Bro simshangai huyo jamaa
Nilishawahi kununua hizo dawa kwa 24,000 pale Stop Over Pharmacy
Nahisi wakikuona umepanic wanakuropokea Bei kubwa
Kweli mkuu, ila mimi sijawahi tajiwa zaidi ya hizo bei, tena za 10 mwanzo sijazijua vizuri.... Na hizi ni kwa kkoo, kawe, mwenge, sinza, manzese[emoji3], tabata, magomeni, tegeta, mbagala na gomz.
 
Ahahahhahaaa...kama ulikuepo. Ila nikavuta mbadala fasta.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawajua sana mkuu, hua wanajidanganya wanasubiriwa kumbe tunatafuta vipoozeo vingine...
Kuna mmoja alinizingua kinyama karibu mwaka nkamtengenezea fumanizi tena nimekula kabisaa, baada ya wiki 2 kaleta mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwenye basi tu na mtu kanyonya dushe
Yes, nikiwa Mwanafunzi wa Mbalizi High School (2003)Mbeya niliwahifanya the same na demu alikuwa anasoma Southern Highlands huko huko mbeya. Tulikuwa kwenye Scandinavia Marcopolo ile ya kutoka Mbeya saa moja kamili halafu njiani na mwendo wa wa kishua.
Baada ya kutoka Moro giza ndio linaanza I did more or less the same. Hadi tunafika Dar tumeshachezeana sana, day two tukamalizia show maeneo ya Kimara Mwisho kilodge flani hivi. Demu alikuwa anaishi Kurasini mtoto wa mzee mmoja wa bandari.
As for now we're just friends
 
Utakuwa ulicheza chini ya kiwango. Alikuona umempaka shombo tu.

Ulitakiwa kulitafakari lile neno alilokwambia mapema kuwa "unaweza"?
 
Kula papuchi kimasihara wala siyo hivyo. Vitu vifuatavyo ndo tunasema umekula papuchi kimasihara:
1. Unamkuta mwalimu anafundisha darasani unafanikiwa kumtoa unaenda unamla unaacha wanafunzi hawana la kufanya.

2. Unamkuta DC yupo ndani ya kikao muhimu mzee unaingiza gia nyingine unamtoa hapo unaenda unakula.

3. Umeomba lift ya demu kwenye gari wala hata humjui na alikuwa na mishe zake unamtoa kwenye mishe zake unamhamishia kwenye mishe za kuliwa na unakula.

4. Mwanamke kaja kwako kwa lengo la kugombana na wewe na ukimcheki kafura kweli kweli ila kidume unamtoa kwenye hali aliyonayo hadi unakula muda huo huo tena kwa yeye kuridhia kwa furaha na raha.

5.Umeenda ofisini kwa boss mwanamke unamkuta yupo bize wala hana habari hizo kisha kidume unatumia urijali wako hadi unamla unamla na unabadili ratiba yake yote ya siku hiyo.

Kama mpo mliowahi kukutana na hayo basi hapo ndo mumekula TUNDA kimasihara. Otherwise huku naona watu mumepiga milupo na mademu waliojaa minyege na walikuwa tayari kuliwa na yeyote atakayelatiza. Kama hampo basi kidume nirudi nimwage nondo hapa.
 
Yn stori zote karibu 90% ni mazingira ya kawaida kabisa ya kula mzigo...
Ishu kama kukutana na demu kwny bus, chuo , kazini ,sijui kupanga nyumba moja afu ukala huko sio kula kimasihara kabisa coz mazingira yana ruhusu...

Hzo ulizotaja ndio masihara sasa
 
Zile paracetamol mkuu zilileta hio hAli

Ishawahi nitokea hio baada a
Ya kunywa panadol wakati naumwa halafu nikapata game la ghafla

Unapiga mzigo Hadi unajionea huruma

Ila inategemea mtu na mtu so ndo uende kufata panadol wakati huumwi[emoji2]
 
Leta stori mzee watu tu furahi. Siyo kila siku kumponda Magu na kumtetea Mbowe tu
 
Mi kuna siku nilikuwa na dozi ya typhoid nikapewa dawa inayoitwa ciprofloxacin kabla sijamaliza dose nikapata demu mpya nikasema huyu simuachi aisee nilikula mzigo ila bao liligoma kutoka kabisa hadi nikaacha maana demu alishakuwa hoi.
Zile paracetamol mkuu zilileta hio hAli

Ishawahi nitokea hio baada a
Ya kunywa panadol wakati naumwa halafu nikapata game la ghafla

Unapiga mzigo Hadi unajionea huruma

Ila inategemea mtu na mtu so ndo uende kufata panadol wakati huumwi[emoji2]
 
Raila Odinga, kitu bonfire, siwezi sahau utam wake. Miaka kumi imepita tangu nami nilipopata mtoto uwanjani hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…