsindikiza stesheni gari ilipofika akaondoka
3.Tulikutana kwenye safari tulipofika tukamalizana.
Wewe balaa unakula siku ambayo mzee ako kafariki??[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Ya tatu hii ...

2009 kuna mtoto mmoja hivi wa kipare alikua ana rudia mtihani wa kidato cha nne pale jiteute (JKT SEC) siku hiyo aliniomba nimsaidie ku solve past paper ya somo la history wala nikamwambia poa njoo. Ilipofika jioni alikuja home tukaanza kusoma sebuleni mara watoto wakajaa kuangalia TV makelele yakawa mengi hivyo nikamwambia twende chumbani kwangu akasema poa.

Chumbani tusomea juu ya kitanda kilichotokea tukajikuta tumeduu ila kilichonishangaza hatukuwa na Romance wala nini ila binti tayari alikuwa very wet.

Niliporudia mara ya pili akanasa mimba kudadeki nikahama home ila huku nyuma alitoa ile mimba sasa ameolewa na ana watoto wawili Neema ingawa tunawasiliana kawaida tu maswala ya ngono tulishayaacha.
 
Nina stori lukuki, nitaweka chache,
1.Kwenye msiba wa Baba yangu, mpangaji wetu mmoja alikuwa anaishi na mdogo wake kadada kazuuri ,jioni baada ya mazishi usiku kadada kakaja kunipa pole nilikuwa peke yangu chumbani tukamalizana.
2.Nilikutana na Dada mmoja anasafiri,Basi ya Railway imechelewa kidogo muda nikasema naye akakubali nikaenda naye gheto yukamalizana, baadaye nikamsindikiza stesheni gari ilipofika akaondoka
3.Tulikutana kwenye safari tulipofika tukamalizana.
Huzuni yakupotelewa baba unakula na tunda?
Kwakweli tuko tofauti.
 
Aisee ungefanywa mbaya mkuu
Sure mkuu... baadae nilikuja kugundua hata ile IST alihongwa na jamaa mmoja meneja CRDB.... nikaona isiwe kesi.... sema ni mtamu kinoma then mzoefu na hana mapemzi ya kitoto toto ya kupostiana whatsapp wala kuchati hadi usiku...

Kupata dem mkubwa ki-umri na mwenye exposure ni raha sana
 
Ishawahi nitokea hiyo chuoni [emoji23],nilikua na bi maza huyo yani hata akisikia nakohoa lazima aje ghetto, halafu muhuni sihongi wala nini na daily nakula. Wana walitamani waniroge maana nilikua nawatambia noma mzee [emoji23]
Sema yule manzi ni kama aliondoka na nyota yangu..
Sasa hivi nina ukame mmoja hatari sana😂😂😂
 
Muda kidogo umepita kwenye mwaka 2012 nilikuwa nafanya kazi kwenye organization moja huko kanda ya ziwa. Sasa kipindi cha wanafunzi wa vyuo wako field akaja msichana mmoja kufanya field ofisini kwetu na bahati mbaya zaidi akawekwa department yangu na tukawa office room moja.

Baada ya kama wiki moja hivi kukawa na kazi ya field huko Kanda maalum so tukaenda mimi na huyo msichana pamoja na watu wengine wawili kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa. Tumefika tukatafuta hoteli so mi ilikuwa naangalia maslahi ya mtu wangu kwahiyo tukachukua rooms ambazo milango ilikuwa inaangaliana. So tukatafuta chakula then tukarudi vyumbani kuoumzika maana kazi ilikuwa tunaanza kesho yake na hiyo ilikuwa kama saa kumi jioni hivi.

Sasa mara nyingi laptop yangu Siku zote huwa haipungui movies na series. So baada ya muda kidogo akanitext kama anaweza kuna kuangalia movies kwenye laptop yangu, nikamwambia njoo. Basi amekuja tumeangalia movies mpaka saa mbili hivi, mi sikuwa nataka kula tena so ye nikamuagizia chips akala tukaendelea na movies. Baadae tukachoka kukaa tukawa tunaangalia tumelala kitandani. Kufika kwenye saa nne nikaona mtu amelala (Sasa sijui kama alikuwa amelala kweli au anazuga) nikamuamsha ili aende chumbani kwake akasema ntaenda akaendelea kulala.

Mi nikazima laptop, nikazima taa nikapanda kitandani nikamfunika na mimi nikajifunika. Sasa mpaka hapo nilikuwa najua tayari anachokitaka lakini hofu yangu ilikuwa mama yake alikuwa anafanya kazi kwenye organization nyingine ambayo tulikuwa tunafanya nayo kazi sana na nilikuwa namuita dada.

Basi katikati ya mawazo hayo tukajikuta tumekumbatiana lakini bado nikawa na hofu ya kumaliza shughuli. Wakati huo yeye nadhani alikuwa hoi akaanza kulalamika “Kwanini hutaki kufanya na mimi, Sawa tu unaona sina hadhi yako, unaniona mbaya Sawa naenda chumbani kwangu”

Hapo sasa nikaingiwa na huruma na nikaona ntaonekana boya sasa. Bahati mbaya alikuwa mzuri sana tu so nikajikuta nimekula mzigo uliopelekea mahusiano kwa kipindi chote alichokuwepo. Tulifanya mara kadhaa na ya mwisho ilikuwa kwenye gari (alikuwa anapenda sana adventure) nusura tukamatwe na polisi. Baadae mama yake alikuja kuhisi kitu lakini hakujua ni nani hasa, mara binti akahisi amenasa mimba halafu akawa hajali anasema kama ni mimba she will keep it duh. Bahati nzuri haikuwa mimba maana nilihofia mtafaruku na mama yake.

Nikipata nafasi nitawapa ya mzungu
 
Sure mkuu... baadae nilikuja kugundua hata ile IST alihongwa na jamaa mmoja meneja CRDB.... nikaona isiwe kesi.... sema ni mtamu kinoma then mzoefu na hana mapemzi ya kitoto toto ya kupostiana whatsapp wala kuchati hadi usiku...

Kupata dem mkubwa ki-umri na mwenye exposure ni raha sana

Hawezi kuchat na wewe kwa kuwa amewapanga wengi kulingana na mahitaji yake. Cku zote ukiwa na mpenz au partner ambae kwake mawasiliano ni shida bila sababu za msingi basi ujue uaminifu ni zero.
 
[emoji85][emoji85][emoji85] tulizoeana tu kiaina....akawa cku moja moja anantumia lunch box, anakuja kazin kwangu twastorishaaa hadi nkamzoea Ila sikuwah kumpenda kingono. Siku moja akanambia ukifunga tupitie mahal flani/ bar tupigepige story. Basi nlipofunga nkapitia hapo nkamkuta yupo na rafiki yake. Akaniagizia st. Anne 2 kwa kuwa situmii bia. Tukakaa sana hadi mida mibaya kwa kuwa kwangu mbali nkaona si mbaya nikilala kwake. Ila napanda kitandani ndo mambo yakabadilika ikawa ugomvi anataka kwa lazima. Akanipanua Miguu kwa nguvu nlipoona nazidiwa nguvu ikabidi nijiachie tu amalize. Akalazimisha km vitatu ...tukalala kulipokucha akapiga na morning glory ya nguvu . Nilipata maumivu miguuni na mwilini ctasahau. Yy Alitaka tena na tena nkakataa mazima na kukataa mazoea. Nilipoona amegeuza uadui hadi kunitumia masela nkashtaki. Nikasubiri baada ya muda nikapimA niko salama nikamshukuru Mungu.
kiufupi jamaa ni mshamba. yaani ulikuwa umeshakubali kumpa mpaka hapo sema tu papara zake zilimfikisha hapo. pole sana
 
Hawezi kuchat na wewe kwa kuwa amewapanga wengi kulingana na mahitaji yake. Cku zote ukiwa na mpenz au partner ambae kwake mawasiliano ni shida bila sababu za msingi basi ujue uaminifu ni zero.
Mkuu na mimi nilikua pale kwa maslahi tu... maana hata kwa kutumia common sense hakukuwa na future yoyote... yeye alikua star na mdangaji mzoefu.. mimi ndio kwanza mwanafunzi wa chuo nakaa zangu hostel nategemea boom na vizinga ninavyowapiga wazazi...

Na nilijua tu alikua na masponsor wake na mimi nilitaka papuchi na mshiko wake tu
 
Back
Top Bottom