Duh watu wana mikasa....Anyway chuo kimoja arusha ngaramtoni kuna mdada alikua ni famasia alikua na pharmacy yake , siku hio natoka zangu maclass nikawa nasikia kama kichwa kinauma nikasema ngoja niende pharmacy nichukue dawa, kulikua na pharmacy fulani nzuri maeneo ya chuo, nikasema ngoja niingie hio hio, naingia tu nakutananna na mdada mrembo sana, na koti lake leupe na tight jeans iliyomkaa vyema, sio mrefu wala mfupi, inshort alikua mzuri, kipotabo kiasi, kanikaribisha , namuambia "nahitaji paracetamol unazo? "
Akaniambia anazo, akawa ananiuliza maswali na kunipa Pole nyingi, katika maongez akaniambia yeye anaishi maeneo hayo hayo, nikamwambia kiutani "ntakuja basi Kula chakula cha usiku kwako", mana sina wa kunipikia na I don't feel okey, akanijibu haina shida ntafurahi ukija..
akaniachia namba ya simu nami nkampa zangu, usiku akapanda hewani akawa ananisubiria mahali ili nimkute hapo twende kwake, hatimaye nikamkuta hapo then tukaelekea kwake , nikakuta nimeandaliwa mapochopocho kibao, nikala weee..tukawa sasa tunapiga stories.. mwisho wa siku we found ourselves on the bed, we *****ed sana sana sana, miguno aliyokua anatoa uwiiiiiii....najiuliza hadi Leo zile nguvu za ziada zilitokea wapi, mana it was all night ..kama kupumzika tulipumzika mara chache sana.....after that kumbe in few days anasafiri, aiseee nilidata, tukawa tunawasiliana but suddenly mawasiliano yalikatika, nilimtafuta hadi Leo sijui nini kilimpata Tina wangu....it was one night but it was a sex I never had ..one of a kind..[emoji7][emoji7][emoji7][emoji39][emoji39][emoji8][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Jamani Tina uko wapi wewe nakutafuta sana ...[emoji25][emoji25]