Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Wa afya kabisa
Wakati namaliza chuo nilipata kazi kwenye kikampuni fulani kichokuwa kinafanya Event Organization. Sasa mojawapo ya project ya mwaka huo ilikuwa kuandaa shindano la urembo kwenye ngazi ya kanda na kwa bahati nikapewa mimi kajikitengo hako of course na wakubwa wangu pia walikuwepo.

Sasa nikapewa kazi ya kuwa judge kwenye shindano la urembo kwenye chuo fulani hivi. Sasa tukaenda kuwangaalia wakati wanafanya mazoezi ya kujiandaa na shindano ambayo yalikuwa yanafanyika kwenye ufukwe mmoja maarufu sana. Sasa bwana kwenye kuwaangalia washiriki na kufanya prior assessment tukaspot kama wasichana watatu hivi ambao wangekuwa considered kwa ushindi kulingana na physical assessment. Sasa mmojawapo mimi alivuta jicho langu lakini pia baadae wakati tunaondoka alivuta jicho la maboss wangu pia (mbali na work and ethical assessment tuliongea kama wanaume pia maana walikuwa wananichukulia kama mdogo wao)

Basi ikapita mpaka shindano likapita na yule msichana akashika namba 2 kwahiyo akawa anatakiwa kwenda next stage maana washindi wawili ndio walikuwa wanaadvance kwenda ngazi inayofuatia. Mpaka hapo sikuwa nimeongea naye kama yeye wala kuonyesha interest yoyote kwake.

Baada ya kama wiki moja hivi tukatakiwa kwenda tena kwenye chuo kingine nje ya Dar es salaam ambayo pia kulikuwa na shindano kama hilo. Sasa tuliporudi kutoka huko ndio picha likaanza. Kumbuka nilisema kwakuwa washindi wawili walikuwa wanaendelea next stage tuliporudi ikabidi tuwatafute sasa ili kuanza kuwekana Sawa kwa ajili ya maandalizi ya next stage, so nilikuwa mimi na boss wangu mmoja hivi alikuwa mzinzi mzinzi sana. Basi tukakaa nao wote wawili pamoja na mwingine aliyeshiriki tukala lunch kwenye cafeteria ya chuoni hapo na hapo sasa ndio tukaanza kusikia story zilizokuwa zinaenea hapo chuoni. Kwanza ndio nikajua kwamba yule msichana alikuwa mpenzi wa VP wa hicho chuo na kwamba Siku hiyo walikuwa na ugomvi kwasababu ilisemekana huyo msichana alienda na mimi huko kwenye hicho chuo kingine tulikoenda kwa ajili ya shindano. Kwahiyo kumbe na kwenda kwetu pale watu wakawa wananichora tu kwamba nimechukua demu wa VP. Wakati huo mi hata namba yake sina na wala sijaongea naye chochote zaidi ya mazungumzo ya jumla ya maandalizi ya shindano.

Basi of-course baadae tukaja kuwa washkaji flani hivi lakini nikiwa sijamwambia chochote kuhusu kumtaka.

Sasa Siku moja tulikuwa na event nyingine so tukawaalika kama wadau wetu washiriki na sisi, sasa kumbe yule boss wangu mzinzi mzinzi ye akawa ameshaibuka na mwingine wa hapo hapo chuoni so baada ya ile event tukaanza kuwarudisha makwao au hostel mwisho tukabaki kwenye gari yule boss wangu na huyo demu wake na mimi na huyu msichana. Namuuliza msichana we unaenda hostel au nyumbani? Akasema ametokea nyumbani na kwa muda huo hawezi kurudi tena home so nikajua tu hapa haihitaji calculator kujua 1+1 ni ngapi. Nikamwambia yule boss wangu maana tulikuwa kwenye gari lake kwamba tumtafutie huyu sehemu ya kulala na kweli tukaenda mpaka kwenye lodge fulani hivi sinza tukashuka nikawaambia ngoja nimchikulie room ila nikamwambia yule boss wangu nyie sepeni.

Tukapata room tukaingia ndio ananiuliza “Kwani na wewe unalala hapa?” Nikamwambia sasa ulitaka nikuache ulale mwenyewe, kitu kibaya kikikutokea? Na huo ndio ulikuwa mwanzo wa mahusiano na yule msichana ingawa hayakudumu sana tulikuja kuachana baada ya kuambiwa alikuwa ameanza kuhang na wale wadada maarufu vyuoni kwa kuwaunganishia mapedeshee watoto wazuri. So tukagombana tukaachana.

Siku hizi ameolewa ingawa tunawasiliana bado, hata Leo nikitaka mzigo napewa kiroho safi kabisa ila “Heshimu sana ndoa” ndivyo maandiko yanavyosema so naheshimu sana ndoa yake na mi ndio nimekuwa mshauri mkuu wa ndoa yake.
Mkuu haya mambo ya urembo na umis shuleni yamenikumbusha tukio flani hivi.


Wakati nipo kidato cha tatu miaka late 2000's basi nilikuwa kiongozi.

Shule iliorganise talent show. Katika talent show pia yalikuwepo mambo ya ubunifu na urembo. Nilikuwa miongoni wa ma judge wa event ile.

Sasa kwenye kumtafuta miss KSS kuna mtoto mmoja wa form one nkampigia promo bahati nzuri akashinda.

Nkamtumia kabarua kwamba aje home. Alikuwa anapajua kwa sababu ni maeneno ya ķjjn watu wemge hufahamiana sehem wanazo kaa.

Jioni kama saa 11 akaja. Sikuamini kama angekuja. Sikuongea nae chochote zaidi ya kwenda chunbani for next....

Brother niliyekuwa naishi nae hakuaepo by that time
 
Miaka ya katikati 2000 UCLAS kabla haijawa ARU.
Nikiwa mwaka wa pili chuoni, nikakaribishwa kwenye semina ya Kikristo na ndugu zetu. Semina ilifanyika karibu na library ile ya zamani Karibu na Arch Plaza (waliopita ARU watanielewa)
Jioni nikajiandaa na kwenda kuhudhuria semina, nikakabidhiwa kwa binti ili anisaidie kufungua biblia, huyu alikuwa mwaka wa kwanza. Nikiri kuwa alikuwa mrembo na mwenye kuvutia (kiuno chembamba, bambataa ya kiushkaji, rangi ya uarabuni, sauti nyororo na haiba ya kike). Semina ilifanyika kwa wiki nzima na nilihudhuria siku zote tano.
Huyu dada tukawa karibu kwa kujuliana hali na kuchati masuala ya kiroho. Kwa kweli sikuwa hata na wazo la kuleta ushetani maana alionekana sio mtu wa mambo hayo kabisa.
Siku ya tukio, jumamosi moja tulivu nikiwa room ,mchana akanitumia sms- hakukuwa na WhatsApp akaniuliza "Vipi umeshakula?! Nikajibu hapana, akaniomba tukale wote, tukajivuta cafteria ya Geti Dogo, akasisitiza kuwa atalipa yeye. Tukazungumza kisha kila mtu akarudi chumbani kwake.
Usiku nikaona ngoja nilipe fadhila za mchana, nikamwomba usiku twende kula pamoja pia, akanitania kuwa anamwogopa wifi yake, nikamjibu sina mtu hapo chuoni. Basi nikamwambia tutaenda kula "Euro H" kwa sasa ndio Bulls Park hii ilikuwa bar/restaurant mpya maeneo ya Survey pale barabarani. Ulikuwa usiku mzuri sana binti alikuja amependeza hatari. Nilimtamani lakini nikaona kumtongoza ni kuharibu urafiki wetu mzuri. Mara zote alikuwa akiongea mambo ya kiroho na jinsi ya kuishi vyema.
Ilipofika saa tatu akaniomba tuondoke, katika kunyanyuka nikaona ngoja nitest walau hata kumshika mkono, mtoto aka-respond vyema, tukatembea tumeshikana mikono mpaka nilipomfikisha hostel - Kijaruba. Nikamuaga nikarudi room huku nikijilaumu labda ningemtongoza tu.
Saa nne na robo napokea sms "nimefurahia chakula nikamjibu kuwa tuwe tunaenda pale walau mara moja kila wiki.
Meseji ya pili, "roommate wako yupo," nikatafakari kidogo, kwani nilishwambia kuwa J ambaye ni roommate wangu ameenda kwao hivyo nipo mwenyewe. Nikaona nimjibu kuwa hayupo.

Akaniambia anakuja kuna jambo la kujadiliana nimsaidie mawazo, nikamwambia karibu sana. Binti akatinga na wakati huu akiwa na nguo chache zaidi. Tukazungumza mwishowe tukaanza kuangalia movie - Not Easily Broken, tukiwa kitandani na kwa upana wa vitanda vya ARU, tulikuwa tumegusana kabisa, muda si muda nikaona binti ameleta kichwa begani kwangu na hakuonyesha hata kufurahia ile movie japo ilikuwa na maudhui mazuri kabisa ya kiroho. Sijui kilichonipata ila kitendo cha kwanza ulikuwa kuutoa mkono wangu na kuupitisha nyuma ya mgongo wake, nikaona binti katulia tu, anameza mate tu, nikaona liwalo na liwe nikambusu kwenye shavu binti akajigeuza mzima mzima kunipa romance huku mkono wake ukishuka kukagua "mhogo wa jang'ombe" nami taratibu nikapeleka mkono kukagua"kitumbua" nakuta mtoto siku nyingi kashaloana na anatoa miguno ya hatari. Binti mtamu na mashine ilikuwa bado haijapata suluba maana hata yale mawimbi yalikuwemo.
Alirudi room kwake saa kumi na moja asubuhi.
Zoezi likaendelea jumapili mchana na usiku.
Tulidumu kwa mwaka mmoja mpaka siku alipogundua nimemla binti mmoja wa kisomali aliyekuwa Mlimani.

Hii stori binti wa kisomali itafuata........
Kisha nitakupa ya mtoto wa Mchungaji niliyemla kama masihara
Hyo ya mashine kutopata suluba una maanisha nn mkuu umetupeleka kolomoje ndan ndan hko
 
Hatarii sana., Aje geto kwako akusabahi pia Apajue (Noted: alikua hapajui)., Mara saa tatu usiku ukasikia mlango unagongwa demu akazama ndani ( Sasa sijui alipajuaje).

Tea iliyo kolea sugar
Dah mzee baba unatumia sana calculator, hizi ni chamgamsha genge tu, huhitaji hata kuchungulia table, we hesabu vidole tu kimyakimya inatosha
 
Ngoja nami nitie neno hapa kwnye pitapita zangu.. nakumbuka ilikuwa mwaka 2012 nilienda kumtembelea mshkaji wangu ambae yupo humu humu alikuwa anakaa zake kawe.. siku hio kulikuwa ni sikukuu ya eid akanialika niende home kwao then turud zetu hostel maana tulikuwa zetu chuo..jioni tukajongea zetu kambi ya jeshi tukaanza kukata vyombo baadae kukawa na mziki likapigwa kwaito la maana nkaona mzee ngoja nijongee kwnye dancing floor niisaidie pombe kuzunguka vzuri mwilin... wakat tupo tunaendelea kusakata rumba nkamuona mdada mmoja ananikonyeza huku tunacheza maana alikuwa yupo na jamaa ake mjeda.. nami nkampa attention.. then akanisogelea kwa staili ya kwaito ile ya kuinama akaninong'oneza naomba namba yako niandikie namba yako.. mzee baba nkachomoka kama baruti nkaanza kutafuta peni fasta nkaipata nkachora namba fasta nkarudi thn nkampa bila jamaa yake kujua.. baada ya hapo kila mtu akasepa zake... nkarudi zangu chuo kesho yake kwnye saa nne hv nkaona namba mpya..machale yakanicheza nkajua atakuwa ni yule chick wa jana.. kweli bhana kupokea akajitambulisha n.k akaanza kuniuliza uko wap n.k n.k nkamwambia njoo basi unitembeleee akasema anakuja kesho yake..kesho yake kwnye saa nne hv asbh akanipigia simu kashuka stendi nkampokee... daaa ebhana sikuamini maana demu alikuwa na chura sijawah pata mwnye chura kama yule yaan pale stend nilikuwa mpka naona noma maana kamwili kangu kalikuwa kadgo afu bonge la demuu afu nilivomuona tuu akanihug na kunipa kiss afu ukicheki mtoto ni type za kina sanchoka... enhe demu akabaki ananiskilizia mimi ntampeleka wap basi mie huyoo tukapanda gari mpaka gest kumbuka hapo demu sijamtongoza na wala sijampa miadi ya kwenda kumgonga.. so tukafika mpka gest nkalipia tukaingia mpka ndani... nkamuacha kwa muda nkaenda reception kufanya mchakato wa ndom.. kurudi ndani demu katulia tuu ananichora.. demu acha anichenjie sura ooh kwn ulinambia tunakuja huku??? Umenionaje??? Inamaana umeniona mie malaya mpka unilete gest? We ulijua nilikuwa na shida gani??? Mpka nkaja na ww umeamua kunileta huku gest??? Daah mzee baba nkaona leo hapa naumbuka ikabidi nianze kupangua hoja moja baada ya nyingine mpka zote zikaisha ndo demu akaamua kuachia mzgo asee nilipiga sana paipu piga sanaa.. yule demu alikuwa na nembe sio la nchi hii... tumekuja kutoka gest saa mbili usiku tangu saa sita tulivoingia.. hapo full njaa na mfukoni sina hata hela ya chakula nilibak na vichenchi nkamnunulia maji tukarudi hostel nkampitisha kwa washkaji wakamzoom then akasepa... tukaenda enda baadae tukapotezana mazima
kautaratibu ka kibingwa hako ka kupita na mtoto mzuri Kwa Wana ili wamzoom...😁😁
 
Experiences zako umezipangilia vizuri sana, unaonekana una kumbukumbu kubwa sana. Sometimes wanaume huwa tunajiona washujaa kwa kuwanasa baadhi ya mabinti tunasahau what happens behind the scenes, wao ndo huwa wanatupata sisi jitahidi, kwani wao huwa wanaamua kukutunuku nasi tunajikuta tunanasa kwenye mitego yao na kujiona mashujaa.

Mungu amrehemu mama Mchungaji, alikuwa na busara sana.
Kadiri umri unavyosogea nagundua kuwa maisha yanajengwa na "experiences" mbalimbali. Tunaishi huku tukiwa tunajifunza kuishi.

Huu ushujaa ndio huwa unafanya baadhi kudhani kuwa mwanamke anakupenda kwa sababu fulani, wanawake wengi wanafanya mambo kwa namna ambayo ipo complicated sana.

Huwa sio watu wa kukupenda kwa sababu ya kitu "specific", na wala huwa sio uwezo wa kushawishi unaoweza kumfanya akakutunuku. Huwa wanaamua tu kwa sababu wanazojua wao ukiacha hawa ambao "wanaojiuza".
 
*SIKU NILIYOLALA NA MKE WA MTU KIUTANI UTANI*

Mwezi uliopita nilikuwa nasafiri kutoka Iringa kuelekea Jijini Dar Es salaam, kwa usafiri wa basi moja maarufu (jina kapuni).

Niliiingia ndani ya basi na kwenda kuketi kwenye siti yangu, baada ya dakika kadhaa akaja Mwanadada mmoja mwenye urembo wa wastani, na umbo moja maridhawa, huku nikiwa nimemkazia macho, alifika pale nilipo huku akiangalia tiketi yake mkononi, baada ya kunisalimu akaketi pembeni yangu na kutulia tuli.
Baada ya mwendo fulani safarini tukajikuta tumetumbukia kwenye stori za hapa na pale, stori zilienda kwa muda na mara kila mmoja akaanza kusinzia kwa wakati wake, nilipokuja kushtuka baadae nikamkuta bi Dada ameuchapa usingizi na wala hajitambui, baadae kidogo nami nilisinzia tena na kupotelea usingizini. kabla ya sote kushtuliwa na tangazo la Muhudumu wa Basi kwamba tunaingia hotelini kwa mapumziko ya dakika kumi pamoja na kupata chakula.

Baada ya msosi na kurudi kwenye basi mastori yalianza tena upya huku wote wawili tukiwa tumechangamka tofauti na pale awali, ndipo kwenye maongezi nilipogundua yeye ni mke wa Mtu mwenye Watoto wawili, na tena akanionyesha picha za wanafamilia wake alizokuwa nazo kwenye simu yake.

Ndipo la haula nilipogundua kuwa muda wote wa safari nilikuwa nimelala na Mke wa Mtu. Hakika tulifurahiana sana kwenye safari ile, huku stori zikinoga kadri tulipokuwa tunakaribia eneo la ubungo ambako ndio kituoni na mwisho wa safari yetu, tuliagana kwa bashasha huku tukitakiana kila la kheri kule tuendako.[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji41][emoji41][emoji41]
Sasa wewe endelea kuwaza ujinga
COPY & PASTE
 
Unakuja kusoma na kucheka tu toa experience na we we ulivyoliwa kihasara
Weeee haijawah tokea nikaliwa kizembe ivyo,,,, utaanzia wapi kwanza?,. Nilishasema ukiona umemla mdada bs ujue ni yeye mwnyw alishajenga mazingra ya ww kumpt kirahc, yn ulishaingia ktk moyo wake...asa ww unasema oh nimekula kimasihara kumbe nyinyi ndiyo mmeliwa kimasihara....haitaja tokea ktk life ang
 
Weeee haijawah tokea nikaliwa kizembe ivyo,,,, utaanzia wapi kwanza?,. Nilishasema ukiona umemla mdada bs ujue ni yeye mwnyw alishajenga mazingra ya ww kumpt kirahc, yn ulishaingia ktk moyo wake...asa ww unasema oh nimekula kimasihara kumbe nyinyi ndiyo mmeliwa kimasihara....haitaja tokea ktk life ang
Kuna wadada warangi na wa irawq... Yani nahisi kama wameumbwa tofauti... Huwa wana nyege sana mbele ya mwanaume yoyote
 
TRUE STORY

Ilikuwa mwaka 2009. Nilikuwa nasoma kidato cha nne Iyunga boys, Mbeya. Tulikuwa tunaishi Njombe ila ilipofika likizo ya mwezi wa sita mshua akanipa nauli niende Kibaha kwa baba mdogo nikasome tuition. Ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza kwenda pwani, nilipofika nikaanza tuition fasta.

Sasa hapo tuition palikuwa na mabinti wa Moto sana sijawahi kuona Afrika Mashariki na kati. Warembo wa sura na figa, wenye sauti zilizotiwa nakshi! Aisee ukizingatia nimetoka shule ya boys, nilikuwa najionea maajabu tu!

Huku na huku nikaanza kuzoeana na binti mmoja kidato cha tatu anaitwa Samia, binti flani wa kiislamu. Huwa nashindwa kuelewa kila nikimtazama Sanchoka na nikimkumbuka Samia wangu naona kama ni mtu yule yule. Binti wa form three ila hatari aisee, kuanzia walimu, wapita njia na wanafunzi wote walitamani utamu wa Samia.

Basi tukawa washkaji sana, ukizingatia nimetoka boys Basi nina story nyingi mpya mpya basi anapenda kinyama. One day akaniambia nimsindikize kwako, nikamsindikiza fresh. Alikuwa anakaa na dada yake ambaye alikuwa ameolewa hapo. Sasa time hiyo dada yake alikuwa ameenda Kilimanjaro kwenye msiba na shemeji yake alikuwa anarudi night sana maana alikuwa anafanya kazi Dar.

Nikaingia ndani story zikawa nyingi then nikaaga. Nilipofika home, shetani akanipitia so nikala fasta nikarudi kwa Samia. Hapo sasaaaaa..... Samia akasema tusikae sebuleni watu wanaweza wakaja so tukakae chumbani, tukaingia room, time hiyo mtoto yupo na kanga moja ndani chupi halafu kapiga tishert nyepesi. Mzee baba mashine yangu kwa boksa ikatuna halafu haifichiki, akaanza kunicheka.

Eti anang'ang'ania aiguse, nikaona isiwe ajizi iguse tu, kanilaza kitandani akashusha suruali akaitoa mashine kaanza kuichezea Mimi time hiyo siamini kinachotokea. Huku na huku eti anaomba aiingize mdomoni kabla sijajibu maana nilishikwa na kigugumuzi nashangaa ishapelekwa mdomoni.

Binti alifanya uchakataji wa mashine yaani huwezi kuamini, mashine ilichakatwa pale aiseee..... Huku na huku na mimi nikaanza kumtomasa, kumbonyeza bonyeza, kumshika shika hapa na pale hasa katika lile eneo pendwa na muda huo lilikuwa limelowa kabisa.

Akavua nguo kabisa, akanilaza chali, akaja kunikalia, kisu kikazama mdogo mdogo... Mtoto akafumba macho huku anajiuma mdomo, vilio laini vya chini chini, kiuno anakizungusha mithili ya nyoka anakata ringi.... Kiukweli yeye ndio alikuwa ananifanya!!!

Joto la papuchi yake halijawahi kutokea duniani. Mara kajiviringisha Mimi juu yeye chini... Nikawa nafanya uchakataji pale, mdogo mdogo, hakuna staili hatukuijaribu siku ile.... Ilikuwa ni hatari, akaniwekea staili ya mbuzi kagoma kwenda, mzee nikawa nashindilia huku nacheki msambandwa unavyotikisika, kudadeki nimeushikilia kwa uchungu mwingi na utamu usioelezeka! Sijui binti alifanyaje nikafika kileleni kwa kishindo kikuu.

Tumechoka, tumelowa, tunahema kishenzi. Nikavaa ili niondoke eti akanikataza anataka Tena. Ikabidi nimuombe msamaha aniruhusu niondoke cause naishi kama kuku, kumi na mbili na nusu natakiwa ndani. Ikabidi anikubalie huku akitoa tamko kuwa kesho yake asubuhi nimpitie cause shemeji yake anaondoka mapema sana so tupate kimoja cha kuendea tuition. Kwa kweli hiyo ndio ikawa tabia yetu, asubuhi kimoja then tunaenda tuition then jioni kimoja.... Likizo ilinoga.

Samia popote ulipo, nakumisi Sana aisee na Kama umeolewa Basi mumeo anafaidi Sana Kama hujaolewa Basi fanya unitunuku again and again... Halafu mbona nahisi wewe ndio Sanchoka? Samia aisee fanya kitu tuonane...
Demu unamkubali kinyama, unamtamani saana, halafu umempata kibahati bahati halafu unachelewa kunwaga????

Hapa daaah!! Yaani unamkubali saaana!!!
 
Episode II

Tupo msibani nje kidogo ya mji nikamuona demu mmoja akanivutia sana..wa kawaida sana kisura ila ana mkia wa maana. Nikasema Sasa huyu Sijui napataje Namba yake.

Wakati tunatoka msibani gari aliyopanda ikasimama dukani wakawa wananunua soft drinks. Tulipofika pale na sisi tukasimama kwa ajili ya Kununua maji. Basi bwana nikasema hapa hapa, alikuwa ameshanunua maji yupo pembeni kidogo anachezea simu.

Nikamfuta nikampa hi, yaani hata sijui nianzeje tu kuomba Namba...nikajikuta tu nimemwambia ebu simu yako? Akaniangalia kwa mshangao kisha akanipa. Nilichofanya nilijibeep nikafuta Namba yangu kwenye outgoing calls kisha nikamrudishia simu..nikamwambia asante...akaguna.. nikenda Kununua maji nikampungia tukaendelea na safari.

Kama baada ya siku Mbili nikamtext...mambo?..akauliza we nani...nikamwendea hewani nikajitambulisha kuwa nilimuomna simu tukiwa tunatoka msibani...akaniuliza..kwa hyo kumbe kisa cha kuniomba simu ni ili uvhukue Namba yangu...nikamjibu...nilikuzimika sana ndo mana nikashindwa hata kuomba Namba nikaona niitumie gia ike..akacheka sana.

Nikamwambia njoo basi kwangu ukanitembelee...akaniuliza nakaa wapi nikamwelekeza akaniambia nakuja kesho. Nikarusha ngumi hewani nikashangilia maana sikutegemea kama ingekuwa kirahisi vile.

Kesho yake mida ya saa saba mchana akanipigia...uko Wapi...nikajibu nipo home...akaniambia nakuja ila njoo ukanichukue sehemu fulani maana naweza kosea Nyumba..nikamwambia usiwe na shaka bibie. Nikamfuata ila cha kushangaza alikuja na katoto kama ka 10yrs vile..nilipomuona yule mtoto nikasema hapa basi huyu siwezi kumla Leo na amekuja na Mtoto makusudi ili apate kisingizio cha kutokuliwa...Tukakafika home nikawaulizia wanakunya drinks gani wakasema soda wanazokunya..nikamuuliza yule demu na wewe Mkubwa unakunya soda??? akacheka akasema bia siku nyingine.

Basi nikawaletea soda..tukawa tunapig stories kiaina..nikawuliza mmeshakula akjibu tumekula nyumbani..nikamtumia text...mbona umekuja na Dogo Sas??..akanijibu kwani ana shida gani??MZEE nikajisemeza kumbe wasiwasi Wangu ulikuwa bure tu...nikamtext tena...twende chumbani basi...akaninyanyuka akaniambia washa tv basi dogo aendelee kuangalia..nikawasha TV nikamkabidhi Dogo remote huyooo tukazama zetu room.

Kufika room akakagua kwanza room..akanisogelea akaniangalia machoni akaniambia chumba chako kisafi..nikacheka tu..akaniuliza nani huwa anafanya huu Usafi??nikmwambia..mm mwenyewe...akasema labda..akanisogelea karibu zaidi akaanza kufungua vifungo Vya shati akanivua akatupa pembeni, akafungua mkanda akashusha suruali...akashika dushe Kwenye boxer...akaniambia kumbe uko tayari..nikamwambia yap Niko tayari...akatoa dushe akaanza kunyonya...nyonya sana nikiwa nimesimama tu...badae akavua akajirusha kitandani akanyanyua miguu...nikajua anachotaka nini...mzee nikazama uvinza kama dk tano hv..akanivuta akashika dushe akaingiza mwenyewe..Sijui yule demu alifanyeje maana nafika galilaya na yeye ndo muda huo huo anafika...ilikuwa tamu sana maana alimwaga maji ya kutosha...akaniambia twende tukaoge...tukaingia tukaoga tumepumzika kidogo akaniambia sasa unaweza kuendelea nimeshakuanzishia maana kama ulishindwa kuomba namba nilihisi hata kuanza ungeshindwa...nikacheka tu...nilikula mzigo mpaka mida ya saa kumi na mbili hv akaniambia tunaondoka mume Wangu ndo mida yake hii ya kurudi home..nikapigwa na mshangao nikamuuliza...we ni mke wa mtu??akacheka..akaniambia ndio tumeoana hatuna hata mwaka..

Wakaondoka...nikaendelea kujilia ila kwa tahdhari ya khali ya juu...mpaka Leo nikienda huo mkoa Lazima tupashe kiporo maana mimi nilihama.

Hv hapa nilkula kimsihara au nililiwa kimasihara????
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] daa baada ya kufaidi sana ndio ukaamua ku staff......
Ndio ndugu,unajua ni nuksi sana kuingia kila shimo,pia kila bao unalopiga ni uhai wako,ili uelewe hili unatakiwa utambue kwanini MTU anatoka na mkojo(manii/shahawa) za mwanaume?Tunapunguza sana uhai wetu kwa kugegedana.
 
Back
Top Bottom