Duh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bro huyo alikula kimasikhara wewe. Alikuwa anakutamani tangu siku nyingi
 
Kwa taarifa yako anavyokupigia cm huenda anataka mrudie mchezo
 
Aisee uyu rikiboy na ule uzi wetu wa kula tunda kimasiara dah hatar sana embu moderator rudisheni uzi wetu tafadhali
 
That's very TRUE,nlimzalisha binti kwa staili hiyo,mpaka sasa nalea,na kwa sababu sipendi mwanangu apate shida nafikiria kumuoa Huyu bibie ili tumtunze vizuri mwanetu japo kiukweli japo tangu ni sex naye cku hiyo mpaka Leo sijawahi ku sex naye tena,
Ukifanya hivyo utakua Umeepusha shida nyingi mbeleni.. songa mbele na huyo Baby Mama
 
Aisee hebu picha tuone
 
Kasie org..... Kama Kawaida yako... Full funny.... πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Nafikiri hillitakuwa jema zaidi kwasababu mtamlea mtoto wenu kwa pamoja kama familia. Mpaka kufanya mapenzi nae nafikiri wewe pia ulivutiwa nae vinginevyo isingewezekana kama wewe hukuwa na feelings
Nakazia Hapa
 
Blessed Ujumbe mwema sana
 
Kumbe ndio maana kuna dini inakataza japo kusalimiana kwa mikono kwa mwanamke na mwanaume ambao wanaruhusiwa kuwowana,waliona mbali ase
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…