Chikwangara
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 685
- 939
Mshana Jr atatupa stori za kula tunda mochwari kimasihara.Lete story Mshana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshana Jr atatupa stori za kula tunda mochwari kimasihara.Lete story Mshana
Hujasoma vyuo hivi ardhi,ud(coet),sua,muhimbili..,.huko kwingine kwenye vyuo vya kata hamuwezi kuelewa maana ya sup wala makaraianyway nimesomea marine engineering na sijawahi pata sup na ndiyo maana nashangaa inakuwaje mtu unapata sup?
Hujasoma vyuo hivi ardhi,ud(coet),sua,muhimbili..,.huko kwingine kwenye vyuo vya kata hamuwezi kuelewa maana ya sup wala makarai
Yule poti, kugundua ni kazi huwa napiga story na best ake yule XXX, niliwahi muuliza ilo swali akanambia yule poti huwa anajisifu mtoto kachukua umbo lake, maana mtoto ni mrefu na kanenep kidogo( wakati dingi og tall nimepanda hewani 6.2ft,)huyo poti fala,mtoto kama hajafanana na baba basi atafanana na mama kama hajafanana nao wote basi kuna mchanganyiko flani wa baba na mama utaonekana sasa mtoto sura tofauti kabisa na familia yeye haoni?
Afadhali baharia umeliona hili, nilitaka kukionhelea pia, story Nzuri ila mpangilio mbovu sana , mwana anatakiwa arudie hii story kwa mpangilio mzuri.
Nawasilisha
Kama na wewe umesoma kweli muhas na umesoma hujaiona hapo kwenye post yangu basi muhas ckuhz inazalisha product za ajabu sana....nimekosea sana kuiweka kwenye list kama product zinazotoka hapo ckuhz ndo kama weweKama haipo muhas..nadhani utakua hujafika chuo kikuu ww.
kazi ipo. Muelekeze tu kuwa hiyo muhas anayotaka kuiona ipo hapo kwenye Muhimbili. Au mpe kazi akatafute kirefu Cha neno MUHAS.Kama na wewe umesoma kweli muhas na umesoma hujaiona hapo kwenye post yangu basi muhas ckuhz inazalisha product za ajabu sana....nimekosea sana kuiweka kwenye list kama product zinazotoka hapo ckuhz ndo kama wewe
Kuna forum ya biashara mbona hujaenda huko mkuu? Remind you mtu huwezi kuwa serious 24hrs no matter whatNchi ya viwanda labda tutegemee kizazi cha 80th ila hawa kizazi cha jk tusahau
dah mbona haya mazali mm cyapat ntakua nakwama wap????Nipo chuo mwaka wa 3,kuna demu wa mwaka wa kwanza nilimkuta yupo sehemu kama ana maumivu, nikamsogelea kujua nini tatizo, kumbe demu anamaumivu kisa kapata sup somo moja, kidume nina sup 3 afu sina habari, tukapiga piga story paleee, nikamshawishi twende geto tuchk movie, aiseee kilaani nikala tunda bila kumtongoza, baada ya wiki niakaanza kumtongoza, eti akanikataa....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. wanawake wakiwa na mahasira mpka raha
Abdallah kichwa wazi ameamka baada ya kusoma haparikiboy,
MMh! Nakumbuka 2018 December nilikuwa nimeenda kwenye Msiba wa Shoga yangu alifariki basi tukazika fresh si unajuwa tena Pande za Uchagani Gambe toa Gambe weka Gambe basi kuna baba mmoja tukawa tunapiga story huku tunashushia Kvant ile mida ya saa 4 Usiku (Note. siku hiyo Nililala Msibani) baadae eti akaniambia njoo nikunong`oneze kitu akanivutia Migombani Sijakaa sawa Kanikumbatia, kanilamba denda Dah! nataka kureact Akanilazimisha nibongòke
Aaashhh! ile kubongòka tuu nashtukia jamaa kadumbukiza kumbe alikuwa na mafuta ya Rays. Mmh! yule baba jaman anavurugu , anapumzi na anatumia ule Mtandao pendwa wa Vijana yani alinisugua mpaka karbu nijiNyee.
Tulivyomaliza nikarud kule kwa wenzangu tukalala kulipokucha asubuh nakuja kugunduwa kumbe yule Baba ni Baba Mzazi wa Shoga yangu..
Niliumia kweli ila ndio hivyo tena ishatokea.
Content Quality Director kwenye ubora wako
Kuna mmoja aliondoka na kumwacha mke wake wa ndoa ya miaka mitatu,akamwachia nyumba kwa ugomvi wa kufa Mtu. Yule Demu alikuwa kama rafiki yangu kwenye issue za kazi, japokuwa alikuwa ananiambia conflicts zake na huyo Poti wake Mimi sikutaka kujiingiza sana kufuatilia.Mapoti wengi n vilaza mkuu....
Viwanda tulishajenga tukauza...wacha tutembee vifua mbeleNchi ya viwanda labda tutegemee kizazi cha 80th ila hawa kizazi cha jk tusahau