20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,186
- 7,184
Sawa, mpaka hapo nimekuelewa kwamba umesomea Tahidi high school!
Ila hujaelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, mpaka hapo nimekuelewa kwamba umesomea Tahidi high school!
Hahahahaaaa, haya bwana! Usiku mwema!Ila hujaelewa.
Unexpected sex haijawahi kutokea. Siwezi kufanya na mtu ambaye hata sikuwa na mawazo naye. Na kama ikitokea basi lazima huyo mtu nilikuwa namtamani long time...kama ambavyo namtamani mtu fudenge now!😉😉😉
Usijali wangu, ndio namalizia swaum, mwk huu 6 sifungi! tatty
That's very TRUE,nlimzalisha binti kwa staili hiyo,mpaka sasa nalea,na kwa sababu sipendi mwanangu apate shida nafikiria kumuoa Huyu bibie ili tumtunze vizuri mwanetu japo kiukweli japo tangu ni sex naye cku hiyo mpaka Leo sijawahi ku sex naye tena,
Nafikiri hillitakuwa jema zaidi kwasababu mtamlea mtoto wenu kwa pamoja kama familia. Mpaka kufanya mapenzi nae nafikiri wewe pia ulivutiwa nae vinginevyo isingewezekana kama wewe hukuwa na feelings
Mkuu unajua maana ya neno bahati mbaya??????
Nimemjibu kulingana na alivyosema kuwa anataka mwanae alelewe vyema na kwahiyo anafikiri kumuoa huyo dada kitu ambacho ni kizuri.
Dogo wanawake wana hisia sn usipanicMkuu hakuna cha bahati mbaya hapo iyo inaitwa mizoga,huwa ipo ipo tu haijielewi, naamini Manzi Mwenye akili timamu anaejielewa hawezi kuvua ama kuvuliwa chupi na mtu asiyekua na relationship nae.
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]kuna dada huyu alikuwa anatembea maeneo ya ubungo kabla barabara hazijaharibiwa. Bwana ee yule dada akateleza si akaangukia dushe kwa bahati mbaya bila kutegemea sasa hivi analea mtoto ambaye hana baba
Papuchu itaziba mkuuHeeeeeeee mmmh cjall n mwanaume nna takribani miez hata mi4