Hahahahaaa here we gooooooo!

Nimepata likizo ya kikazi na kuamua kurudi home kwa wazazi kuja kuwajulia hali baada ya mwaka mzima wa kutoonana.

Hapo mtaani ikatokea nikazoeana na msela mmoja ambae anamiliki stationery, kuna time nikawa naenda pale stationery kwake kupiga stori, mpaka ikatokea nikazoeana na baadhi ya wateja wake wa mara kwa mara.

KULA KIMASIHARA ILIVYOANZA

Mida ya mchana alikuja mteja mmoja wa kike ambae tulishazoeana, ni binti mwenye msambwanda wa kutosha, kimo kirefu na macho malegevu.

Jamaa yangu wa stationery aliwahi kuniambia anavyomzimia huyo binti na anatamani amtafune.

Sasa binti alivyofika, akampa jamaa kazi ya kutype, kisha akaketi kuisubiria huku tukipiga stori za hapa na pale. Binti alionyesha kila dalili za kumzimia yule mshikaji, mimi nikawa nachombeza na tumaneno tudogotudogo kumsukumia zigo jamaa ili lengo lake la kumtafuna litimie.

Binti akamuuliza mshikaji, hivi unapenda wanawake wa aina gani? Jamaa akajibu sifa tofauti na alizokuwanazo binti.

Usoni binti nikamuona jinsi alivyojishushua mwenyewe kimoyomoyo. Akakata stori na kupiga kimya. Jamaa akaendelea kutype.

Nikavunja ukimya na kuongea na binti, nikasema "Ile nguo uliyovaa jana, ilinipa tabu sana, ungekuwa single kama mimi, ningekutongoza"

Nikweli jana alivaa nguo ya mpira, so na ule msambwanda, ilikuwa balaa.

Baada ya kumwambia hivyo, binti akatabasamu na kusema inaelekea upo tofauti sana na huyu zuzu hapa, huku akimpiga ngumi ya bega yule mshikaji anaetype. Wote tukacheka, kisha binti akaniambia, naona uvivu kwenda dukani kule kuchukua vocha, Una 2000 kwenye simu?
Nikajibu ndio
Unatumia mtandao gani?
Tigo na Voda
Nitumie muda wa maongezi wa 2000 kwenye tigo.
Akanitajia namba yake nikamrushia, akafunua cover la simu alikuwa ameweka elfu 12, akanipa 2000 stori zikaendelea mpaka kazi yake ilipoisha kutaipiwa na kuprintiwa akaaga na kuondoka.
Baharia nikasave namba yake ile ya tigo nikatulia.

KULA KIMASIHARA ILIVYOJITOKEZA
Siku hiyohiyo mida ya saa moja usiku nikiwa home naona text kutoka kwa yule mrembo, ukowapi?
Nikajibu "nakuja kwako, nielekeze"
Text inaingia, full direction.
Nikakurupuka chapuchapu, unyunyu nini, buti tatu, futa la maji(kama nikikuta k ni zile za kiangazi, namwaga futa nateleza), lesso, pitia dukani beba maji kubwa. Shoto kulia mpaka nikafika alikopanga, single room ina self.

Hodi, karibu. Nikaingia ndani, Binti ndani ya khanga moja, nikatanua mikono kuonyesha ishara ya kutaka kumkumbatia, akatabasamu na kuja kunikumbatia, mkono wa kulia nilikuwa nimeshika maji kubwa, so ukabaki juu juu mgongoni, huu wa kushoto ukashuka hadi kwenye lile tako ukatua ndiiii. Lahaula, zigo kubwa laini balaaa. Na nilibaini hata chupi alikuwa hajavaa. Tukiwa bado tumekumbatiana nikaanza kuyaminyaminya yale makalio kwa sekunde kazaa kabla sijaambiwa karibu uketi. Huku akijitoa kwenye lile kumbatio, nilichokifanya ni kuweka maji chini, nikamvuta tena kwangu na kuunganisha ndimi zetu, akaudaka ulimi wangu na wakati mwingine akanipa wa kwake, alitoa mihemo flani hivi ambayo ilizidi kunipa mzuka zaidi, mara tukajikuta tumedondokea kitandani, minyonyano ikaendelea, khanga tupa kule, nikavua tshirt yangu nikabaki kifua wazi, kucheki k kipara, nikapima oil na smell kwa kidole, nikakuta ni grade one, nikazama chumvini, ana simi kubwakubwa hivi, nyonya tekenya kwa dakika 20 hivi akamwaga maji mengi hivi huku akilalama unaniuaaa, miguu yake ilikuwa inatetema hatari, huku akiwa kainyanyua juu na kufanya mapaja yachezecheze wakati akitetema, sasa nikavua suruali na kuchukua buti kisha nikamuomba anipe doggy, bwana bwana, nani kasema vibonge hawapigi miunooooo. Piga tako za kutosha huku nikichagizwa na mneso wa matako yake laini na vilio vya mahaba. Ama kwa hakika binti alikuwa fundi mno. Ilinichukua dakika 15 kupiga doggy, nikamwambia aje nimpakate, nikakaa kwenye kitanda miguu chini, akaja kwa juu na kuendelea kupiga miuno, alivyolaini hata huhisi uzito aisee ni mustarehe tu. Uvumilivu ukakata baada ya dakika 15 nyingine baharia nikatia nanga.

Wote hoi, akaniambia nilikuita uje ule chakula nilichopika, wewe umeanza kula mpishi, haya ngoja nikupakulie sasa. Tukacheka, tukala wote msosi, kisha tukalana tena mara mbili zaidi, saba kasoro usiku huyo nikageuza kurudi home bila buti hata moja.

Kwa mimi kurudi mida hiyo home sio ajabu, wazee wanajua natoka kucheki mpira.

Nikaingia ndani, nikachukua chakula nilichowekewa nikazama nacho chumbani kwangu.

Kuanzia siku hiyo ikawa nimtafunano mpaka likizo ilipoisha na kurudi mkoani kuendelea na kazi.

Jamaa yangu wa stationery anasema binti kila akifika stationery anamwambia anamiss uwepo wangu pale, kwakuwa sikuwahi kumwambia kuwa nilimla basi nikamwambia kula zigo hilo ataacha kunizungumzia, ila moyoni nilijua hawezi kumpata kwa maana binti nilishamjaza sumu kuhusu yeye.


Hahahahahahaaaa
Iamokay
Negotiator out.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili Jamaa liongo, Lina chai nyingi sana Likishaona kuna mtu kaja na story inabamba na lenyewe linatunga yake linashusha.. Mtu akisema mimi kilinikuta hiki nayeye anadakia hata mimi ilikua hivi
Hahahaaaa, pole mkuu naona unaumia kweli nahisi haya mambo hujayapitia
Hizo mbona baadhi tu ya nyingi zake, hamna maajabu zaidi ya kujiamini tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukikutana na mwanamke mwelewa ni rahisi sana kukutoa kwenye hiyo kadhia, tatizo sio nyeto ni saikolojia tu, unajikuta tu siku unapiga show adi unajishangaa.
Nilipitia kipindi flan kibiashara yaani hata ile kuamka asubuhi kimesinyaa km cha mtoto, nikawa nakwepa madem zangu maana niliabika sana kwa mmojawapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sawa kabisa baaria wangu...huo ndo uchina wenyewe..mwishowe wanapata corona
 

Baharia walishandania kupiga bao 12...mla baharia alishia kupiga bao 8.5...😀😀😀😀
 
Lazima kupima oil na kuanusa...😂😂😂😂😂....lasivyo hilo shombo unaweza unakula ndimu mwezi mzima...
 

Pole baaria...wana punguzen selfie...nasema tena punguzeni...kuna wana haya mastory wanaishia kula onesome...mwishowe mtaishia kujitamani wenyewe tu...
 
Ahhahhahaha, umenikumbusha aibu kubwa nliyoipata, ilikua ni kula kimasihara sababu nlichat nae kimasihara nkamuuliza nije?? Akajibu njoo..nlivoingia kwake nkamparamia, ni mwanamke ambaye maisha yake alifanya mapenz mara moja tu...kwanza kitu tait kuingiza ishu....kitu kikalala...nkaanza kulalamika mara ohh nimelogwa mara oooh utakua umetegwaaa....nikajipigisha simu kwa wakubwa.....mwanamke alinionea huruma sana....mwisho wa siku sahivi yeye ndo anayeomba pooh....napiga mashine mpaka anaikimbia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaaa, pole mkuu naona unaumia kweli nahisi haya mambo hujayapitia
Hizo mbona baadhi tu ya nyingi zake, hamna maajabu zaidi ya kujiamini tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Samboko mwananangu nimeanza na huu uzi toka mwanzo.

Nimesoma comment zote mpaka vituo

Sina nia ujisikie vibaya wala nini ila kaa ukijua kwamba tunajua kabisa story zako ni za uongo

Mbaya zaidi uongo wako wa kitoto sana
 
Pumbavu kabisa weeweeeee ha ha hs wangoni bana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatari

Sent from my A1601 using JamiiForums mobile app
 
Hapo kwenye kupigishwa punyeto dah!
Happy alinifanya tukatia aibu kwenye gari, kuna wanawake ni nyoko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…