Ulishawahi kula tunda kimasihara?
hii imenoga hatarii
Kuna watu hapa wamenivutia na mimi ku-share hii stori, kwa kuwa nimepata ruhusa ya aliyenila naona si vibaya ku-share nanyi.
Miaka kadhaa nyuma baada ya kumaliza masomo hapo Chuo cha Afya Muhimbili (Wakati huo kilikuwa chini ya University of Dar es Salaam), nilipata nafasi ya kufanya internship kwenye hospitali ya Mnazi Mmoja, Zanzibar.
Nilifurahi sana maana nilikuwa natamani sana kwenda Zanzibar na kujionea mazingira ya huko. Kabla ya kwenda nilifanya maandalizi ya mahali pa kufikia na kwa msaada wa baadhi ya watu nikafanikiwa kupata sehemu ya kuishi kwenye maghorofa ya Michenzani –karibu kabisa na Kisonge. Nyumba niliyopata alikuwa anaishi kijana mmoja Mtanganyika ambaye alikuwa akifanya kazi huko. Kwa wanaofahamu maghorofa ya Michenzani nyumba moja huwa ina vyumba viwili vya kulala, sebule kubwa, jiko, sehemu ya kufulia pamoja na choo cha ku-share.
Nilihakikishiwa kuwa jamaa ni mtulivu na mstaarabu hivyo nisiwe na wasiwasi naye maana kila mtu ana chumba chake. Kabla ya kwenda nilizungumza na jamaa na kujua namna tutakavyo-share gharama ya kodi, umeme na chakula. Nilimtumia pesa aninunulie kitanda, godoro na mahitaji mengine madogo madogo.
Hatimaye nikafika Zanzibar, jamaa akaja kunipokea na kunifikisha Michenzani. Jamaa alikuwa mtulivu sana na alikuwa anaongea kwa utaratibu sana. Kwa kweli nikawa comfortable kabisa. Mchana ule jamaa aliingia jikoni na kuandaa chakula,nikiri tu jamaa alikuwa anajua kupika. Jioni tukatoka akanipeleka mpaka eneo la Vuga ambapo kuna hospitali ya Mnazi mmoja na kisha tukaenda Forodhani. Jamaa hakuonyesha hata dalili kwamba ananitaka.
Nilizungumza naye habari ya kodi na gharama nyingine akanijibu kuwa nisijali kwa kuwa kodi ameshalipia mwaka mzima na ndio kwanza amemaliza mwezi wa kwanza. Huyu jamaa alikuwa kwenye masuala ya ujenzi.
Hatimaye nikaanza internship baada ya siku kadhaa, kwa ratiba za internship mara nyingi huwa tunapewa zile shift za usiku na wakati mwingine unaunganisha huku ukiwa na muda mchache sana wa kupumzika. Mara nyingi nikiwa sijaenda kwenye internship nilikuwa nalala tu. Jamaa alikuwa anapika na kuniamsha ili niende kula, kuna nyakati mpaka nilikuwa naona aibu, msichana wa miaka 24 kupikiwa na kijana wa miaka 27. Mara kadhaa alikuwa ananipeleka pale mgahawa wa Lukman – pale mkunazini. Kuna siku jamaa mpaka akanifulia nguo zangu alizozikuta kwenye sehemu ya kufulia nguo (hazikuwa chupi na sidiria). Ilibidi nimwambie asiwe anafanya hivyo, au walau aniachie na mimi nimfulie siku moja. Ni aina ile ya wanaume ambao hawakuchoshi, ni mpole na mtaratibu na mwenye kukufanya uwe na furaha.
Nisiwachoshe sana, baada ya mwezi mmoja hivi nilianza walau kuvutiwa na huyu jamaa, maana niliishi hapo muda wote lakini hakuwahi hata kuingiza mwanamke wala hakuwahikunipatia usumbufu wowote bali alikuwa mcheshi na mwenye staha ila niliona si vyema nikianza kujirahisisha.
Siku moja ya jumapili ambayo nilikuwa off nikaona walau niingie jikoni na nimpikie huyu jamaa, nikaandaa supu ya samaki kwa mkate. Jamaa alipoamka akashangaa kunikuta jikoni na kunitania dokta kumbe unajua kupika? Nilicheka na kumwambia oga uje uonje. Alikula na kufurahia chakula na kisha akaniambia ana safari ya Nungwi na jamaa wa ofisini ambao wanaotokea upande wa Tanganyika, kwenda kupumzisha akili na kutalii. Sikusubiri aniambie kama nipo free, nikamwambia kama na mimi naweza kwenda nao, jamaa akakubali. Nikaona leo sasa ngoja nimpime jamaa.
Akapitiwa na jamaa zake watano ambao nao walikuwa na wapenzi zao, jamaa zake wakaanza kumtania umemtoa wapi mtoto mzuri hivi, jamaa kwa aibu akawa anawajibu kuwa mimi ni housemate wake.
Tulikaa pamoja kwenye gari, jamaa akaanza kushika vidole vyangu na kuuliza maswali udaktari na elimu, nikamwambia leo tupo kustarehe aachane na masuala hayo. Safari yote nilikua nimemuegemea jamaa kifuani na karibu watu wote walikuwa wameegemeana ndani ya Coaster.
Tulifika Nungwi na kufurahia sana michezo ya beach kuogelea na kukimbizana pamoja na vyakula. Jamaa alijiachia sana name sikuwa na hiyana nikawa kama mpenzi wake, alinishika alipotaka na dry kiss za hapa na pale, alinitia nyege za hatari japo nilikuwa najaribu kuwa mvumulivu kidogo - aibu iliishia pale beach. Jioni safari ikaanza ya kurudi MJINI.
Tulifika mjini majira ya saa moja na nusu, jamaa akanunua chipsi na kuku kisha tukapanda ngazi kwenda ghorofani.
Nilienda jikoni kufuata sahani huku natafakari maisha yatakavyokuwa mle ndani baada ya ile michezo ya beach huku nyege zikiwa zimenishafika kiwango cha juu zaidi, nikiwa jikoni jamaa akanifuata na kunikumbatia kwa nyuma mikono ikiwa tumboni na kuniambia dokta nisamehe kama nilivuka mpaka kule beach, nakuheshimu sana; nikiwa nahisi kutetemeka niliinyanyua mikono ya jamaa kutoka tumboni na kuipandisha kwenye maziwa yangu, jamaa aliyaminya maziwa yangu kwa sekunde kadhaa na kisha kunigeuza upande wake na kuanza kunila mate kwa dakika kadhaa. Nilishusha mkono na kupapasa kwenye bukta yake na kukuta tayari ameshasimamisha. Jamaa akapeleka mkono mgongoni na kufungua vikamba vya kigauni chepesi nilichokuwa nimevaa kisha akanipandisha juu ya meza ya zege ya jikoni na kuanza kuninyonya sikuwa nimewahi kunyonywa katika mahusiano yangu huko nyuma; ilikuwa tamu sana kiasi ambacho baada ya dakika kadhaa nilimwaga maji kwa mara kwanza na kujiskia kufika.
Jamaa akataka kuingiza uume nikamwambia nimechoka tukaoge kwanza, alinishika mkono mpaka bafuni na tukaoga pamoja, ambapo jamaa alinishikisha sinki na kunipa dogystlye moja matata sana. Jamaa alikuwa na nguvu na uwezo kwenye tendo la ndoa.
Usiku ule jamaa alilala chumbani kwangu na kuanzia hapo maisha yakaendelea kwa namna hiyo, ilikuwa ni kugegedana tu na nilifurahia internship vizuri sana. Maana kuna nyakati hata nikirudi nimechoka jamaa atanishawishi mpaka nampa mzigo. Na alikuwa na mapenzi hasa maana upo ofisini unakutana ma meseji, nimemisi tamu, ukirudi unipatie, nimeshakupikia hapa.
Miezi saba baadaye jamaa akapeleka posa nyumbani na miezi minne baadaye tukafunga ndoa hapo St. Alban Cathedral – Dar es salaam.
Bado nipo kwenye ndoa na watoto kadhaa na maisha yanaendelea vyema kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu hapa wamenivutia na mimi ku-share hii stori, kwa kuwa nimepata ruhusa ya aliyenila naona si vibaya ku-share nanyi.
Miaka kadhaa nyuma baada ya kumaliza masomo hapo Chuo cha Afya Muhimbili (Wakati huo kilikuwa chini ya University of Dar es Salaam), nilipata nafasi ya kufanya internship kwenye hospitali ya Mnazi Mmoja, Zanzibar.
Nilifurahi sana maana nilikuwa natamani sana kwenda Zanzibar na kujionea mazingira ya huko. Kabla ya kwenda nilifanya maandalizi ya mahali pa kufikia na kwa msaada wa baadhi ya watu nikafanikiwa kupata sehemu ya kuishi kwenye maghorofa ya Michenzani –karibu kabisa na Kisonge. Nyumba niliyopata alikuwa anaishi kijana mmoja Mtanganyika ambaye alikuwa akifanya kazi huko. Kwa wanaofahamu maghorofa ya Michenzani nyumba moja huwa ina vyumba viwili vya kulala, sebule kubwa, jiko, sehemu ya kufulia pamoja na choo cha ku-share.
Nilihakikishiwa kuwa jamaa ni mtulivu na mstaarabu hivyo nisiwe na wasiwasi naye maana kila mtu ana chumba chake. Kabla ya kwenda nilizungumza na jamaa na kujua namna tutakavyo-share gharama ya kodi, umeme na chakula. Nilimtumia pesa aninunulie kitanda, godoro na mahitaji mengine madogo madogo.
Hatimaye nikafika Zanzibar, jamaa akaja kunipokea na kunifikisha Michenzani. Jamaa alikuwa mtulivu sana na alikuwa anaongea kwa utaratibu sana. Kwa kweli nikawa comfortable kabisa. Mchana ule jamaa aliingia jikoni na kuandaa chakula,nikiri tu jamaa alikuwa anajua kupika. Jioni tukatoka akanipeleka mpaka eneo la Vuga ambapo kuna hospitali ya Mnazi mmoja na kisha tukaenda Forodhani. Jamaa hakuonyesha hata dalili kwamba ananitaka.
Nilizungumza naye habari ya kodi na gharama nyingine akanijibu kuwa nisijali kwa kuwa kodi ameshalipia mwaka mzima na ndio kwanza amemaliza mwezi wa kwanza. Huyu jamaa alikuwa kwenye masuala ya ujenzi.
Hatimaye nikaanza internship baada ya siku kadhaa, kwa ratiba za internship mara nyingi huwa tunapewa zile shift za usiku na wakati mwingine unaunganisha huku ukiwa na muda mchache sana wa kupumzika. Mara nyingi nikiwa sijaenda kwenye internship nilikuwa nalala tu. Jamaa alikuwa anapika na kuniamsha ili niende kula, kuna nyakati mpaka nilikuwa naona aibu, msichana wa miaka 24 kupikiwa na kijana wa miaka 27. Mara kadhaa alikuwa ananipeleka pale mgahawa wa Lukman – pale mkunazini. Kuna siku jamaa mpaka akanifulia nguo zangu alizozikuta kwenye sehemu ya kufulia nguo (hazikuwa chupi na sidiria). Ilibidi nimwambie asiwe anafanya hivyo, au walau aniachie na mimi nimfulie siku moja. Ni aina ile ya wanaume ambao hawakuchoshi, ni mpole na mtaratibu na mwenye kukufanya uwe na furaha.
Nisiwachoshe sana, baada ya mwezi mmoja hivi nilianza walau kuvutiwa na huyu jamaa, maana niliishi hapo muda wote lakini hakuwahi hata kuingiza mwanamke wala hakuwahikunipatia usumbufu wowote bali alikuwa mcheshi na mwenye staha ila niliona si vyema nikianza kujirahisisha.
Siku moja ya jumapili ambayo nilikuwa off nikaona walau niingie jikoni na nimpikie huyu jamaa, nikaandaa supu ya samaki kwa mkate. Jamaa alipoamka akashangaa kunikuta jikoni na kunitania dokta kumbe unajua kupika? Nilicheka na kumwambia oga uje uonje. Alikula na kufurahia chakula na kisha akaniambia ana safari ya Nungwi na jamaa wa ofisini ambao wanaotokea upande wa Tanganyika, kwenda kupumzisha akili na kutalii. Sikusubiri aniambie kama nipo free, nikamwambia kama na mimi naweza kwenda nao, jamaa akakubali. Nikaona leo sasa ngoja nimpime jamaa.
Akapitiwa na jamaa zake watano ambao nao walikuwa na wapenzi zao, jamaa zake wakaanza kumtania umemtoa wapi mtoto mzuri hivi, jamaa kwa aibu akawa anawajibu kuwa mimi ni housemate wake.
Tulikaa pamoja kwenye gari, jamaa akaanza kushika vidole vyangu na kuuliza maswali udaktari na elimu, nikamwambia leo tupo kustarehe aachane na masuala hayo. Safari yote nilikua nimemuegemea jamaa kifuani na karibu watu wote walikuwa wameegemeana ndani ya Coaster.
Tulifika Nungwi na kufurahia sana michezo ya beach kuogelea na kukimbizana pamoja na vyakula. Jamaa alijiachia sana name sikuwa na hiyana nikawa kama mpenzi wake, alinishika alipotaka na dry kiss za hapa na pale, alinitia nyege za hatari japo nilikuwa najaribu kuwa mvumulivu kidogo - aibu iliishia pale beach. Jioni safari ikaanza ya kurudi MJINI.
Tulifika mjini majira ya saa moja na nusu, jamaa akanunua chipsi na kuku kisha tukapanda ngazi kwenda ghorofani.
Nilienda jikoni kufuata sahani huku natafakari maisha yatakavyokuwa mle ndani baada ya ile michezo ya beach huku nyege zikiwa zimenishafika kiwango cha juu zaidi, nikiwa jikoni jamaa akanifuata na kunikumbatia kwa nyuma mikono ikiwa tumboni na kuniambia dokta nisamehe kama nilivuka mpaka kule beach, nakuheshimu sana; nikiwa nahisi kutetemeka niliinyanyua mikono ya jamaa kutoka tumboni na kuipandisha kwenye maziwa yangu, jamaa aliyaminya maziwa yangu kwa sekunde kadhaa na kisha kunigeuza upande wake na kuanza kunila mate kwa dakika kadhaa. Nilishusha mkono na kupapasa kwenye bukta yake na kukuta tayari ameshasimamisha. Jamaa akapeleka mkono mgongoni na kufungua vikamba vya kigauni chepesi nilichokuwa nimevaa kisha akanipandisha juu ya meza ya zege ya jikoni na kuanza kuninyonya sikuwa nimewahi kunyonywa katika mahusiano yangu huko nyuma; ilikuwa tamu sana kiasi ambacho baada ya dakika kadhaa nilimwaga maji kwa mara kwanza na kujiskia kufika.
Jamaa akataka kuingiza uume nikamwambia nimechoka tukaoge kwanza, alinishika mkono mpaka bafuni na tukaoga pamoja, ambapo jamaa alinishikisha sinki na kunipa dogystlye moja matata sana. Jamaa alikuwa na nguvu na uwezo kwenye tendo la ndoa.
Usiku ule jamaa alilala chumbani kwangu na kuanzia hapo maisha yakaendelea kwa namna hiyo, ilikuwa ni kugegedana tu na nilifurahia internship vizuri sana. Maana kuna nyakati hata nikirudi nimechoka jamaa atanishawishi mpaka nampa mzigo. Na alikuwa na mapenzi hasa maana upo ofisini unakutana ma meseji, nimemisi tamu, ukirudi unipatie, nimeshakupikia hapa.
Miezi saba baadaye jamaa akapeleka posa nyumbani na miezi minne baadaye tukafunga ndoa hapo St. Alban Cathedral – Dar es salaam.
Bado nipo kwenye ndoa na watoto kadhaa na maisha yanaendelea vyema kabisa.
Baharia alifaudu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ya kwangu naweza sema mm ndio nililiwa kimasihara na huyu manzi.
Iko hivi.

Back in days hukoo nyuma 2013 chuo maarufu hapo posta dar nilisoma na sister mmoja hiv, mtoto wa kichaga lakin kazaliwa na kukuliwa mwanza.Mama yake ni muhaya.

Huyu sister sio siri nilitokea kumuelewa toka miaka 2 nyuma siku ya kwanza anafanya presentation class ila kwakua mm ni mtu flan mgumu toka uboizin hukoo high scul nikampotezea na ikawa rahis tu.Hii ilikua first year.hatukuwah kuwa na uhusiano hata wa nbaki yan .Yan hata ile ya kusalimia na hata kuonana ilikua nadra sana cz mm nilikua mtoro sana chuoni.

Mungu si athuman, mwaka wa tatu,2 years later sijui ilikuaje ,ikatokea tumepangwa group moja ya assignment.Kwa asil mm ni muongeaji sana nikiwa na wana na watu nilowazoea, nje ya hapo huwa nakua mkimya sana.So hata kwenye grp nilikua mkimya sana.Sikua na jipya.Washkaji tuliokua nao wakawa wanakula misifa kwel yan kwenye mijadala mm kilaza flan ndio nakua natumwa ku print au ku burn Cd na kukusanya assignment.kwakua napenda privacy sikua naona tabu.

Hapa pia huyu sister kumbuka bado sikua nimezoeana nae.ila Atleast alini recognize na japo kunijua.Alikua mzuri kwakwel japo sio sanaaaa ila analipa.shepu ipo sura aah inaridhisha pia smart kichwan.na katika kunitambua huku japo kwa uchache akajua nina weza nn ,masomo gani yan.

Kwa coarse za IT/computer science wazoefu watakua wanajua,ile kitu ya mwaka wa mwisho tunaita final year project.Tunakaribia kumaliza chuo, watu project za programming zimewagomea mambo yamebuma.Mmoja wapo alikua huyo sister.Kipind hiki nilikua nishamaliza project yangu nikawa napiga sana hela kwa kushinda pale chuo cha DIT nafanyia watu project zao za namna hii.
Basi bwana habar zikamfikia bibie, kumbe na yy mambo yake yamemuwia vigumu.
Bila hiyana nikamfanyia bila kutaka chochote bt as a frnd.

Hii ikatengeneza ukaribu kidogo.Rasmi nikapewa namba ya cm.Baada ya kumaliza na kufanya presentation zetu mambo yakaenda poa upande wangu na wake pia.Akanishukur sana. So mambo mengine yakaendelea mpaka tunamaliza chuo 2013 akarud kwao mwanza kapata kazi hukoo.
Tukawa tunawasiliana wasiliana mm niko dar lla sio kama wapenz.Na mawasiliano pia hayakua romantic na sio ya mara kwa mara.Nikapata kibarua kampun flan hapo posta kama technical supervisor kwenye miradi ya IT.Tulifanya sana kaz za mabenki hivyo nikawa nasafir sana.

2015 nikawa naelekea Musoma bank moja pale mjini.Tulikua tunafanya renovation ya network infrastructure yao.Nikamaliza nikawa nageuka kurud mwanza then nirud Dar.
Basi hapa ndio picha lilipoanza.

Nikiwa narud kabla sijafika mwanza nikakumbuka huyu kiumbe nikam text kuwa napita mwanza toka musoma.Akauliza uko wap ?nikamwambia.
Akanambia lazima nifike home siwez rud Dar bila ya kuonana,kanielekeza nishuke igoma,pale akanambia nichukue boda then yy akampa maelekezo dereve wa boda ,huyoooo mpaka home kwake anakoishi alone.

Alikua amependeza kwel.Na muda huo kumbuka hatuna mahusiano zaid ya u friend tu.
Nikaingia ndani tukapiga stori za hapa na pale na she was happy kwakwel.Ndani anapoishi ilikua self contained.Bwana wee ,alifanyaje unajua?
Kwanza akanambia TheOnlySurvivor muda huu ni jion (saa 1 jion) na mm sina mpango wa kupika na ww najua umechoka.Hapa ni nyumban kw mwanamkehuwez lala, nitakupeleka juu hapo kuna hotel na bar so utapata chakula hapo uchukue na chumba hapo cha kulala then kesho uendelee na safar yako.

Ghafla ,naona anavua nguo moja moja,e bwana wee...nikaona enhee keo ndio naabika mwanaume.Hapo kimya kikatawala.Alipomaliza,akiwa uchi kabisa akachukua kanga akavaa akaingia bafuni.
Duh!!Mtandao ukasoma 6G akil ikataka hamia kichwa cha chini ila nikaidhibiti.
Nikawa mpole na kuongeza umakini..

Alipomaliza akatoka akajikausha maji huku stori za hapa na pale zinaendelea,akachangua jinsi tight na tishirt akavaa.Akasema twenzetu.Aisee yan nilikua kama fala flan hiv.

Akaita boda tukapanda tukafika tulipokusudia.Mfukoni niko vizur sana sana.
Nikaenda jion nikaonda nyama kama kilo na ndiz ,situmii pombe so nikaa juice kubwaa kuvuta muda yy akawa anapiga vyombo vyake kama kawaida ya wachaga.
Nikaenda ku book chumba kwa ajil ya mm kulala hapo iku hiyo.Tukiwa tunaendelea na stori, mara ghafla kapigiwa cm na boyfriend wake,yuko abroad anasomea udaktari.
Kwakua pale kuna kelele basi akaniomba funguo za chumba akaenda kuongelea ndani ili asionekane ametoka kwenda viwanja.
Akakaa sana na alipomaliza akanitumia text "njoo tuhamie tu ndani".
Nikawaambia wahudumu waingize vitu vyetu ndan na chakula kilikua tayar kikapelekwa dani.

Basi hapo nikaona asee inabid nichangamke,wakat anaendelea kupiga vyombo,na kula nikaingia kuoga nikamaliza nikafunga taulo nikamjoin mezani .Hpo hal9i ikawa imeanza kubadikika.maongez yanaelekea kwingine hapo .

Nikapeleka mkono begani, kimya,nikaushushia kifuani ,naona ushirikiano upo,nikauhamishia shingono kisha mashavuni, nikamvuta kwangu ,naona mtoto kajaa,nikampa romance ya nguvu,Vita y WW1 ikaanzia hapo.kumbe manzi alikua ananielewa kitambo sanaa toka chuo.

Nilichapa saanaaaa.Nilichapa sana wakuu.Asbh akawah kuondoka kwenda kazn.Mm nikaendelea na safar kurud dar.kimasihara sihara tu ikajitokeza tumekulana na oenz likaanzia hapo japo yy al9ikua na wake na mm nina wangu tena nimeoa kwa ndoa.

Baada ya hapo hatukua na mawasiliano ya mara kwa mara il9a ni yale ya kushtukiza tu tukimisiana.Mm dar yy mwanza so hakuna tabu.

Miaka miwili tena baadae nikarud mwanza kikazi,HAPA NITAWALETEA YALIYOJITOKEZA MENGINE AMBAYO HAYA HAYAKUA KIMASIHARA ILA HATA MM YALINIFUNZA KITU.

samahan kama uandishi umewachosha.
Kwanza, unaandika kama unatapika!
Pili, huwezi kuwa muongo hivi mtoto wa kiume kwa kutuongopea mabaharia kuwa demu alisaura kila kitu mbele yako ilihali hamkuwa na mahusiano yoyote kabla..

#Hivi kwa nini kadri siku zinavyosonga ndivyo tunavyozidi kupoteza wanaume na kubakisha masalia ya watoto wa kiume..hii chai aaaagh too much!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza, unaandika kama unatapika!
Pili, huwezi kuwa muongo hivi mtoto wa kiume kwa kutuongopea mabaharia kuwa demu alisaura kila kitu mbele yako ilihali hamkuwa na mahusiano yoyote kabla..

#Hivi kwa nini kadri siku zinavyosonga ndivyo tunavyozidi kupoteza wanaume na kubakisha masalia ya watoto wa kiume..hii chai aaaagh too much!


Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ww3 hiyooo coming soon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom