[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

God save us
 
Mi sina dhamira ya kukupata kwenye hiace au barabarani, chora location nikufuate chap tuyajenge.
 
Duh mi hata sikupi pole! Angalau ungekuwa ulilika kimasihara ningekupa pole!
Ila ina utamu wake maana mnakuwa hajapanga wala kudhamiria! Yaani kunusurika tu unalia?
Sasa ungeliwa sindio ungezimia kabisa!?
Sijawahi asee na sitaki nije kushiriki hayo masihara.
Ila nilishawahi kunusurika kulika [emoji3] hiyo siku nililia, nikajifunza kutokuwaamini wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes! Baada ya huu uzi naona wengi wanapanga kabisa kula kimasihara!
Ninachojua kimasihara wote me na ke mnakuwa hamjapanga! Yaani ni ile pasipo kudhamiria mnajikuta tu ishaingia!
Haha!!
Ukishaplan ujue inakuwa sio kimasihara tena? Hapo kimasihara labda iwe kwa yule KE atakaelika bila kutegemea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuhakikishia utaliwa kimasihara hutokaa uamini.
Tena unaweza kwepa kwenye hiace ukaliwa kwenye bodaboda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona hujamalizia mzee baba...
emu tuqmbie izo tabia ulizojifunza na hayo madhara mzee baba...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
OK ngoja nami share yangu kidogo..
Nilienda kufuatilia huduma kwenye taasisi ya bima, nilihudumiwa ofisi moja nikaelekezwa kwenda ofisi nyingine nikakamilishe kila kitu ..Aise nilikutana na karibu ya binti mmoja mrembo sana ki gentlemen nikatoa tabasam la mbali nikamueleza shida yangu akaanza ishughulikia, wakati huo akili yangu inawaza kweli hapa naondoka hivi hivi... Hapo watu wengine wanasubiri kuhudumiwa pia, baadae akanipa ki karatasi nimuandikie details zangu alizokua akizihitaji.. Niliandikia nilivyo maliza nikageuza karatasi upande mwingine nikaandika " You smell so good Miss, You're very beautiful too. I almost like you, please find me ".Nika smile nikampatia karatasi. Nilifanya hivyo nikijua akitaka nitafuta namba yangu ya sim ataipata kwenye details zangu, mwisho nikaondoka.

Baada ya kama siku tatu hivi jmosi ikaingia sms namba mpya "Thank you" Nikajibu You're welcome japo sijajua ni nani. Akajitambulisha ..tukapena salam nikamkatisha kwenye chatting nikamuhaidi nitamtafuta baadae kidogo hiyo ilikua ni asubuhi, mida saa 10 jioni nika mtext "hey" akajibu "What's up" baada ya text tatu nikamwambia "Please let me see beneath your beautiful" alikuja jibu kama baada ya saa moja na nusu hivi, sms moja yenye line kama 8 hivi kifupi alisema naonekana mdogo ila na confidence sana, jinsi alivyo andika ile sms sikutaka kuijibu haraka haraka niliona nimpe muda kidogo.

Baada ya dakika kumi nyingine akanitext " Let me play this crazy game, send me location. " Tulikutana kwenye Lodge moja ya kiwangu cha kuridhisha..and It was a very great day... She is beautiful with very fine body.

Jpili asubuhi kwenye saa nne nikamwambia twenzetu nina mishe naenda fuatilia town akaniambia "Noo naomba niwe nawe pia kwa leo kama wewe ulivyo omba kuona uzuri wangu nitalipa bill" nikaona isiwe tabu nikamuga naenda town kama saa 1 hivi nitakua nimerudi. Nilivyo rudi nilikuta ame oda chakula kizuri sana na Alta wine.

Hatukutoka ndani mpaka jtatu alfajiri akaenda kujiandaa awahi kazini. She is one of a greatest girl I ever met, she don't talk much.

Basi ndio ulikua utaratibu wetu kila weekend, mpaka nahama huo mkoa. Sikuwahi muuliza kama ana mpenzi wala hakuwahi niuliza kama nampenzi. Hope she is doing ok.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes! Baada ya huu uzi naona wengi wanapanga kabisa kula kimasihara!
Ninachojua kimasihara wote me na ke mnakuwa hamjapanga! Yaani ni ile pasipo kudhamiria mnajikuta tu ishaingia!

Sent using Jamii Forums mobile app
Absolutely...ila hapa naona watu wengi wanachanganya files tu.
Halafu kingine watu wanasahau kuhusu huruma + genye. Unaweza hisi umemkula KE kimasihara kumbe mwenzako amekuonea huruma tu au alikuwa na hamu zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…