Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Siku moja niko pub moja napata mbili tatu,gafla ukazuka ugomvi meza ya jirani jamaa akawa anamlazimisha demu waondoke demu hataki anadai mpaka amalize bia zake,jamaa mala akaanza kukusanya vile vinywaji na kumuamuru anyenyuke waondoke,,mala paaa nasikia demu kaja meza yangu na kuniita jina baba omary unamuona huyu? Mimi nikajibu mimi nawaangalia tu,yule jamaa akasepa sijui alihisi ni demu wangu,basi nikamwambia tuondoke nikaongoza mpaka guest nikachukua chumba nikala mbunye nikamuacha kalala,,,
Wanawake akili zao wanazijua wenyewe
hiyo ndo kweli inaitwa kula tunda kimasihara....hizo zingine ni story tu
 
Nimeumisi Sana huu Uzi.
NAJUTA KULA KIMASIHARA

Ilikua siku ya jumamosi jioni nilipoenda kumtembelea rafiki yangu. Tumepiga Sana story ilipofika jioni akadai kuwa siku hio alishampanga demu wake kuwa angekuja kulala geto kwake hivyo nikalale chumba kingine ambacho kilikuwa wazi kwa muda huo.

Basi mpaka kufika saa tano yule demu wa jamaa hakufika ikabidi nimuulize jamaa vipi mbona kimya . Akaniambia tuende kumfuatilia kwanini hakuja. Hee katika kufuatilia tukapata taarifa kua kalala kwa jamaa mwengine na hapokei simu.

Basi jamaa roho ikamuuma Sana ikanibidi nimshauri aachane nae kabisa yule demu hafai.
Jamaa alikaa kimya hakunijibu chochote ikabidi nijistukie Basi tukalala. Kesho yule demu wa jamaa alikuja na Cha ajabu jamaa Wala hakuonesha anahasira Bali walizungumza kiutu uzima wakapanga Tena jioni wafanye Kama walivyoahidiana.

Basi mzee Sina hili Wala lile kweli demu akaja kwenye geto la jamaa Mimi nikajongea kwenye kile chumba alichonipatia jamaa. Baada ya muda nasikia wanarumbana nikatoka nje nijue kulikoni Mara nakuta jamaa anamfukuza Dem Kama kibaka.

Basi nikajifanya msamalia mwema nikaanza kumuelekeza jamaa kua Mwanamke kamwe hapaswi kufanyiwa hivi ulipaswa umwache kwa usiku ule kwakuwa Hana pa kwenda. Basi nikamchukua yule manzi nikampeleka kule geto nililopewa kwa usiku ule.

Nikaanza kumuuliza kulikoni Tena mnagombana akaanza kufunguka kua alikua siku za hatari Ila jamaa hakutaka kuelewa anataka tufanye bila kinga. Eeh Basi baharia nikampooza nikaanza Sasa namie kuomba mzigo.

Nimeomba Sana mzigo mixer na maneno mazuri wapi Basi nikaanza kumtekenya tekenya huku najichetua Kama chizi mtoto kaanza kulainika nikaanza kumtoa nguo zote chukua dushe pachika rungu dah nikastuka aisee kila nikichomeka naelea ikabidi nipige kibishi fasta fasta nikavaa nikamuacha chumbani pekeake nikarudi kulala kwa jamaa ili asijue kua nimefumua.

Kesho yake naamka jamaa ndo ananipa story yule demu anafumuliwa na madereva wa maroli, bodaboda wa pale kitaa muda wowote wanapita makondakta ndo goma lao aisee nilipigwa na butwaa nikajiona ndo nishaingia kingi apa. Aisee hakuna kipindi niliishi maisha ya mashaka Kama kipindi kile.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeumisi Sana huu Uzi.
NAJUTA KULA KIMASIHARA

Ilikua siku ya jumamosi jioni nilipoenda kumtembelea rafiki yangu. Tumepiga Sana story ilipofika jioni akadai kuwa siku hio alishampanga demu wake kuwa angekuja kulala geto kwake hivyo nikalale chumba kingine ambacho kilikuwa wazi kwa muda huo.

Basi mpaka kufika saa tano yule demu wa jamaa hakufika ikabidi nimuulize jamaa vipi mbona kimya . Akaniambia tuende kumfuatilia kwanini hakuja. Hee katika kufuatilia tukapata taarifa kua kalala kwa jamaa mwengine na hapokei simu.

Basi jamaa roho ikamuuma Sana ikanibidi nimshauri aachane nae kabisa yule demu hafai.
Jamaa alikaa kimya hakunijibu chochote ikabidi nijistukie Basi tukalala. Kesho yule demu wa jamaa alikuja na Cha ajabu jamaa Wala hakuonesha anahasira Bali walizungumza kiutu uzima wakapanga Tena jioni wafanye Kama walivyoahidiana.

Basi mzee Sina hili Wala lile kweli demu akaja kwenye geto la jamaa Mimi nikajongea kwenye kile chumba alichonipatia jamaa. Baada ya muda nasikia wanarumbana nikatoka nje nijue kulikoni Mara nakuta jamaa anamfukuza Dem Kama kibaka.

Basi nikajifanya msamalia mwema nikaanza kumuelekeza jamaa kua Mwanamke kamwe hapaswi kufanyiwa hivi ulipaswa umwache kwa usiku ule kwakuwa Hana pa kwenda. Basi nikamchukua yule manzi nikampeleka kule geto nililopewa kwa usiku ule.

Nikaanza kumuuliza kulikoni Tena mnagombana akaanza kufunguka kua alikua siku za hatari Ila jamaa hakutaka kuelewa anataka tufanye bila kinga. Eeh Basi baharia nikampooza nikaanza Sasa namie kuomba mzigo.

Nimeomba Sana mzigo mixer na maneno mazuri wapi Basi nikaanza kumtekenya tekenya huku najichetua Kama chizi mtoto kaanza kulainika nikaanza kumtoa nguo zote chukua dushe pachika rungu dah nikastuka aisee kila nikichomeka naelea ikabidi nipige kibishi fasta fasta nikavaa nikamuacha chumbani pekeake nikarudi kulala kwa jamaa ili asijue kua nimefumua.

Kesho yake naamka jamaa ndo ananipa story yule demu anafumuliwa na madereva wa maroli, bodaboda wa pale kitaa muda wowote wanapita makondakta ndo goma lao aisee nilipigwa na butwaa nikajiona ndo nishaingia kingi apa. Aisee hakuna kipindi niliishi maisha ya mashaka Kama kipindi kile.




Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa sikupi pole jana mlishajua demu kaenda kukitembeza sehemu kesho yake anakuja kwenu wewe unapiga tena kimasihara kavu!!! kama umeshaenda kuchek status yako iko poa usirudie kimasihara kavu kwa madem wenye utata.
 
Nimeumisi Sana huu Uzi.
NAJUTA KULA KIMASIHARA

Ilikua siku ya jumamosi jioni nilipoenda kumtembelea rafiki yangu. Tumepiga Sana story ilipofika jioni akadai kuwa siku hio alishampanga demu wake kuwa angekuja kulala geto kwake hivyo nikalale chumba kingine ambacho kilikuwa wazi kwa muda huo.

Basi mpaka kufika saa tano yule demu wa jamaa hakufika ikabidi nimuulize jamaa vipi mbona kimya . Akaniambia tuende kumfuatilia kwanini hakuja. Hee katika kufuatilia tukapata taarifa kua kalala kwa jamaa mwengine na hapokei simu.

Basi jamaa roho ikamuuma Sana ikanibidi nimshauri aachane nae kabisa yule demu hafai.
Jamaa alikaa kimya hakunijibu chochote ikabidi nijistukie Basi tukalala. Kesho yule demu wa jamaa alikuja na Cha ajabu jamaa Wala hakuonesha anahasira Bali walizungumza kiutu uzima wakapanga Tena jioni wafanye Kama walivyoahidiana.

Basi mzee Sina hili Wala lile kweli demu akaja kwenye geto la jamaa Mimi nikajongea kwenye kile chumba alichonipatia jamaa. Baada ya muda nasikia wanarumbana nikatoka nje nijue kulikoni Mara nakuta jamaa anamfukuza Dem Kama kibaka.

Basi nikajifanya msamalia mwema nikaanza kumuelekeza jamaa kua Mwanamke kamwe hapaswi kufanyiwa hivi ulipaswa umwache kwa usiku ule kwakuwa Hana pa kwenda. Basi nikamchukua yule manzi nikampeleka kule geto nililopewa kwa usiku ule.

Nikaanza kumuuliza kulikoni Tena mnagombana akaanza kufunguka kua alikua siku za hatari Ila jamaa hakutaka kuelewa anataka tufanye bila kinga. Eeh Basi baharia nikampooza nikaanza Sasa namie kuomba mzigo.

Nimeomba Sana mzigo mixer na maneno mazuri wapi Basi nikaanza kumtekenya tekenya huku najichetua Kama chizi mtoto kaanza kulainika nikaanza kumtoa nguo zote chukua dushe pachika rungu dah nikastuka aisee kila nikichomeka naelea ikabidi nipige kibishi fasta fasta nikavaa nikamuacha chumbani pekeake nikarudi kulala kwa jamaa ili asijue kua nimefumua.

Kesho yake naamka jamaa ndo ananipa story yule demu anafumuliwa na madereva wa maroli, bodaboda wa pale kitaa muda wowote wanapita makondakta ndo goma lao aisee nilipigwa na butwaa nikajiona ndo nishaingia kingi apa. Aisee hakuna kipindi niliishi maisha ya mashaka Kama kipindi kile.




Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa yako pamoja na kumuona mzembe ila alikuwa na akili kuliko ww [emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeumisi Sana huu Uzi.
NAJUTA KULA KIMASIHARA

Ilikua siku ya jumamosi jioni nilipoenda kumtembelea rafiki yangu. Tumepiga Sana story ilipofika jioni akadai kuwa siku hio alishampanga demu wake kuwa angekuja kulala geto kwake hivyo nikalale chumba kingine ambacho kilikuwa wazi kwa muda huo.

Basi mpaka kufika saa tano yule demu wa jamaa hakufika ikabidi nimuulize jamaa vipi mbona kimya . Akaniambia tuende kumfuatilia kwanini hakuja. Hee katika kufuatilia tukapata taarifa kua kalala kwa jamaa mwengine na hapokei simu.

Basi jamaa roho ikamuuma Sana ikanibidi nimshauri aachane nae kabisa yule demu hafai.
Jamaa alikaa kimya hakunijibu chochote ikabidi nijistukie Basi tukalala. Kesho yule demu wa jamaa alikuja na Cha ajabu jamaa Wala hakuonesha anahasira Bali walizungumza kiutu uzima wakapanga Tena jioni wafanye Kama walivyoahidiana.

Basi mzee Sina hili Wala lile kweli demu akaja kwenye geto la jamaa Mimi nikajongea kwenye kile chumba alichonipatia jamaa. Baada ya muda nasikia wanarumbana nikatoka nje nijue kulikoni Mara nakuta jamaa anamfukuza Dem Kama kibaka.

Basi nikajifanya msamalia mwema nikaanza kumuelekeza jamaa kua Mwanamke kamwe hapaswi kufanyiwa hivi ulipaswa umwache kwa usiku ule kwakuwa Hana pa kwenda. Basi nikamchukua yule manzi nikampeleka kule geto nililopewa kwa usiku ule.

Nikaanza kumuuliza kulikoni Tena mnagombana akaanza kufunguka kua alikua siku za hatari Ila jamaa hakutaka kuelewa anataka tufanye bila kinga. Eeh Basi baharia nikampooza nikaanza Sasa namie kuomba mzigo.

Nimeomba Sana mzigo mixer na maneno mazuri wapi Basi nikaanza kumtekenya tekenya huku najichetua Kama chizi mtoto kaanza kulainika nikaanza kumtoa nguo zote chukua dushe pachika rungu dah nikastuka aisee kila nikichomeka naelea ikabidi nipige kibishi fasta fasta nikavaa nikamuacha chumbani pekeake nikarudi kulala kwa jamaa ili asijue kua nimefumua.

Kesho yake naamka jamaa ndo ananipa story yule demu anafumuliwa na madereva wa maroli, bodaboda wa pale kitaa muda wowote wanapita makondakta ndo goma lao aisee nilipigwa na butwaa nikajiona ndo nishaingia kingi apa. Aisee hakuna kipindi niliishi maisha ya mashaka Kama kipindi kile.




Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri tu uliogelea, ukiogelea huwezi pata ngoma.
 
Corona ipo Tz kwa hiyo tutafute Mbinu ya kula Tunda kimasihara bila kugusana , Yani unakaa distance flani unaituma dudu ikashughulike.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbinu hii hapa [emoji116] tayari
IMG-20200317-WA0036.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana nilikuwa na ahadi na manzi wangu hapa Mlandizi,nimechukua logde saa nne asubuhi kufika saa tisa manzi hajafika kupiga simu hapokei,baharia nikasema Leo nimepigwa changa maana huyu dem anakaa kwao na baba yake ni mjeda,nikajua nimeshakula wachuya,maana Mzee wake hakawii kusema wote shamba.
Mwamba kufika saa kumi nikatoka nikaenda kupata msosi karibu na barabaran hapo,nimemaliza kula kipindi chote napiga simu manzi hapokei kabisa wala SMS hajibu.Nikasema Leo 15 yangu gest imeliwa bure na muda nimepoteza.
Ile natoka nje pale nilipokuwa nakula nikapishana na demu ana hips,mrefu,mweupe,demu ni mkali usipime,duuuuu kichwa cha chini kikaanza kufikilia.
Nikasema ngoja nimfuate huyu manzi,kumbe alikuwa anaenda saloon jiran na pale tulipoonana,sasa ikabidi nimfuate kwa nyuma,mara paaaa anaingia saloon,mwamba nikabana nje kumbe kule saloon kuna aunt yake alikuwa anampelekea funguo na yeye anaenda dar.
Alipokuwa anatoka sasa mim nikamsalimia,mambo vipi,za siku nyingi, umepotea sana nikataja jina lake maana nilisikia kipindi anamuaga aunt yake,akipewa neno shule njema Xy.
Demu akawa anajibu lakini akivuta taswira tumeonana wapi,basi mim maneno Mengi utafikiri namfaahamu kitambo maana ukijua jina la demu kila dakika 1,umelitaja Mara 5,tukawa tunaenda lami sasa nikamwambia naomba tukae hapa dakika chache japo tupate kinywaji,kumbuka nina room tayar na yule manzi hajapokea simu nikaizima kabisa simu yangu.
Baada ya maongezi mengi pale nikasema mim ninaenda dar lakin gari yangu ipo gereji baada ya nusu saa inatoka, subiri twende wote dar,manzi kwa mbinde akakubali.baada ya dakika 20,nikasema twende nikachukue begi langu then twende kuangalia gari kama imepona,(kumbuka Mwamba sina hata bajaji wala Gari),zile ni mbinu za kivita tu.
Tukaenda hadi pale logde jina sitaji mnaweza unganisha dot. Kufika demu kabaki nje kasema wewe nenda nakusubili huku nje,kichwa cha chini kikawaza fasta nikapata jibu.Reception nikachukua key nikamwambia muudumu nifuate ,nilipofika nikafungua mlango then nikasema na muhudumu kuwa yule manzi pale chini ufanye aje ndani mwambie haturuhusu kukaa nje maana kuna michoro mingi inachorwa na majambazi,kwa hiyo ingia ndani.Mara paaa demu kaletwa room,yani huyu Muhudumu zaid ya pele na nilimpa elfu 5 ya soda.
Xx akasema unachelewa mbona nikasema nilikuwa naoga joto kali sana,Nikamkaribisha pale mezan kuna maji na wine maana niliianzia mapema wine,basi akawa amekaa kwenye kiti.
Story za hapa na pale akaanza kunidadisi mbona mim sikukumbuki tulionana wapi?:mwamba nikajibu kumbe tabia yako ya kusahau bado ipo,mim nimekuacha mwaka wa kwanza Chuo IFM
Maana nilinasa maongezi ya chuo chake,
Nikaamka nikamfuta alipokaa,nikamwambia maneno 3,wewe ni mzuri, mrembo na ni wife material,nikammalizia na busu mwaaahhhh,duuu manzi akaanza kulegeza macho,fasta nikaanza kutouch ,nilianza na masikio,nikaja kifuani,Bint anatetemeka utafikiria ana dengue ama corona, nyonya maziwa,,piga fingure sana,demu amelowana mbaya,nikamlaza kitandani, Durex ndio ngao ya Ushindi, nikachana kuvaaa demu Anasema unataka kufanya nin,nikajibu nakusalimia tu,wanawake bwana nyege juu alafu unauliza.
Baharia nilipiga show ya kufa mtu,demu anakata kiuno sijawai ona,,bao ,3 fasta sana na condom zikaisha,nikasema siuz mechi hapa.
Badae nikamaliza nae nikachukua namba kisha nikapiga simu gereji mkwara tu,"Fundi anasema amefuata spare ya Gari dar yupo njian a narud"je utaendelea kusubili,akasema no mim naenda ukija dar nitafute,nikampa nauli ya kwenda dar kisha manzi Xx akasepa.
Kumbuka simu ilizimwa,baada ya kuwasha nakutana na SMS kuwa baba alitupeleka shamba nimekupigia hupatikan nimerud home.
End ........


Sent using Jamii Forums mobile app

mbinu za kivita nimezikubali mno....hiyo kitaalamu tunaiita contingency plan....salute to you solder 😎 😎 😎 😎
 
Ngoja nami niyamwage yangu.
Nimetoka zangu Morogoro kwenye wilaya moja kubwa nikaingia Moro mjini walau kuifaidi weekend. Basi nikafika kama saa tatu ivi usiku break ya kwanza Nyumbani lounge enzi izo mara waiite samaki samaki wherever. Gambe mdogo mdogo huku nikiosha macho kwa wale watoto wa pale mixer wauza samaki, mishale saa sita hiyooo mapoti wakaja nje mziki ukapunguzwa sauti.
Nikavuta lugoya kumcheki mshkaji wangu mmoja akaniambia "upo samaki samaki unatafuta malaya wa wilayani"?? Nikamjibu acha ushubwada upo wapi tule vyombo? Akasema njoo Mo Town. Mwanaume nikawasha kiberiti vuuum Mo town. Basi vyombo stori hapa na pale huku kama kawaida tukiangalia uumbaji wa Mola.

Mshkaji oya mwanangu twende maeneo ya forest nikamfate demu wangu, nikamwambia poa shika mashine tumfate ye si ndo mwenyeji sasa. Kona mbili tatu tukafika kwenye geti kubwa mtoto akatoka, haooooo back to Mo town mtoto akaagiza smirnoff nikasema naclear bill mida saa nane hiyo, basi nikamwambia mwana, "oya mwamba ongea na shem basi kama kuna rafiki ake anapenda outing aje atupe kampan" Basi shem simu ya kwanza ya pili unknown akatiki tumfate kihonda nikasema sio kesi, mwarabu kwenye ndinga kibao haooo kihonda.

Baada ya kupotea huku na huko hatimaye tukafika katoto kembambaaaa sio siri mi wala hakakunivutia kabisaaaa sio mizigo yangu hiyo hata cha kushika sikuona, ila kibaharia tukarudi Mo town ngoma kwenye tisa na usiku pamewaakaaa hatari. Usiombe uende seheme na kademu kabovu afu unakuta wale senene wauza samaki wakali hatari afu kila ukigeuza jicho unaona wanaomba hisani kwa jicho legevu la ulabu.

Sijui nn kilitokea ila mi nikamwambia mchizi haka kademu kanywa soda mi nakarudisha kwao, sijakaelewa kabisaaa mshkaji nae wenge sijui katibuana nn na demu wake afu mkali basi akaniambia oya kavipi mpitishe na huyu manzi kwao, moyo ukapasuka paaaa. Basi pale pale nikamwambia mwana kwakuwa huyu shem kwao sio mbali anisindikize mpaka kihonda afu then nikambwage kwao zen nije mzee wa mji uendelee kunitambia, mwana akasema poa na demu nae akasema gud.

Basi nikachukua windhoek nne kwenye gari zangu mbili na shem mbili mnywa soda hakupata hata sayona twist, kumbuka muda huo shem kanywa smirnoff afu akabadili gia toka 3 hadi reverse keshawaka gari nzima anaongea yeye, breki paap kihonda kule tukamwacha yule miss kihonda nikageuza gari kushoto kakaa shem. Shetani ana nguvu jamani nikamshika shem wangu yule nikampiga mate akaitikia hahahaha moyoni nikajisemea ndo wale wale pale pale kwenye gari akatuma salamu kama dakk3. Nikamwambia hata usimalize utamu tukaondoka mpaka maeneo ya msamvu kushoto nikatafuta lodge nikalipa tukaingia ndani, cha kwanza nikamvutia waya mwana , "Oya bado upo hapo nije??" Mwana akasema nishasepa nimelala vipi ushawarudisha mi nikamwambia ndo kwanza naenda Down town, nikakata simu. Nikamgeukia bibie nikampa za chembe mtoto akituma salamu kibogoyo kiuno nyigu.

Basi nikajishindia weeee kesho yake saa nane ndo nikamrudisha kwao kiujasiri maana mwana nampigia simu tu oyaaa upo wapi, bado kalala anajibu nikatoka hapo nikaenda zangu black n white kupata supu kidogo na kuendelea na maisha ya gambe.
 
Nimeumisi Sana huu Uzi.
NAJUTA KULA KIMASIHARA

Ilikua siku ya jumamosi jioni nilipoenda kumtembelea rafiki yangu. Tumepiga Sana story ilipofika jioni akadai kuwa siku hio alishampanga demu wake kuwa angekuja kulala geto kwake hivyo nikalale chumba kingine ambacho kilikuwa wazi kwa muda huo.

Basi mpaka kufika saa tano yule demu wa jamaa hakufika ikabidi nimuulize jamaa vipi mbona kimya . Akaniambia tuende kumfuatilia kwanini hakuja. Hee katika kufuatilia tukapata taarifa kua kalala kwa jamaa mwengine na hapokei simu.

Basi jamaa roho ikamuuma Sana ikanibidi nimshauri aachane nae kabisa yule demu hafai.
Jamaa alikaa kimya hakunijibu chochote ikabidi nijistukie Basi tukalala. Kesho yule demu wa jamaa alikuja na Cha ajabu jamaa Wala hakuonesha anahasira Bali walizungumza kiutu uzima wakapanga Tena jioni wafanye Kama walivyoahidiana.

Basi mzee Sina hili Wala lile kweli demu akaja kwenye geto la jamaa Mimi nikajongea kwenye kile chumba alichonipatia jamaa. Baada ya muda nasikia wanarumbana nikatoka nje nijue kulikoni Mara nakuta jamaa anamfukuza Dem Kama kibaka.

Basi nikajifanya msamalia mwema nikaanza kumuelekeza jamaa kua Mwanamke kamwe hapaswi kufanyiwa hivi ulipaswa umwache kwa usiku ule kwakuwa Hana pa kwenda. Basi nikamchukua yule manzi nikampeleka kule geto nililopewa kwa usiku ule.

Nikaanza kumuuliza kulikoni Tena mnagombana akaanza kufunguka kua alikua siku za hatari Ila jamaa hakutaka kuelewa anataka tufanye bila kinga. Eeh Basi baharia nikampooza nikaanza Sasa namie kuomba mzigo.

Nimeomba Sana mzigo mixer na maneno mazuri wapi Basi nikaanza kumtekenya tekenya huku najichetua Kama chizi mtoto kaanza kulainika nikaanza kumtoa nguo zote chukua dushe pachika rungu dah nikastuka aisee kila nikichomeka naelea ikabidi nipige kibishi fasta fasta nikavaa nikamuacha chumbani pekeake nikarudi kulala kwa jamaa ili asijue kua nimefumua.

Kesho yake naamka jamaa ndo ananipa story yule demu anafumuliwa na madereva wa maroli, bodaboda wa pale kitaa muda wowote wanapita makondakta ndo goma lao aisee nilipigwa na butwaa nikajiona ndo nishaingia kingi apa. Aisee hakuna kipindi niliishi maisha ya mashaka Kama kipindi kile.




Sent using Jamii Forums mobile app

hiyo michezo sitaki kabisa kuisikia...make sure ukitaka kula kimasihara unandom kaka...na kama zipo chache usiuze mechi...ngoma ipo na inauwa
 
Ngoja nami niyamwage yangu.
Nimetoka zangu Morogoro kwenye wilaya moja kubwa nikaingia Moro mjini walau kuifaidi weekend. Basi nikafika kama saa tatu ivi usiku break ya kwanza Nyumbani lounge enzi izo mara waiite samaki samaki wherever. Gambe mdogo mdogo huku nikiosha macho kwa wale watoto wa pale mixer wauza samaki, mishale saa sita hiyooo mapoti wakaja nje mziki ukapunguzwa sauti.
Nikavuta lugoya kumcheki mshkaji wangu mmoja akaniambia "upo samaki samaki unatafuta malaya wa wilayani"?? Nikamjibu acha ushubwada upo wapi tule vyombo? Akasema njoo Mo Town. Mwanaume nikawasha kiberiti vuuum Mo town. Basi vyombo stori hapa na pale huku kama kawaida tukiangalia uumbaji wa Mola.

Mshkaji oya mwanangu twende maeneo ya forest nikamfate demu wangu, nikamwambia poa shika mashine tumfate ye si ndo mwenyeji sasa. Kona mbili tatu tukafika kwenye geti kubwa mtoto akatoka, haooooo back to Mo town mtoto akaagiza smirnoff nikasema naclear bill mida saa nane hiyo, basi nikamwambia mwana, "oya mwamba ongea na shem basi kama kuna rafiki ake anapenda outing aje atupe kampan" Basi shem simu ya kwanza ya pili unknown akatiki tumfate kihonda nikasema sio kesi, mwarabu kwenye ndinga kibao haooo kihonda.

Baada ya kupotea huku na huko hatimaye tukafika katoto kembambaaaa sio siri mi wala hakakunivutia kabisaaaa sio mizigo yangu hiyo hata cha kushika sikuona, ila kibaharia tukarudi Mo town ngoma kwenye tisa na usiku pamewaakaaa hatari. Usiombe uende seheme na kademu kabovu afu unakuta wale senene wauza samaki wakali hatari afu kila ukigeuza jicho unaona wanaomba hisani kwa jicho legevu la ulabu.

Sijui nn kilitokea ila mi nikamwambia mchizi haka kademu kanywa soda mi nakarudisha kwao, sijakaelewa kabisaaa mshkaji nae wenge sijui katibuana nn na demu wake afu mkali basi akaniambia oya kavipi mpitishe na huyu manzi kwao, moyo ukapasuka paaaa. Basi pale pale nikamwambia mwana kwakuwa huyu shem kwao sio mbali anisindikize mpaka kihonda afu then nikambwage kwao zen nije mzee wa mji uendelee kunitambia, mwana akasema poa na demu nae akasema gud.

Basi nikachukua windhoek nne kwenye gari zangu mbili na shem mbili mnywa soda hakupata hata sayona twist, kumbuka muda huo shem kanywa smirnoff afu akabadili gia toka 3 hadi reverse keshawaka gari nzima anaongea yeye, breki paap kihonda kule tukamwacha yule miss kihonda nikageuza gari kushoto kakaa shem. Shetani ana nguvu jamani nikamshika shem wangu yule nikampiga mate akaitikia hahahaha moyoni nikajisemea ndo wale wale pale pale kwenye gari akatuma salamu kama dakk3. Nikamwambia hata usimalize utamu tukaondoka mpaka maeneo ya msamvu kushoto nikatafuta lodge nikalipa tukaingia ndani, cha kwanza nikamvutia waya mwana , "Oya bado upo hapo nije??" Mwana akasema nishasepa nimelala vipi ushawarudisha mi nikamwambia ndo kwanza naenda Down town, nikakata simu. Nikamgeukia bibie nikampa za chembe mtoto akituma salamu kibogoyo kiuno nyigu.

Basi nikajishindia weeee kesho yake saa nane ndo nikamrudisha kwao kiujasiri maana mwana nampigia simu tu oyaaa upo wapi, bado kalala anajibu nikatoka hapo nikaenda zangu black n white kupata supu kidogo na kuendelea na maisha ya gambe.
vipi jamaa bado yuko na hiyo manzi?vipi na wewe unaendelea nyoosha au uliipotezea?
 
vipi jamaa bado yuko na hiyo manzi?vipi na wewe unaendelea nyoosha au uliipotezea?
Ilikuwa ni one time thing na mshkaji sikumwambia, ofcourse niliwasiliana nae mara moja mbili nikampotezea na uzuri wake sikuteleza kabisa nilikuwa na rough rider zangu za kutosha huwa sikosi kwenye gari just incase. Jamaa sikumuuliza chochote kuhusu manzi ake asije hisi chochote.
 
Back
Top Bottom