Khaaa ila juma p mahagwe sijui yupo wapiiiii....

We miss him. It seem anavisa vingi.

Kuna mwamba alikula sister. Yule nae anaheshima yake
 
Kuna yule jamaa alisimulia story ya HAMIDA yule anastahili tuzo la uzi wetu pendwa . Sijui alipotelea wap
Yule ni dingi flan hv alikula kimasikhara miaka yasabini huko chaajabu anakumbuka hadi leo bint alikuwa amevaaa nini. Noma noma.

Kuna yule jamaa rubani alikula mashombe shombe pale shinyanga... na kule ughaibuni m cuba na muixpaniola
 
Nimecheka atari....

Umenikumbusha yule jamaa amkula dem wa udsm ati anavichuchu kama tusikio twa mbwa. Ila watu...
 
Job kwenyewe ikitokea stori tuu wana wanastuana oyaaaa chekini uzi pendwa kuja jambo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mwana nafanya nae kazi anasema huu uzi kiboko afu ubaya hajui alieanzisha uzi ndo yupo naee. [emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783] kila siku anausomaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…