Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,008
- 7,059
Uligusaje kinyeo? Au Ni mpenzi wa huko
Sent using Jamii Forums mobile app
USIKU WA KUAMKIA JUMAMOSI NIMEKULA TUNDA KIMASIHARA
Ilikuwa hivi, hapa ninapoishi sasa kuna group la watu 5 whatsapp kwa ajili ya updates ya umeme. Sasa bhana kuna mdada naye ni mgeni tumepishana kama siku 10 basi nikachukua namba hapo tukawa tunachat hivi kama wiki lakini bila kuonana.
Juzi nikamwambia tutoke akakubali, nikatangulia kuandaa mazingira nikajikuta nimeangukia Board Room pale Sinza. Mtoto badae akaja akakuta napiga bapa na maji, kaagiza Robertson wine tukajumuika huku nikiwaza uzi wa kula tunda kimasihara. Kitambo sana nilikuwa sijagonga sa mashine kwenye suruali ilikuwa mnara sasa ile kucheza cheza mtoto akaisikia akawa kama kaigusa akauliza nini hii, nikamwambia umesikia nini, basi akacheka! Kimoyo moyo nikajipa ushindi. Tumepiga vyombo pale nikamwambia twende kulala, akasema sawa.
Tumefika home fresh nikaenda kuoga, narudi namkuta mtoto kavua kabaki na chupi. Nikatomasa tomasa pale huwa si mpenzi wa midenda midenda. Basi ile nashuka chini, eeeh! Si naambiwa niko period baby na pedi kavaa kabisa. Pombe zikaniisha kichwani. Baada ya muda nikaambiwa nataniwa. Basi nikapasha tena misuli nikatafuta zana nikala cha kwanza halafu nikapumzika.
Alfajiri nikapasha tena nikala cha pili ila kabla sijafika mshindo si nikajichanganya nikagusa kinyeo chake aisee bila kutarajia. Nikatukanwa matusi yote na akaondoka. Mpaka sasa hatuongei nimeliwa bati.
Sent using Jamii Forums mobile app