Hebu fuatilia hizo conv alafu ulete mrejesho umegundua nini? Kama una hangover ondoa kwanza
Hawezi jua. Tatizo wanaojifanya wajuaji wengi huwa wanajua kidogo sana.

Yeye anadhani kila app ya sms inakuwa kama ilivyo kwenye simu yake.
 
Mimi Kila siku huenda sokoni kimasihara, hununua matunda mbalimbali kimasira, huyala yote kimasihara. Ila usiku uliopita nimehara Sana, nadhani Lile papai lilikuwa na Corona
 
Bila picha nitaaminije?
 
Indeed
 
Hahaaaa
 
Kumbe mnajuana
 
Amekuchanganya na mtaalam wa Chai mwenzio Mikito Mikitoo..[emoji3][emoji3][emoji3]
..Ila zako burudani Sana na ukweli kabisaa
huyu mwamba hata kama ni chai basi kaunga asali kutokana na kupanda bei kwa sukari kipindi hiki covid-19... so interesting,hili jukwaa la burudani mtu anakomaa na maushahidi kibao eti chai mara muongo wapite kimya.....
 
THE BIGGEST SECRET

Tongoza ikiwa tu unalenga MAHUSIANO.

kama unatafuta mbunye TUMIA MASIHARA, usitongoze!! Never!!

Never tongoza ikiwa unataka kutia tu, UTAFELI AU UTACHUKUA MUDA MREFU
Kweli naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…