Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hahaha, sakayo mdogo wangu hata sina ID nyingine. Labda uniambie nifungue nyingine ili nikuwe nakupm mara moja moja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siamini mimi jamani kaka kipenzi, kile kisa kinafanana na wewe kabisaa my dear
 
Mambo vip wadau.ngoja tutapate mbili tatu hapa twende pamoja.

Kuna mwaka fulani ivi nilipata interview yapi merkezi kilosa uko na ilikua interview ya pili ya kwanza nilipita.nikatoroka job chapu san nikapata lift gari ya tabora nikashuka dumila kwan nilikua natokea dar.

Pale kuna vigari vya kwenda kilosa uko naul buku 5.basi bwana nikaingia kwenye gari nikakuta watu wachache sana na konda akanambia kakae seat ile pale ambayo upande wa dirishan alikaa dada mmoja ivi age kanizid 8(nilijua baada kuwa nae).
Nikaweka begi na nikamwambia nashuka naenda kunywa soda kwan nilikua sijala kabisa.

Baada ya mda gari ikaondoka na mwanzo wa safari hatukuwa na story kabisa ila story zilianza baada ya yeye kujimwagia juice alaf hana kitambaa ndo nikampa mimi.akajifuta na story za apa na pale zikaendelea

Kupunguza urefu wa story tukafika kilosa ila nikajifny sijawah kufika kabisa so akaenda nitafutia lodge anayoifahm,(n.b. yeye alienda kilosa kutafuta mfanya kazi wa ndani kule na ndo kwao alikozaliwa).nikafika lodge yeye akasema anaenda kwao ila atakuja kunichukua anitembeze mjini kilosa,tukabadilishana namba fresh kabisa na mpaka hapo alarm kichwan haijapiga kwan nilikua nawaza interview tu

Baada ya mda akarud na kuanza kujieleza dah "sijaoga kwan kulikuwa na watu wengi nyumban na story zilikua nyingi" apo ndo akili ikaanza kuingiwa na malue lue kidogo na kuanza kuwaza ujinga ujinga ivi.ghafla akaanza kuvua nguo ili akaoge,nikaanza kujiuliza maswal uyu dada vip hata haogop wala nin na ukumbuke mpak hapo hatufahamian majina. Akaenda kuoga fresh na kurud ndani na kuangusha khanga yake na kuanza kupaka mafuta tena akaniomba nimsaidie kumpaka mafuta,apo nikajisemea kimoyo moyo hanijui huyu.

Nikaanza kusurvey mwilin mwake na shughuli ya kumpak mafuta ikaishia apo na tukaanza mengine ila ninachoshukuru mungu nilikumbuka zana nikaenda reception nikapewa kam 10 ivi (zana ambazo zimekaa kam mkanda ivi ndo mara ya kwanza kuziona za style iyo)

Nikajikuta nakaa siku 3 pale ndo nikaondoka na jina lake nilijua baada ya kufika dar

Popote ulipo agiza nyagi kwan namba yako nshapoteza ila kila nilipokupigia ulikua upo tayr tuonane sema mim ndo nilikua mambo mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio uliliwa kimasihara!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siamini mimi jamani kaka kipenzi, kile kisa kinafanana na wewe kabisaa my dear
Kisa kipi mdogo wangu mpenzi??
 
Back
Top Bottom