Nakumbuka mwaka 2003 hadi 2005 ilikua tupo mbeya tunasoma A level shule moja iko nje ya mji kidogo. Kutokana na kipindi chetu A level kufanya mtihani mwezi wa 3 watu wengi tulihama hostel na kwenda kupanga nje(mageto).
Kutokana na uhuru wa kuishi geto mara nyingi kila wkend lazima tuende disco town na kufanya starehe nyengine coz kati yetu wengi wazazi walikua hawajui kama tometoka boarding na kwenda kupanga mtaani ambapo tulisave pesa nyingi sana zilizopelekea kua na pesa za starehe na bata nyenginezo.
Twende kwenye stori ya kula kimasihara, siku moja ijumaa nilitoka na washkj wa mageto mengine kwenda disco town nakumbuka rum mate wangu alikua anaumwa so hakuweza kujumuika nasi, kama kawa wazee tukadaka daladala hadi mbeya town uhindini, tukachil bar moja ilikua ipo njia ya kwenda jakaranda.
Huyu rum mate wangu tuliyemuacha geto ambaye alikua mgonjwa alikua na dem wake mmoja wa town alikua mdada mzuri na aliyeumbika haswa walikua na biashara zao za maduka pale mbeya town, ilikua kila wkend lazima aje na mazagazaga kutoka town na kutupikia geto.
Sasa basi siku hiyo tuliyotoka ambayo mshkj alikua anaumwa,tumechill pale bar na kunywa viroba vya power no.1 vya kutosha ili tukifika club huwa tunasuuza na bia mbili tatu siku inakua imeisha.
Ile tunaingia ndani tu hamadi shem huyu hapa( dem wa rum mate wangu ambaye alikua anakaa town si mwanafunzi). Alivyoniona akanifuata na kunikumbatia akaniuliza mshkj leo yuko wapi? Nikamjibu hajisikii poa amelaa, ila hawa jamaa zangu walikua hawamjui huyu dem kama ni dem wa rum mate wangu.
So baada ya hug na stori mbili tatu akaniuliza nakunywa bia gan , akaanza kuniagizia bia mbili mbili kwakwel aliifanya siku yangu niione nzuri kupita malelzo hadi washkj wakaanza kunione donge na kuniuliza huyu dem wa wap?mi nikawa nawajibu ni mshkj wangu wa town wkt ukwel ni ni dem wa mshkj bt sikutaka washkj wajue coz nilihisi kuna kitu kitatokea mbeleni alafu habari zinaweza kumfikia rum mate wangu.
Baada ya dem kuninunulia bia kama 5 za fasta fasta ukichanganya na zile power no.1 (viroba). Nilivyokunywa kule bar nikawaka hatari.
Dem alivyogundua nimewaka akaanza kunifanyia vituko vya kimahaba tukienda kucheza mziki anaanza kucheza huku mikono yake anaiweka usoni mwangu kama ananifuta jasho kimahaba, namimi mnara wa chini ukaanza kusearch netwrk.
Katika kucheza kwa kukumbatiana dem akastukia kama nimejenga hema kwenye susruali yangu naona na yy ikamzidisha nyege mara aanze kuniletea mdomo tule mate na mimi bila hiyana ukichanganya na tungi nikawa nampa mate vilivyo.
Baadae nyege zilivyozid akaninong'oneza twenda tukalale, mzee nikasema yes mbuzi kafia kwa muuza supu, dem kanishika kiuno hao tunatoka zetu nikawaaga washkj huku wakinionea wivu wa hali ya juu hadi mmoja uzalendo ukamshinda akanichan aisee shivo unaenda kufaidi hatari maana bint alikua amevaa sexy sana na alikua anavutia.
Tukapita mlangoni tukachukua majacket yetu, kwa wale waliofika mbeya huu utaratibu wa kuweka majacket mlangoni pindi mnavyoingia disco ilikua ni jambo la kawaida.Basi baada ya kufika nje demu akaita taxi mzee nikadaka zangu ndom kwa wale wanaouza pipi,fegi n.k nje ya sehem za starehe then tukaenda zetu lodge mitaa hiyo hiyo ya uhindini.
Kufika lodge dem akalipia chumba fukazama ndani, aisee nilimuenjoy sana yule dem alikua na uchi mdogo kama bikra vile na alikua msafi na aliyeumbika kwa shape ya wastan sio mnene sana wala sio mwembamba, tulipiga show vilivyo hadi tunakuja kutoka mule lodge kesho yake jioni maana chakula na vinywaji walikua wanatuletea mule mule ndani.
Nilivyorudi shule(geto) ile mida ya jioni nilimkuta rum mate wangu anapiga msuli aisee alifurahi sana alivyoniona na kunisifia kua ameambiwa na washkj kua nilikua na dem mzuri sana na ndo niliyeondoka nae, maskini bila kujua kama huyo dem anayemzungumzia alikua ni demu wake, nilijisikia vibaya sana kwa kitendo nilichokifanya na natumai huko uliko my rum mate utakua umenisamehe. Rest Easy mate( alikuja kufariki akiwa kazin uko mbeleni baada ya miaka kadhaa kupita).
Yule dem kama kawaida yake alikuja j2 rum kumchek mwana na mazaga zaga ya kupika, nilivyomuona kaingia ndani nikazuga naenda geto kwa washkj maana nilijisikia noma sana but sikuthubutu kurudia game na yule manzi hadi tulivyomaliza form six nikarudi zangu dar japo alikua ananiambia sana turudie game kwamba nilimsugua vilivyo sio kama mshkj.