Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Wapo kibao wanaoweza kuheshimu misimamo ya watu. Shemej yako tulikaa miezi 3 bila kulana na tu nalala kitanda kimoja Mara kibao tu almost kila week. Anahudumia tena huduma za maana..... Anaomba weeeee namwambia bado nakusoma [emoji12][emoji12][emoji12]. Siku nimempa hakuamini Kwan alishakata tamaa. Na siku hiyohiyo nampa kwa Mara ya kwanza zygote ikatungwa
in short ulimpa kwa sababu ulikuwa kwenye ''joto''. hahaaaaa
 
Kumbe wanaume walishaanza kupungua tangu 2012!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Mkuu unatamani ingekuwa wewe... Sema alimtafuna mbonaa
 
[emoji23] it happens mzee, vyuoni kuna mengi sana. Mimi kuna jamaa yangu alikua anasukuma Tezza chuoni ambayo kuna bi mkubwa mahali alimpa na huyo maza 35+ alikua hakauki ghetto.
Mkuu kwa mfano mm niko 20+ nikiwa nadoo na she 30+ kuna ubaya wowote..madhara?
 
Mi kuna siku nipo Bar...Story story na muhudumu, Hapo bia zimenipanda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji134][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]...kumtania tu, Twende home akajaa....[emoji134][emoji22][emoji22][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....na mtoto alikuwa na shape balaa....[emoji134][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...mara paap tumefika Home, Maraa paap, nabadili nguo...nakuta Mtoto kavua nguo, kalala chali...hahhahha....Dadeki[emoji134][emoji22][emoji22][emoji22][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....hadi leo sijiamini kama nina ngoma ama laah![emoji134][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....hata kupima naogopa
 
Home kuna mdada alikuwa amepanga, disemba moja akaja mdogo wake likizo, namba nane ya kuchongwa,kumtongoza siwezi,kila mtu anammendea, siku ya siku, saa sita sita usiku nimembonji nasikia mlango wa gheto unagongwa, kufungua dada mpangaji huyu hapa akasukuma mlango na kuingia ndani.

Akaniomba, amepata mgeni hawezi kulala na mdogo wake anaomba aje kulala kwangu saa 11 mgeni wake akiondoka atarudi kulala,sikuweza hata mjibu kitu, nilimuangalia tu huku mdomo uko wazi.

Namba nane alipoingia gheto mi niko mezani najifanya nasoma, walah sikumbuki nilikuwa nafanya nini pale mezani,kuwa kichaa ni kazi rahisi sana, yaani nilikuwa busy sana lakini hakuna kitu nilikuwa nafanya hata kimoja. Hakugonga,alifungua mlango akaingia akaufunga na kuugemea, sikuweza hata kugeuza shingo kumuangalia, haya mambo yalikuwa yanatokea kwa speed sana nadhani nilipata mfadhaiko,

Akasalimia, mambo!! ndo najifanya kushtuka nikakutana na tabasamu la hatari,sikuweza kujibu. I was dumb founded.
Akaniambia naomba nilale, kajifunga kanga,macho yangu kifuani utafikiri naangalia ghorofa linaanguka, siwezi kusaidia kitu,akarudia naomba kulala Mussa,bado sikuweza kujibu, nikaangalia tu kitandani,akacheka akapanda kitandani,nikarudi mezani.

To cut the story short,baada ya kama nusu saa doing nothing,nikapanda kitandani,nikaelekeza kichwa huku kwenye miguu yake.mzungu wa nne
Wat hapen Mussa, hii stori ndio kali kuliko zote. Mussa unajua kuhadithia.
 
Mkuu ulikuwa na vidonda au kitu gani kilimpa hofu juu yako?
Nishakutana na manzi mmoja town hanijui simjui ...kumchombeza huyo tukaenda home nikamla

Ikapita miezi kadhaa bana kumbe alikuwa anajua kauvaa ugonjwa wetu hivyo akawa anagawa tu hovyo kukomoa

Mjinga yule kaenda kupima tena kakuta hana alienda kutoa shukrani kanisani ,sasa hivi yuko zake Us huko na watoto wawili
 
Kuna wadau wanatoa story mpk unahisi unaona kile kitendo...

[emoji28]
Yani zinatia genye balaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] Unaweza jikuta unaita ma watoto
 
Ngoja niwape na hii miaka ya 2000 wakati nipo Chuo Kikuu kama unavyojua kuna Pisi za maana ambazo ni kuku wa Kienyeji haswaaa shepu Orignoo ambazo zilikuwa zinatoka Kijijini na pia wachache Mjini sio kama miaka hii Pisi nyingi sana zinatumia Uchina mwingii kurekebisha maumbo yao.


Toka niwe Chuo sikuwahi kupenda demu for the first time nilipomuona, kuna Pisi moja ya Bukoba inakaa pande za Kayanga ndio iliyovunja huko mwiko wa kumpenda baada ya kumuona tu the first day Canteen, Pisi hii ilikuwa ni Mnyambo wanadai wako karibu sana na Rwanda kwaiyo umbo lake la Bukoba ila sura ni za kulee kwa Brother Paul Kagame, yaani hii ilikuwa kama imeshushwa mawinguni walikuwa wanasoma Chuo miaka ya 2000’s mtaikuwa mnaijua.


Mzee Baba nikaomba namba japo nilipewa tu ilee basi tu, sikupiga simu siku ile nisionekane na njaa saana maana Pisi yenyewe ilikuwa First year. Kesho yake nikapiga simu akapokea tukaongea nikaomba Deti demu akakubali lakini nilitumia mbinu zotee za medani, mbinu za mabaharia kama vijana wa zama hizi wanavyojinasibu lakini si kufanikiwa kupewa mzigo.


Mbaya zaidi mimi ndio nilkuwa mwaka wa mwisho hadi namaliza Chuo niliambulia patupu, ila sikukata tamaa namba ya ile Pisi niliandika kwenye Diary yangu na pia nikaifadhi kwenye emaili yangu,si unajua siku hizi simu zinapotea zinaibiwa n.k maana mimi sio mtu wa kukata tamaa nisipo kutafuna ujanani nitakomaa tu ata uzeeni nikikuona nitafyatua tu.


Itaendele soon..
 
Sure mkuu... baadae nilikuja kugundua hata ile IST alihongwa na jamaa mmoja meneja CRDB.... nikaona isiwe kesi.... sema ni mtamu kinoma then mzoefu na hana mapemzi ya kitoto toto ya kupostiana whatsapp wala kuchati hadi usiku...

Kupata dem mkubwa ki-umri na mwenye exposure ni raha sana
Umeona eeh, mimi nashangaa wanaume humu jf eti hawataki kuoa wanawake wenye kazi nzuri na wamesoma
 
Miaka 5 na nusu baada ya kumaliza chuo nipo zangu Mwanza kwenye chaka langu la ajira kituo fulani. Asubui kulikuwa na kikao cha kazi kuna wageni tulikuwa tunawakaribisha walikuwa wanafanya Feasility study issue ya Ziwa Victoria, sasa kutokana na mimi ni Mzee wa Mitungi nilichelewa kulala jana yake so nikaingia kwenye kikao nimechelewa kidogo, naingia tu ndio nakuta ile Pisi ambayo niliiachaga Chuo miaka 5 na nusu ndio inajitambulisha Mimi ni ......... ndio Team leader wa Team hii.



Yaani katika siku ambayo moyo ulienda kasi na nikapona kufa ugonjwa wa Moyo ndio siku hiyo sasa, ila nashukuru zile Hangover za asubui nilizoamka nazo ndio zilinipa Moyo wa kujiamini.

We fikiria miaka ile Pisi ilikuwa kali balaa je jiulize sasa hivi inakula Salary ndefuu ya Mabeberu (Donor Countries) muonekano wake utakuwaje??Mzee Baba achaa Pisi ilikuwa na ngozi nzuriii balaaah vijana mnaita Chocolate sijui, Shape sasa ndio ilikuwa ballah, Mkurugenzi, Mkuu wa Idara kila mtu macho juu.


Turudi kwenye kikao, sasa sijui siku niliamkaje maana nilikuwa nimepiga pamba swafii niko smart na nimepulizia pafyum yangu matata ya Maangamizi. Mkuu wa kikao akasema na wewe jitambulishe, nikajitambulisha baada ya kikao kuisha kutoka nje Pisi ikanifuata kabla haijanisemesha nikampa hug nikamtajia jina lake nikamwambia karibu ...... Rock City!, akashangaa sana kama bado nakumbuka jina lake, Hapo Mzee Baba ndio nilipata pointi za waazi kabisaa asubuii.

Nikamwambia ukitoka site naomba nikutafute niwe mwenyeji wako, akasita .. baadae akasema sawa akaniambia chukua namba yangu, Nikajiongeza nikamuuliza namba yako ya wakati upo chuo bado unayo? Akatahamaki akasema ndio nayotumia mpaka sasa, nikamwambia namba yako bado ninayo kwenye simu yangu, Pisi ikahamaki na kutabasamu kihaina , Mzee Baba hiyo ni pointi ya pili ambayo nilipataa ya waziiiii kabisa , nikajisemea kimoyomoyo ashaliwa huyuuu.


Itaendele soon..
 
Back
Top Bottom