Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Si ni nshu Mkuu, ni ishu.... SEMA ISHU sio INSHU tafadhali.
Inshu sio kukosoa.. Kuna vitu vingine inabid tu u reason.. Ndio maana mwishoni apo kwnye io comment yangu nimesema Labda mim tu ushamba wangu.. Sijui kama ma she wanamaliza shule mapema ivo...

Alafu iz inshu sio mashindano kwaio mtu akijalibu Ku reason kawaida tu ww mueleweshe.. Kuna watu wanaisi wanashindana hapa.. Hahahah ww njoo toa kisa chako watu wa enjoy.. Ila unaangalia na story zako isije Kua kama yule jamaa aliemla Bibi wa miaka 60 + na akashika mimba..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa elimu yetu kibongo bongo bado nashangaa uyo nesi mwenye miaka 19.. Kwa nijuavyo nesi ( nurse) ngazi ya bachelor miaka 4 + na mwaka wa internship... Diploma miaka 3 na certificate miaka 2..

Sasa nesi uliyemla ww umesema ana miaka 19.. Ok tufanye uyu nesi ana diploma ya nursing . na alivyomaliza FORM-4 hakwenda chuo kikuu.. Alijiunga college akachukua diploma yake for 3 years. Apo tuache muda aliokaa kusubil kazi.. Kama alisoma diploma maana yake miaka yake.. 19-3= 16 kwaio form 4 alimaliza.. Na miaka 16.. Mmmmmh??

Mim lengo langu nijue uyu nesi kazin alikua na miaka 19 je alimaliza form 4 akiwa na miaka mingap??

Bas tufanye uyu nesi level yake ya elimu ni degree ya nursing.. Ok form 5 & 6 miaka 2 jumlisha na 4..ya chuo pamoja wa internship = miaka 6 apo tufanye alivyotoka internship tu akaajiliwa..!! Na tufanye pia Jkt hajaenda.. Kwaio miaka yake ( 19-6) sawa sawa na 13.. Kwaio kama elimu yake.. Ya nursing ni level ya degree.. Bas alimaliza form 4 akiwa na miaka 13.. Na alianza chuo kikuu akiwa na miaka 15 ( ukichukua 13 na ile miaka miwil ya advance)

Bado nachelewa story yako kuiita Chai huenda upo sahihi ila kwnye umri wa nesi umetudanganya.. Au vice versa.. Na huenda pia wapo wanaoanza shule mapema kiasi icho labda mm tu ushamba wangu..

Bado nesi wa miaka 19 kazin ananivurugia hii story sana....

Nawasilisha... By caglar soyuncu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimaliza form four na miaka 15.

Siku hizi watoto wapo mbele mpaka miaka miwili.

Kuna mtoto ameanza darasa la kwanza na miaka 5.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa elimu yetu kibongo bongo bado nashangaa uyo nesi mwenye miaka 19.. Kwa nijuavyo nesi ( nurse) ngazi ya bachelor miaka 4 + na mwaka wa internship... Diploma miaka 3 na certificate miaka 2..

Sasa nesi uliyemla ww umesema ana miaka 19.. Ok tufanye uyu nesi ana diploma ya nursing . na alivyomaliza FORM-4 hakwenda chuo kikuu.. Alijiunga college akachukua diploma yake for 3 years. Apo tuache muda aliokaa kusubil kazi.. Kama alisoma diploma maana yake miaka yake.. 19-3= 16 kwaio form 4 alimaliza.. Na miaka 16.. Mmmmmh??

Mim lengo langu nijue uyu nesi kazin alikua na miaka 19 je alimaliza form 4 akiwa na miaka mingap??

Bas tufanye uyu nesi level yake ya elimu ni degree ya nursing.. Ok form 5 & 6 miaka 2 jumlisha na 4..ya chuo pamoja wa internship = miaka 6 apo tufanye alivyotoka internship tu akaajiliwa..!! Na tufanye pia Jkt hajaenda.. Kwaio miaka yake ( 19-6) sawa sawa na 13.. Kwaio kama elimu yake.. Ya nursing ni level ya degree.. Bas alimaliza form 4 akiwa na miaka 13.. Na alianza chuo kikuu akiwa na miaka 15 ( ukichukua 13 na ile miaka miwil ya advance)

Bado nachelewa story yako kuiita Chai huenda upo sahihi ila kwnye umri wa nesi umetudanganya.. Au vice versa.. Na huenda pia wapo wanaoanza shule mapema kiasi icho labda mm tu ushamba wangu..

Bado nesi wa miaka 19 kazin ananivurugia hii story sana....

Nawasilisha... By caglar soyuncu

Sent using Jamii Forums mobile app
weka na wewe chai yako
 
Mkuu hukuendeleza kujilia mavitu baada ya hiyo show ya kwanza maana kwa jinsi ulivyomtendea haki siku hiyo ni wasi asinhekomea hapo hebu tupatie update baada ya hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Amebaki kuwa rafiki, yaani kila jambo lake la Siri ananipigia kuniambia.

Of course hata akiwa anataka kwenda mahali ananipigia kuniaga.

Hawala hana talaka, though changamoto ni tiketi za ndege kila akiwa anataka kuja kunisalimia zile go & return
 
Nakumbuka mwaka 2003 hadi 2005 ilikua tupo mbeya tunasoma A level shule moja iko nje ya mji kidogo. Kutokana na kipindi chetu A level kufanya mtihani mwezi wa 3 watu wengi tulihama hostel na kwenda kupanga nje(mageto).

Kutokana na uhuru wa kuishi geto mara nyingi kila wkend lazima tuende disco town na kufanya starehe nyengine coz kati yetu wengi wazazi walikua hawajui kama tometoka boarding na kwenda kupanga mtaani ambapo tulisave pesa nyingi sana zilizopelekea kua na pesa za starehe na bata nyenginezo.

Twende kwenye stori ya kula kimasihara, siku moja ijumaa nilitoka na washkj wa mageto mengine kwenda disco town nakumbuka rum mate wangu alikua anaumwa so hakuweza kujumuika nasi, kama kawa wazee tukadaka daladala hadi mbeya town uhindini, tukachil bar moja ilikua ipo njia ya kwenda jakaranda.
Huyu rum mate wangu tuliyemuacha geto ambaye alikua mgonjwa alikua na dem wake mmoja wa town alikua mdada mzuri na aliyeumbika haswa walikua na biashara zao za maduka pale mbeya town, ilikua kila wkend lazima aje na mazagazaga kutoka town na kutupikia geto.

Sasa basi siku hiyo tuliyotoka ambayo mshkj alikua anaumwa,tumechill pale bar na kunywa viroba vya power no.1 vya kutosha ili tukifika club huwa tunasuuza na bia mbili tatu siku inakua imeisha.
Ile tunaingia ndani tu hamadi shem huyu hapa( dem wa rum mate wangu ambaye alikua anakaa town si mwanafunzi). Alivyoniona akanifuata na kunikumbatia akaniuliza mshkj leo yuko wapi? Nikamjibu hajisikii poa amelaa, ila hawa jamaa zangu walikua hawamjui huyu dem kama ni dem wa rum mate wangu.
So baada ya hug na stori mbili tatu akaniuliza nakunywa bia gan , akaanza kuniagizia bia mbili mbili kwakwel aliifanya siku yangu niione nzuri kupita malelzo hadi washkj wakaanza kunione donge na kuniuliza huyu dem wa wap?mi nikawa nawajibu ni mshkj wangu wa town wkt ukwel ni ni dem wa mshkj bt sikutaka washkj wajue coz nilihisi kuna kitu kitatokea mbeleni alafu habari zinaweza kumfikia rum mate wangu.

Baada ya dem kuninunulia bia kama 5 za fasta fasta ukichanganya na zile power no.1 (viroba). Nilivyokunywa kule bar nikawaka hatari.
Dem alivyogundua nimewaka akaanza kunifanyia vituko vya kimahaba tukienda kucheza mziki anaanza kucheza huku mikono yake anaiweka usoni mwangu kama ananifuta jasho kimahaba, namimi mnara wa chini ukaanza kusearch netwrk.
Katika kucheza kwa kukumbatiana dem akastukia kama nimejenga hema kwenye susruali yangu naona na yy ikamzidisha nyege mara aanze kuniletea mdomo tule mate na mimi bila hiyana ukichanganya na tungi nikawa nampa mate vilivyo.
Baadae nyege zilivyozid akaninong'oneza twenda tukalale, mzee nikasema yes mbuzi kafia kwa muuza supu, dem kanishika kiuno hao tunatoka zetu nikawaaga washkj huku wakinionea wivu wa hali ya juu hadi mmoja uzalendo ukamshinda akanichan aisee shivo unaenda kufaidi hatari maana bint alikua amevaa sexy sana na alikua anavutia.
Tukapita mlangoni tukachukua majacket yetu, kwa wale waliofika mbeya huu utaratibu wa kuweka majacket mlangoni pindi mnavyoingia disco ilikua ni jambo la kawaida.Basi baada ya kufika nje demu akaita taxi mzee nikadaka zangu ndom kwa wale wanaouza pipi,fegi n.k nje ya sehem za starehe then tukaenda zetu lodge mitaa hiyo hiyo ya uhindini.

Kufika lodge dem akalipia chumba fukazama ndani, aisee nilimuenjoy sana yule dem alikua na uchi mdogo kama bikra vile na alikua msafi na aliyeumbika kwa shape ya wastan sio mnene sana wala sio mwembamba, tulipiga show vilivyo hadi tunakuja kutoka mule lodge kesho yake jioni maana chakula na vinywaji walikua wanatuletea mule mule ndani.

Nilivyorudi shule(geto) ile mida ya jioni nilimkuta rum mate wangu anapiga msuli aisee alifurahi sana alivyoniona na kunisifia kua ameambiwa na washkj kua nilikua na dem mzuri sana na ndo niliyeondoka nae, maskini bila kujua kama huyo dem anayemzungumzia alikua ni demu wake, nilijisikia vibaya sana kwa kitendo nilichokifanya na natumai huko uliko my rum mate utakua umenisamehe. Rest Easy mate( alikuja kufariki akiwa kazin uko mbeleni baada ya miaka kadhaa kupita).

Yule dem kama kawaida yake alikuja j2 rum kumchek mwana na mazaga zaga ya kupika, nilivyomuona kaingia ndani nikazuga naenda geto kwa washkj maana nilijisikia noma sana but sikuthubutu kurudia game na yule manzi hadi tulivyomaliza form six nikarudi zangu dar japo alikua ananiambia sana turudie game kwamba nilimsugua vilivyo sio kama mshkj.
 
Back
Top Bottom