Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Unexpected sex haijawahi kutokea. Siwezi kufanya na mtu ambaye hata sikuwa na mawazo naye. Na kama ikitokea basi lazima huyo mtu nilikuwa namtamani long time...kama ambavyo namtamani mtu fudenge now!😉😉😉

Usijali wangu, ndio namalizia swaum, mwk huu 6 sifungi! tatty
 
Last edited by a moderator:
That's very TRUE,nlimzalisha binti kwa staili hiyo,mpaka sasa nalea,na kwa sababu sipendi mwanangu apate shida nafikiria kumuoa Huyu bibie ili tumtunze vizuri mwanetu japo kiukweli japo tangu ni sex naye cku hiyo mpaka Leo sijawahi ku sex naye tena,


Nafikiri hillitakuwa jema zaidi kwasababu mtamlea mtoto wenu kwa pamoja kama familia. Mpaka kufanya mapenzi nae nafikiri wewe pia ulivutiwa nae vinginevyo isingewezekana kama wewe hukuwa na feelings
 
Nafikiri hillitakuwa jema zaidi kwasababu mtamlea mtoto wenu kwa pamoja kama familia. Mpaka kufanya mapenzi nae nafikiri wewe pia ulivutiwa nae vinginevyo isingewezekana kama wewe hukuwa na feelings

Mkuu unajua maana ya neno bahati mbaya??????
 
hahaha imenitokea muda si mrefu nlikuwa bdo sijakubaliwa nikagegeda na mpaka sasa naendelea naye
 
Nimemjibu kulingana na alivyosema kuwa anataka mwanae alelewe vyema na kwahiyo anafikiri kumuoa huyo dada kitu ambacho ni kizuri.

Umesema kwa usahih kabisa,nkimfikiria zaidi mwanangu kuliko mimi binafsi,japo kiukweli mama yake simfahamu vema,ila naamini tutawekana sawa tu!!!
 
Ooh..dear "kastamaa",would you mind if,at all, you stretch your palms?There are some issues to be waken up!Believe me!
 
Tuseme Sio bahati mbaya Bali ni kung'atana bila kupanga.

Ya kwanza nilikuwa nipo UG nilikuwa na demu wa kiarabu mtoto alikuwa mzuri balaa.ULe uzur wake ulinifanya niogope kumwomba tunda lake,bhas siku hiyo shule imefungwa waganda wamerud kwao.

Tukabaki kama wabongo 10 mmoja wapo akatoa wazo la kwenda club ,bhas tukaenda na mie ndio Mara yangu ya kwanza kwenda huko.

Ilipofika saa kumi na moja alfajir ikabid tusepe sa shule yetu kuna kamtaa kana wahun weñgi.kutokana na ilo ikabid tutafute guest tulipo ipata akasema kila mtu alale chumba chake,kwa uoga Wangu nikakubal dah kutafuta chumba changu ikawa guest imejaa .

Bhas ikabid nirud chumba cha demu Wangu nimwambie akapanic mwishon akakubali tulale wote kwa sharti la mzungu wa nne...ha ha ha
Hakuna cha mzungu wa nne wala wa tano nikajitafunia tunda mie...

Aisee warabu watamu Yule Dogo anajua mapenz hakuna penzi kama lake mpaka Leo

Ya pili nipo huku koromije
Nina best angu wa kike twafanya kaz moja siku moja akanikaribisha kwake.Baada ya Kula naaga kuondoka aiseee kuna neno aliniambia mpaka fimbo yangu ikastuka kilicho fuata kinaeleweka..

Hakuna tukio la kubanjuana la bahati mbaya kwan mnaanza kuvuana kushikana mwishon kuingizanà...
 
Mi demu wa mshikaji wangu alikuja na shoga ake...nipo ghetto nacheki movies jamaa ananiambia niende nkamchukue shoga ake na demu wake ili yeye apate kula mzigo kwa demu wake...nikaoga faster unyunyu nini halafu nkaenda kumchukua kufika ghetto nikamuwekua movies ya deliver us from eva...huku natafuta sababu yakushikana nae japo mikono ohoo mara imooooo mtoto ana penda ku-ride htr ...sitasahau ile mechi mm nilikaa km gogo mda wote mtoto yupo juu..
 
kuna dada huyu alikuwa anatembea maeneo ya ubungo kabla barabara hazijaharibiwa. Bwana ee yule dada akateleza si akaangukia dushe kwa bahati mbaya bila kutegemea sasa hivi analea mtoto ambaye hana baba
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Yaani wewe!
 
Back
Top Bottom