Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Nishakutana na manzi mmoja town hanijui simjui ...kumchombeza huyo tukaenda home nikamla

Ikapita miezi kadhaa bana kumbe alikuwa anajua kauvaa ugonjwa wetu hivyo akawa anagawa tu hovyo kukomoa

Mjinga yule kaenda kupima tena kakuta hana alienda kutoa shukrani kanisani ,sasa hivi yuko zake Us huko na watoto wawili
matokeo ya dhambi ni mauti; hakuna amani katika uasi kwa Mungu
 
Attention
Watu wameanza kukopi machombezo huko Fb na kuyaleta humu wakijinasibu kua wanakula kimasihara.
Sisi wananchi wa nchi hii hatutakubali kitu kama hicho maana ni uvunjaji wa katiba.
Ni kosa la jinai.
Tunaomba ndugu Max uingilie kati..Kuna watu wanatumika na mabeberu kuhujumu huu uzi
Umeongea true boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi za kwangu zote huwa ni arranged, nafanya tendo nikiwa na hisia na mapenzi na mtu.
Yaani napenda kuenjoy na kuwa free kwa mtu.
Sema nyie wanaume wajinga mnaweza kuona mnakula kimasihara kumbe watu tuliwaweka kwenye mkakati mda mrefu sana.
Sasa hem sema na wewe story yako ya kula/kuliwa kimasihara. Nimetokea kukukubaki ghafla ujuwe[emoji39][emoji39]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom