Ulishawahi kula tunda kimasihara?
huyo poti fala,mtoto kama hajafanana na baba basi atafanana na mama kama hajafanana nao wote basi kuna mchanganyiko flani wa baba na mama utaonekana sasa mtoto sura tofauti kabisa na familia yeye haoni?
Yule poti, kugundua ni kazi huwa napiga story na best ake yule XXX, niliwahi muuliza ilo swali akanambia yule poti huwa anajisifu mtoto kachukua umbo lake, maana mtoto ni mrefu na kanenep kidogo( wakati dingi og tall nimepanda hewani 6.2ft,)

Kilichoua zaid ni vimashavu vya mama ake na rangi ya mama ake ndo mtoto kachukua,,. ila uson na umbo ni Mimi kabisaa. Na kama yule poti akija niona basi atagundua tu! Ndo mana sina mpango wa kurudi hadi waachane.

Maana napewaga mikasa yakutosha na best ake XXX, kwamba yule poti anampaga vitasa yule sstr, na linapiga liquid hatari, (kiukweli nkilifkliaga ili na yule sstr aliyokuw ananifnyia na jinsi alivyo dah! roho huwa inaniuma nataman nkalipe kisasi hivi), mpaka inafkia hatua manzi anarudi na mtoto kukaa kwao, kwa siku kadhaa then wanandugu wanayatuliza.

Inshort; kwa maelezo ya best ake manzi kachoka hatari na ndugu washachoka vutuko vya yule poti na wanamchukia vibaya, wamempa last warn ikitokea tena basi arudishiwe vyake mwanao ana kwao
 
kekofenicha, pamoja mkuu ila angalia sana utavyorudisha majeshi kwa huyo binti jamaa linaweza kukuona likalinganisha na mtoto pia story za wapambe kitaa kinaweza kukuta kitu.

hao jamaa wana ratiba za rindo anaweza kwenda chukua ile wanaita smg badala ya kwenda kituo cha Kazi yeye akakufata wewe kukumiminia sasa hivi watu wamevurugwa.
 
Kama na wewe umesoma kweli muhas na umesoma hujaiona hapo kwenye post yangu basi muhas ckuhz inazalisha product za ajabu sana....nimekosea sana kuiweka kwenye list kama product zinazotoka hapo ckuhz ndo kama wewe
kazi ipo. Muelekeze tu kuwa hiyo muhas anayotaka kuiona ipo hapo kwenye Muhimbili. Au mpe kazi akatafute kirefu Cha neno MUHAS.
 
Mwaka 2009 wakati naanza kazi kwenye mkoa mmoja wa ukanda wa Pwani nilibahatika kupanga kwenye nyumba moja iliyokuwa na mabinti 4 wa mwenye nyumba, wapangaji tulikuwa wawili tu japo vyumba vya kupangishwa vilikuwa vingi kidogo.

Sasa mwenye nyumba alikuwa na duka, siku moja nikaenda kununua vocha nikamkuta muuzaji ni mmoja wa mabinti zake na sikuwa na mazoea nao wale mabinti kivile ni salamu tu nafika dukani namwambia yule binti naomba tigo binti alicheka sana akaniambia mm siuzi tigo, nikagundua kumbe demu mcheshi tukajenga mazoea ya kawaida kuanzia pale na muda ulivyosonga mahusiano yakatoka hatua ya kawaida yakahamia mapenzini.

Siku ya kwanza kumla alizuga ananiletea msosi ile kuingia ndani na alikuwa kavaa kanga tu na ch**i nikamvutia kitandani denda kama lote mtoto kalegea nauliza nini tena nikampiga na muhogo wa jang'ombe mguu wa jini chap akageuza kwao huo ukawa ndio ufunguzi wa mm kuendelea kumla bila mtu yoyote kwao kugundua mpaka nikaenda chuo kujiendeleza kielimu ndio nikaachana nae, tiririka na ww ulivyotafuna au kutafunwa na mtoto wa mwenye nyumba yako
 
Miaka ya 2013 niliwahi kupanga nyumba maeneo fulani Mkoani Arusha.

Landloard alikuwa na Binti mmoja tu katika uzao wake. Huyo binti alikuwa anafanya kazi Bank moja kubwa kabisa Tanzania. Mara nyingi siku za weekend walikuwa wakija kuangalia hizo apartment zao, wao walikuwa wakiishi mtaa mwingine mbali kabisa na eneo letu.

Siku moja nikafanikiwa kupata namba zake nikaanza kutupia sound ,akawa ananikataa kabisa akasema tuwe marafiki wa kawaida tu.

Mwisho wa siku nikajaa kuondoka Arusha nikahamia Dsm nikaagana na familia yao na kuja Mjini kuanza maisha mapya. Baada ya Miezi kama sita naye akahamishiwa Dsm .Kabla ya kuja Dsm akaomba nimtafutie nyumba .

Nikamtafutia nyumba jirani na nilipokuwa naishi . Weekend moja nikaenda naye Viwanja kula masanga. Mwisho wa siku nilikula Tunda na ndiyo ilikuwa ndoto yangu kwa kipindi kile .Nikaendelea naye kama mpenzi wangu .Baadaye nilihamishiwa mkoa mwingine na kama tunavyojua fimbo ya mbali haiwezi kuua nyoka. Ukawa mwisho wa mapenzi yetu.

Kwa sasa ameolewa na amerudi tena Arusha Kikazi .
 
Mm kuna Demu mmoja jirani hakuwahi kuniona hata siku moja napika sababu nilikuwa nakula tu kwenye migahawa nikirudi ni kuoga na kulala tu home, sasa siku akaniuliza unaishije na haujawahi kupika!? nikamwambia huwa nakula juu kwa juu niwapo kwenye mishe zangu!

Akaniambia vyakula vya kununua sio poa jaribu kupika mwenyewe, nikamwambia niletee kwanza msosi wako nione kama kuna tofauti!, kama vile utani Mara jioni huyu hapa na msosi!

Nikapiga kijiko kimoja nikamuomba nimlishe na yeye kilichotokea nilikula mpishi na chakula
 
Nipo chuo mwaka wa 3,kuna demu wa mwaka wa kwanza nilimkuta yupo sehemu kama ana maumivu, nikamsogelea kujua nini tatizo, kumbe demu anamaumivu kisa kapata sup somo moja, kidume nina sup 3 afu sina habari, tukapiga piga story paleee, nikamshawishi twende geto tuchk movie, aiseee kilaani nikala tunda bila kumtongoza, baada ya wiki niakaanza kumtongoza, eti akanikataa....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. wanawake wakiwa na mahasira mpka raha
dah mbona haya mazali mm cyapat ntakua nakwama wap????
 
rikiboy,

MMh! Nakumbuka 2018 December nilikuwa nimeenda kwenye Msiba wa Shoga yangu alifariki basi tukazika fresh si unajuwa tena Pande za Uchagani Gambe toa Gambe weka Gambe basi kuna baba mmoja tukawa tunapiga story huku tunashushia Kvant ile mida ya saa 4 Usiku (Note. siku hiyo Nililala Msibani) baadae eti akaniambia njoo nikunong`oneze kitu akanivutia Migombani Sijakaa sawa Kanikumbatia, kanilamba denda Dah! nataka kureact Akanilazimisha nibongòke
Aaashhh! ile kubongòka tuu nashtukia jamaa kadumbukiza kumbe alikuwa na mafuta ya Rays. Mmh! yule baba jaman anavurugu , anapumzi na anatumia ule Mtandao pendwa wa Vijana yani alinisugua mpaka karbu nijiNyee.
Tulivyomaliza nikarud kule kwa wenzangu tukalala kulipokucha asubuh nakuja kugunduwa kumbe yule Baba ni Baba Mzazi wa Shoga yangu..
Niliumia kweli ila ndio hivyo tena ishatokea.
Abdallah kichwa wazi ameamka baada ya kusoma hapa
 
Mapoti wengi n vilaza mkuu....
Kuna mmoja aliondoka na kumwacha mke wake wa ndoa ya miaka mitatu,akamwachia nyumba kwa ugomvi wa kufa Mtu. Yule Demu alikuwa kama rafiki yangu kwenye issue za kazi, japokuwa alikuwa ananiambia conflicts zake na huyo Poti wake Mimi sikutaka kujiingiza sana kufuatilia.

Baada ya kuachwa demu akanilazimisha nimpungize mawazo kwa kuwa Mpenzi wake,mwanzo niligoma ila alivyozidi nikaamua liwalo na liwe nikaanza kujilia vitu. Sikuacha kitu mpaka pangoni nilifika.
 
Back
Top Bottom