We don't care, sisi mhimu tufurahi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama ingekuwa kweli, myb anaenda kumla mke wako
Acha uongo ww, screenshort ya kwanza na ya pili haina uhusiano, na ya kwanza ile kulipapasa tu ni kama kuna mtu upkuwa unampanga atume utakavyo ulete chai humu
Hongera
Sina wivu na sitarajii kuwa nao
Sema nachukia sana mtu kutengeneza kisa, napenda sana wanaoleta visa vya kweli ila sio huu uongo
Nikisoma kisa napatia picha mazingira yote nayoyaona na chai zinaonekana tu
Duh! Mkuu mbona mapovu?? Aisee! Ww jamaa majirani zako wako hatarini sana.

Yaani msg za kwenda kugegeda zinakujaza upepo hvyo je kwa anayekuzidi maendeleo inakuwaje??

Anyway tuchukulie huyu mwamba kadanganya je vipi stor zingne una uhakika nazo vipi? Kipi kinakuaminisha kuwa ni za kweli?
 
Kuanzia Leo alieleta Uzi huu bwana RIKI BOY
Namtunuku wadhifa ufatao..

Certificate in sexology..
Diploma in sexology..
Bachelor degree in sexology..
Master of science in sexology..
Master in sex administration..
PHD in sex marketing..
Doctorate in sex relationship..
Professor in Advanced sex..

Kwa heshima na taadhima kikao kimeamua kua awe mwanachana wa kudumu na amepita bila kupingwa..
 
Acha uongo ww, screenshort ya kwanza na ya pili haina uhusiano, na ya kwanza ile kulipapasa tu ni kama kuna mtu upkuwa unampanga atume utakavyo ulete chai humu
Hongera
Jamaa umeona? Nami nmemshtukia af kingine dem kajibu kulipapasa kabla mshikaj hajamwambia inamaana aliota kuwa mshkaj atasem hvyo?[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ile Mkuu! Sijawah kusema hivo Kiongozi!
huko nyuma ulisema umemla mama wa mwanafunzi wako, mgonjwa kwenye ambulance ukiwa unajfunzi maswala ya afya. Ulimla mdada ambae ulimdanganya una somea phd chuo fulani na ukasema "nilijikosha kwa kusema na soma ili nipat phd wakat sina hata degree 1 kichwani " ukamla mwajiriwa mwenzako wa ustawi wa jamii mpaka ukahamishwa kikazi...., basi tuambie mwenzetu we una taaluma gani kwani?....maana kwenye chai zako unataj occupation nyingi..
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Acheni kabisa, kuna binti mmoja ana shape kubwa yaani apa nkisema shape no shape kweli, ana sura nzuri wanapenda kumtania wanamuita mdoli, akipita kila mwanaume lazima ageuke

basi siku moja nkamfata mtu wake wa karbu maana nilijua nkienda kichwa kichwa ntakula za uso, basi yule rafiki ake ni kama dada ake sio rafiki sana, akasema huyu humuwezi wewe, yule mdada akaniombea no. na kuchomekea maneno kidogo kua mimi n mstaarabu nna heshima kadha wa kadha.

binti ni mtoto wa 2000, hatujazidiana kidogo, juzi kaja geto baada ya kumpanga kwa siku 1, alivofika geto, kwanza akauliza hapa anakaa peke ako, kuangalia akakuta bonge la tv, fridge limejaa, bonge la kitanda, bonge la jiko, na alijua mi choka mbaya, bhana weee

alipagawa sana binti wa watu hadu nkamuonea huruma, ila amejaa haswa, na nlkua na mpango, nisisex na yeye alikuja na plan ya kunichora tu, ila hisia wacha ziitwe hisia, nlimtafuna alizdiwa badae alkuja kulaumu sana.

yaani kiulaini, binti anabana matumizi, binti ana heshima, binti anajali tena atakua anakuja kunisaidia kazi, wacha niletee kitambi jstar mimi, ila nmeopoa jiko, akinizingua potelea mbali uko, ila huyu ni binti wa 2 mkali, kwa nilowai kuwala, nkiangalia list toka nmebalehe 2015, nmelala na wadada 26.

huyu binti n mzuri na anasumbuliwa na watu wenye kila kitu ila kaangukia kwangu na nilivokua mchafu, juzi nmefrahi sana, if possible badae ntamuoa siwezi kuacha hips zote zile achukue mwanaume mwngne na akchukua basi, niapate zaidi ya pale na zaidi ya pale ni poshy.
 
Akimka anaenda ibadani halafu kuna muumini mwenzake atamuona na kumuoa akidhani amepata binti mtakatifu kwa kuwa tu wamekutana kanisani.

Dunia imefika mbali sana.
Mkuu hivi duniani kuna mtakatatifu?

Kwani mwanaume aliyetoka kulala na mke wa mtu au demu tuu na akaenda kanisani na akapata mchumba huko kuna tofauti gani na huyo dada?
 
[SUP]Uzuri umesema umri wako kuwa ni miaka 21. Kwa taarifa yako tu mwanaume kamili anaanzia miaka 32. Haya endelea na huo utoto wako wa kuangalia makalio.[/SUP]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…