dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
back in the days nilipokuwa kijana nilipata nyumba flani hapa town. siku nimeenda kuifanyia usafi ili nihamie, nkamkuta mdada kajilaza koridoni. ana kanga moja tu kaifunga shingoni 🤣🤣. nkavutiwa. nikaomba weee mtu anakaza, nami nkajilaza hapo hapo very close nae. akawa ananishangaa tu. baadae nkaacha mikono itembee bila kuongea chochote na mtu akawa anarespond positively. nkaendelea then mtu akaja nistopisha. kauliza vp una zana? nkatoka nduki mpaka dukani nkaja na zana za kilimo then tukaingia room kwake nkapewa mambo. hatari lakini salama.