hahahahaaaha kuna dada mmoja huko juu ametoa kisa chake honestly na mimi nimehamasika kutoa kisa changu kwa new ID.
Miaka hiyo nasoma chuo fulani maarufu hapo Dar nilikua nimeachana na boyfriend aliyekua anasoma chuo mkoani. Na he was my first man..na tulisha do kama mara nne.
Sasa sijui ni upweke, hasira au nini ilinipelekea kuanza kuflirt na mkaka mmoja aliyekua mbele yangu mwaka mmoja anaitwa G.
Huyu alikua anajikuta wa kishua sana, nini na nini...yaani kama kwao wanazo sana, amesoma serminary anapenda vitu vizuri..sijui room kwake kuna wine. Ni mtu smart sana kimuonekano, mfupi, ana kichwa kikubwa na macho makubwa ya kiwizi wizi na anajipenda sana na ni selfish mnooooooo..nilikuja kujua kua anafanya hivyo ili kujipatia mademu..anyway mimi si mnywaji, wala story zake sikuzitilia maanani..nilichopenda ni baadhi ya interest zetu zilikua zinaendana..nilikuja baadae kujua kua jamaa ni player vibaya mnoo na ana tabia ya kutumia wanawake. Sikua na plan zozote za kuwa nae kimapenzi..nilitaka tu company ili nipite kipindi hicho cha mpito.
Siku moja akanipigia niende room kwake..mimi wala sikua na mpango wa kutoa mzigo..nikaenda tuu..akaniambia unakunywa wine, nikamwambia hapana..tukaangalia movie kidogo nikamuona anaanza kunishikashika, nikamwambia siko tayari..heeee mara kavua suruali..nikajichomoa mikononi niondoke kumbe kafunga mlango na funguo..akaja kunishika kwa nguvu na kunitupia kitandani..nikawaza hapa nikipiga kelele nitaulizwa kwa block ya wanaume nimekuja kufanyaje...ikabidi niwe mpole...nikamwambia avae kinga..sijui aliitoa wapi ile condom akavaa..
Hahahaahaah jamaa akibusu unatamani kutapika...ana ulimi mrefu kama wa kenge..romance sasa utafikiri anakufinya..alipokuja kuingiza dudu...boy! Jamaa ana very very tiny dick...haaaaa nikashangaa nikajikausha...yaani ule ushua wote jamaa ni zero haswaaaa..baada ya hapo nikandoka nikiwa nimechukia balaa kulalwa bila ridhaa yangu...sijui ni allergy ya mafuta ya condom...niliwashwa mnooo na kujikuna k..nilipata shida ile week siwezi sahau..jamaa akawa kama ananipotezea mimi nikataka kujenga ukaribu akawa kama ananitenga nikaanza kujiona mimi sio demu wa class yake, ukikaa nae anaongea vitu vya ovyo kukufanya ujisikie uko duni, na mimi hua ni mnyonge kitabia na kimuonekano, basi nikapoteza kujiamini kabisa.basi roho ikaniuma baasi..
Sasa kuna kaka mwingine alikuwaga ananifahamu kabla sijaja chuo nae alikua mwaka wa mbele tulikuaga tunasalimiana kwa mbali tuu..ila alikuaga ananiangaliaaaaa..mimi sikua na pay attention kabisa..nikikutana nae lazima anisimamishe anijulie masomo basi...siku moja niko na rafiki yangu akaniambia huyu kaka atakua anakupenda, mimi nikapuuzia..akaja akaniomba namba, nikampa ndio mawasiliano yakaanza...tukawa karibu sana, hapo ni kama week moja toka niliwe kimasihara na yule ndezi...heeeee eti siku moja niko room naona namba ya yule G inanipigia, nikawa namkatia tuu..baadae natoka hall letu nje namkuta amefura hasira eti aliniona na mtu mwingine tumekaa mahali...nilimshangaa nikamwambia unaniuliza kama nani? Nikamwambia aniache..akanishika mkono kunivuta nikampa bonge la tusi..nikamwambia aendelee na u.m.a.la.ya wake...hakuamini kabisa..
Yule kaka mwingine tulikuja ku fall in love kwakweli.. Niliglow na kuanza kunenepa baada ya kua na huyu kaka..full kujiamini na nilikua natabasamu all the time...nilibadilika mnoo. Kila nikimuona nilikua nahisi vibrations huku chini hahaha..hisia zilikua kubwa sana..nilishukuru sana kua na mwanaume kama yule..our love was so deep and real...hata mkiwa mna make love you feel each other...miaka 10 plus mpaka leo ndie mume wangu na tuna watoto kadhaa..kama kuna maisha mengine baada ya haya i would choose him over and over again..
Ladies jifunzeni hapa...mkiachana usitafute sympathy kwa wanaume, wengine ni mabazazi utaishia kugongwa hovyo maana kipindi hicho unakua kama loose ball.
Pia hakuna formula ya kumpata mr.right..my man wakati tunaanza mahusiano hakua na hela hata ya kununua chakula..boom lilichelewa, mimi ndio nikawa namsaidia mpaka naogopa kua huenda ndo walewale.
Ahhh hakuna anayeifaham kesho ya mwenzie, usimdharau mtu kwavile leo hawezi kununua hata sahani ya matunda ya mia tano au wali wa jero cafeteria.....jamaa turned out to be a blessing, and i regret nothing.
Yule mkaka mwingine anaitwa G sijui alishaoa maskini..hahaahahahahah kama G ulioa, i feel sorry for your wife..aisee mheshimu sana mkeo..ni anakuvumilia balaa..
 
Ngoja niongeze,

Nilikuwa nafanya kazi kwenye hotel fulani kama mkuu wa operations, sasa yule mmiliki wa hotel alikuwa (muhindi) mtu wa bata sana alikuwa anakuja pale hotelini either once per month au in a two months kuangalia business yake inaendeleaje.

Sasa kulikuwa na demu mmoja mFilipino na alikuwa ni mfanyakazi mwenzetu ila ndio alikuwa demu wa yule mmiliki,yaani kila akija anampigisha demu bata na mitoko night mida ya usiku ila asubuhi anakuwa kazini nasi kama kawa.

Sasa basi, yule jamaa (mmiliki wa hotel) alikuwa ni mtu anafuatwa sana na mademu huko kwenye viwanja kwasababu ya pesa, kuna siku alikuja kama kawaida pale hotel kucheki business na usiku walienda kula bata club kama kawaida, ilifika wakati huko club alikuwa amelewa akavuta demu mwingine na kudendeka in public wakati huyu demu wake (mFilipino) yuko around.

Demu (mFilipino) alichukia sana, walivyorudi kesho ake jamaa (mmiliki) akasafiri, basi Mfilipino akawa na stress karibu week nzima.

**Kula kimasihara**
tulikuwa tunaishi kwenye nyumba za wafanyakazi za hotel, basi jioni moja( ndani week hiyo hiyo ya stress ) baada ya kazi tukaanza ku chatt kwa simu na Mfilipino wakati niko room kwangu na yeye yuko kwake ile "vipi, niaje , kazi imeendaje leo"
Akaniuliza unafanya nini, mimi nikamjibu (kwa utani) "naangalia porn", akastuka akacheka halafu akauliza unaangalia wapi, nikamwambia kwa simu nikamtajia webs.

Kama dakika 2 akarudi kwenye chatt( kumbe yuko serious) akidai anashindwa ku access hizo websites kwa simu yake, nikamwambia nakuja kukusaidia.

Nikavaa truck yangu bila boxer, nikaelekea room kwake(wakati huo alishanambia mlango uko wazi nikifika niingie direct)..nilifika nikaingia nikampa simu yangu nilikuwa nishamwekea videoz kabisa kutoka xxvideos ( hapo nilihakikisha all other apps nimezi off internet).

Nikampa simu akaangalia alichotaka( muda wote tumekaa kwenye sofa moja pale room), nikamsogelea zaidi na kumsaidia kubadilisha video, wakati huo mnara kwenye boxer unasoma 5G nikasimama makusudi ili aone, mara namuona anajinyoosha nyoosha... kilichoendelea ni kata funua.

Basi alifurahia show saana akawa anasema ule msemo wa white chicks "once you go black, you will never go back", daah! Ukawa ndio mchezo wetu, ila nikamwambia heshima iwepo wakati demu wangu anapokuwa yupo pale nyumbani ( maana nilikuwa na demu permanent na alikuwa anamjua kidizaini walikuwa wanafahamiana) basi alikubali kuwa anaiba na akaniambia yuko tayari ila hataki asikie nina demu mwingine, ni yeye na demu wangu tuu.



Alexander The Great
 
Hahahhahha....wewe mtoto noma sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haujaeleweka yan umechanganya mboga saba zote kwenye bakuli moja[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwaiyo unataka kusema katika maisha yako hao wawili watatu ndio uliotembea nao tu ???? Aahh usitupange wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole kwa kufeli...


Ila lazima tu ungefeli kama saa 6 mchana muda wa vipindi mlikua bize kupiga chabo wakati wenzenu wanapiga pindi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwafikisha wale samaki kwa ile familia na nikawahakikishia kuwa yule bwana yupo huko anapambana. Familia yake kwa maana ya wazazi wakamtuma mdogo wake amfuate akawa deported nyumbani.

Sasa yeye alikuta mambo yameharibika kidogo.

Ilikuwa hivi, wakati anaondoka kwanza hakuaga,akaenda mafia kulima nyanya,.kakaa miaka 2 huko bila mafanikio,akaamu kujichanganya kwenye samaki...basi akalowea huko. Kibaya zaidi wakati akiondoka alimuacha mkewe ana ujauzito wa kujifungua.Mke wake akajifungua salama huku baba na mama mkwe ndio wakimhudumia kwa kila kitu.

Baada ya miaka minne kupita bila taarifa ya jamaa yuko wapi,baba ake na mama yake wadhani kuwa huenda mwanao alishafariki au kuuwawa,waka mweleza binti akaolewe kokote maana yeye bado mdogo,kuendelea kumsubiria mtu asiyejua atarejea lini baba akaona sio busara,lakini yule binti akagoma kuondoka pale nyumbani,akidai kuwa yeye alishaolewa pale kwa hy niwa pale na hataondoka ataendelea kumsubiria jamaa hata kama ni miaka 30.

Sasa,kuna nyimbo fulani hivi za kilugha chetu wanawake huwa wanaziimba wakati wanafanya shughuli zao ndogondogo hapo nyumbani.Nyimbo hizo hubeba jumbe mbalimbali kama Upendo,majonzi msamaha, furaha ya kuwa na familia n.k. Sasa yule binti alikuwa akiimba nyimbo za kumiss mume wake na wakati mwigine alilia, baba mkwe hizo nyimbo zikawa zinamuumiza sana na kumtesa na kuumia,akawa anajihisi kuwa yeye ni mkosaji,labda mwanae hakumlea vyema katika maadili mazuri ndio maana kamkimbia mkewe.

Baba akaamua atafute mbinu ya angalau kumfariji mkwe. Akawaita wanawe wote wakiume pale nyumbani,akafanya nao kikao na kuwaomba kwamba waone namna gani wanaweza kumhudumia shemeji yao kimwili,wamtongoze wapambane hadi apatikane mshindi, atakayempata ndiye atakuwa mumewe kwa kipindi chote na kwa mahitaji ya mengine tofauti na ya kimwili familia itaendelea kutoa,yeye kazi yake ni kumgonga tu. Mshindi aliopatika......na ni mdogo mtu,yaani wanayefuatana na jamaa.Akawa anakula mzigo na yule binti akawa anapozea na kuponea hapo.

Sasa...ujio wangu na taarifa kuwa yule jamaa yupo Loya,kanipa na samaki hizi...kamongo wa kukaushwa na jua na kambale wa kukunja wa kukaushwa na moshi...na pesa kwa mke wake tsh elfu 70,walitaharuki....na mzee wake kwa maana ya baba akatokwa na machozi,mama huko sijui maana kimila sie huwa hatukai sehemu moja na wanawake.Mzee akamuru iuzwe ngombe pesa ipatikane jamaa aletwe hata kwa kufungwa kamba. Jamaa kweli akafuatwa akaletwa.

Anarudi nyumbani anamkuta mkewe mja mzito...ana mimba ya mdogo wake.!!! Usiku ulipoingia akagoma kwenda kulala kwa mkewe,akalala kwenye ghetto la wasioowa. Asubuhi kunakucha kikao cha ndugu kikakaa,kesi ikaendeshwa na jamaa akatiwa hatiani na ukoo kwa makosa takriban manne...mosi kuodoka nyumbani bila kuaga,pili kuondoka nyumbani bila kumuaga mkewe huku akitambua kuwa ni mja mzito..hivyo kuhatarisha maish yake na mtoto,tatu pamoja na kuondoka hakutoa taarifa yuko wapi baada ya kufika huko alikokwenda na nne kwa nini aligoma kwenda kulala kwa mke wake....

Kiufupi jamaa aliadhibiwa fimbo nyingi tu na akaambiwa akachunge mifugo miaka 2 na kunywesha, aombe msamaha kwa mke wake na waendelee kuishi...na ikawa ivyo.

Jamaa yupo kijijini kwao na alishakuwa na maisha mazuri tu na familia kubwa,mwanae yule wa mdogo wake alikuwa binti yupo sekondari na jamaa hana kinyongo na mdogo wake....nadhani alieleweshwa akaelewa...Upendo huvumilia yote.
vipi ulipeleka samaki kwa ile familia ya jamaa yako , kama ulipeleka ikawaje, vipu jamaa Alisha irejelea famili take au bado anatafuta?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii iliwahi kutokea hata kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…