Nimeshazichakata sana za Majirani na wana watu wao sema long distance relationship, kwenye wake za watu hapo acha nisiongelee ila ni ukweli mtupu kuhusu visa vingi vinavyoongelewa humu Kimasihara imekua ni rahisi kuliko kutongoza.
 
Naaam safari na muziki.

Uzuri kimasikhara haiexpai.....kila siku mambo mapya. Bila kuwasahau majelegend walio fanya huu uzi kuwa hapa ulipo.

Juma p maharagwe wewe unanafasi special kwenye huu uzi

acronomy

Kiga kyoto mzee wa mackenzie na boss rona

Mzee mmoja anaitwa burna wa stori ya hamida miaka ya sabini..

barafu na mashombe shombe wa huko shinyanga na wahispaniola

Yule bwana aliye mla mtawa

Heshima kwa yule dada alieenda intern ya utabibu zanzibar akala kimasikhara paka ndoa

@lugumya na stori zake.
Naufuatilia kila siku lzm nisalimie humu nione wadau na position zao

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watu mna roho ngumu saaana
 
Hapo kwa Kiranga nadhani umekosea, kama sikosei yule mwamba anaitwa Barafu. I stand to be corrected.
 
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…