sema nimesoma comment zako kwenye huu uzi na JF kwa ujumla kwa dhati ya moyo wangu kabisa nasema we mzee hizi story zako sio chai tu bali pia ni kamba zisizofunga.
 
many lessons..moja ya story nzuri sana.....jamaa alishafeli tangu mwanzo demu katoka ndio katambulisha hahahah kutumia pesa wakati hakun ahaja balaa kam ahujakubaliwa ni kazi bure
 
acha uoga chombo hicho..mjibu asante pia ..endeleza tuu
 
Hii sio kimasihara. Ulitumia muda mrefu tu kuomba gemu. Mkuu kimasihara ni ile huna a Wala be na Wala hujamuweka kwenye radar ila mzigo unautafuna.
 
Kwa leo naishia hapa...

Dah mkuu salute kwako[emoji28][emoji28] nmekufatilia sana,
 
We jamaa mawazo yako bhana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Jamaa anataka apatee mastory mengine zaidii haya hayamtoshii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya mambo bana,yanahitaji kujiripua
Wakati sijajua ubaharia nilikosa papuchi nyingi sana,ila nilipozoea sasa nazila

1 manzi fulani kaja home kipindi cha o level,tumekaa nae kama miezi 5 siku moja akaniambia nitangulie chumbani kwake yeye anakuja bila kusema tunaenda kufanya nini nikaenda nikajilaza kitandani,dakika mbili nyingi mtoto akaja room akalock mlango na kuja kunilalia kwa juu,nikaamsha sikumfanya chochote,akaendelea na hizo mishe karibu kila siku sikumla

2.nimefika chuo mwaka wa kwanza nikawa naishi hostel za nje,sasa room ya jirani wanaishi mademu sikuwa na time nao,ghafla mmoja wao akanizoea kupita kiasi akawa ananikumbatia tukiwa tumekutana kwenye corridor na mimi namkiss,badae akaanza kuja room kwangu na khanga moja ,nikawa nampapasa tu namuacha,siku nyingine nachezea papuchi tukiwa tumekaa ila skkutak kumla ,basi to make things short yule manzi hataki tena stori na mimi sababu alitaka kunitunuku ila mimi nikawa kauzu though mpaka sasa nina namba yake

3.mtoto fulani wa class tulisoma course moja,mtoto mweupeee,nikamuelewa nikamuita geto siku moja Akaja tukaangalia movies then nikamuomba alale maana ilikua imefika saa nne usiku.akakataa akasema ni mara ya kwanza kuja so hawezi,basi nikamsindikiza kwake,baada ya two days akaanza kunialika kwake nikalale (hapo sijamtongoza) we ended up dating

4.kAja mgeni chuoni mwaka wa kwanza diploma,akakuta mimi nipo hostel yetu hiyo ya nje nilikuwa nimemaliza kupiga supp so navuta siku niende home,mara ya kwanza nilimkuta kwenye ngazi kakaa kama anawaza,nilikuwa na jamaa yangu tunatoka kwenda kununua chakula,demu ana msambwanda kama wa sanchi na shape ile kasoro sura maanA ya sanchi ngumu kidogo,basi nikampa hi then vi stori viwili vitatu nikamkaribisha geto yani nikirudi nimpitie tupande room kwangu akakubali ili nikampe kampani,niliporudi sikumkuta kwenye ngazi nikakutana nae corridon anatoka akaniaga ila akasema atarudi but hakurudi kidume kesho yake nikashoboka nikamuita room (alikua anakaa mlango wa jirani na wangu) akaja bana tukapika stori ikawa hivo kama siku tatu,siku ya nne nikamuomb mzgo tukiwa room mida ya saa 6 usiku akaanza oh wewe unaonekana mpole,you are a good guy ntakuumiza tu labda tuwe washkaji,nikakataaa. Nikakomaa mpaka akakubali ila akasema iwe siri yetu,basi akaomba akalale coz room mate wake ni rafiki yake toka o-level so hatakiw kujua dem anamtu kwa siku hzo chache walizofika itakua ni picha mbaya,nikamuaga akaenda room kwake,kesho yake akaja kwangu anadai key zake kapoteza na kulikuwa na kamvua,nilichofanya nikaweka sauti kubwa kwenye sub woofer nikaanza kumchezea romance at the end nikapewa mzigo aise yule demu kama sanchi yani,lile shepu sijawahi pata demu wa vile mpaka leo,ni wale mademu wanakazaga ma sponsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…