Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Nakumbuka 2009 nilipanda new force tena modern zao zilikua na quality ya hali ya juu huduma muruaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah New Force walikuwa vizuri mabasi yao yalikuwa classic. Nakumbuka likizo fulani wanafunzi walienda kuchukua kitabu cha ticket cha Newforce, ikaonekana Basi zima watapanda wanafunzi tu... Uongozi wa Newforce ukaamua kuhamishia wanafunzi wote kwenye Abood cause wanafunzi wangeweza kupiga machata kwenye siti... Wanafunzi walikasirika balaa ila wakapanda Abood hivyo hivyo ila Sasa huko njiani hawakutaka kupangiwa maisha walikuwa wanapanda na viatu kwenye siti
 
Uzi wa mabaharia
Na mimi ngoja nichangie huu uzi

Nakumbuka ilikuwa mwaka Jana mwezi wa tisa,anco alinituma nipeleke document zake wizara ya afya Dodoma,kipindi hicho nilikuwa sijawahi kukaa Dodoma nilikuwa napita tu kuelekea Dar au mbeya

Niliondoka Dsm saa 11 jioni na busi la Al saedy kama ,tulipofika katikati ya Moro na Dom tulikutana na foleni iliyosababishwa na ajali hali iliyosababisha tufike Dodoma saa 6 usiku,
Nilikuwa nimebeba kibegi changu mgongoni ndani kilikuwa na document na vitambulisho vyangu binafisi,
Baada ya kufika Dom nikatulia kwenye kibanda Cha chips pembeni kulikuwepo na bar ipo karibu na road inayoelekea town karibu na bunge .nikaagiza supu kutokana na baridi la usiku ile ,Mara paap akaingia mmama mmoja wa kichaga mweupeee,akanipa hai nikareply baadae akaagiza supu na yeye .baada ya kama dakika ishilini akaanza kuniongelesha kuniulizia kwamba natoka wapi na naelekea wapi ,nikamjibu then akaniuliza kama Nina mwenyezi nikamwambia sina ( kiukweli Nina ndugu na marafiki wengi Dom ila sikutaka nifikie kwa mtu coz nilipanga nigeuze dar immediately baada ya kukamilisha mipango yangu) ,alivyosikia hivyo akaagiza bia yake na mimi but nikaikataa ,tulipiga story sana kwa ngeli(nahisi ndo kitu kilichomfanya anipende)

Ilipofika saa nane vijana wa mroto wakaingia na landcruser nyeupe tinted wakaamrisha watu wafunge bar (wateja walikimbia kinyama baada ya wazee wa kazi kuingia) tukabaki mim na yule dada na polisi coz dada aliniambia tusikimbie tusimame tu,wazee walipoona begi langu wakaliomba walikague nikawapa hawakuona kitu ,zaidi ya document wakaniambia ntafute sehemu nipumzike coz mim ni mgeni ,
Basi yule dada akaniambia hakuna haja ya kuchukua gest kwa vile ameniamin twende tukalale kwake
Wakuu ilinibidi nikubali but kwa shingo upande nilikuwa nahofia asije kuwa muuzaji,Basi yule dada akawasha gari tukaekekea kwake eneo ambalo silifaham mpaka leo,

Baada ya mwendo kama wa dakika 15 tukafika kwake,alikuwa anaishi kwenye nyumba kubwa pekeake,akanipatia maji ya kuoga ,nikaoga then kanikaribisha chumbani ,daaa alikuwa na chumba kizuri,kilinukia vizuri harufu yeshe ushawishi wa Mambo flani,mim muda wote nilikuwa naogopa japo aliniambia anakaa pekeake mme wake washatengana ila hofu haikuniisha moyoni

Akazima taa ,akabadilisha nguo na kuvaa night dress ,mim pia nikavua na kubakisha boxer,kwa kua kitanda kilikuwa kikubwa nikaacha nafasi kati yangu na yake tusigusane,baada ya dakika kadhaa nikashangaa nashikwa dushe na mkono nikadinda ,akanisogelea nikapiga denda ,na kuzama chumvin ,demu alikuwa na bonge la tako ,then we make love,nakumbuka alikuwa akitaka kukojoa ananikumbatia kwa nguvu na kuning'ata shingo nilipiga vitatu vya afya,
Akapitiwa na usingizi,ilipofika saa 11 nikaamua kutoroka japo njia siifahamu ,coz nilihofia asije nigeuka asubuhi,niliamka nikafungua mlango taratibu na kuindoka,nikawa nasikilizia sauti za magar au boda boda nafata direction,bahati nzur nikatokezea barabarani ,pembeni kulikuwepo na wazee walikuwa wanakunywa kahawa,nikaungana nao mpaka saa moja asubuhi

Baadae nikachukua daladala mpaka mjini,na bodaboda kutoka town mpaka hospital ya milembe nikapandisha mlima hadi wizara ya afya,mida ya saa nne nikakamilisha Mambo yangu na kurudi dar muda huo huo,

Sikuchukua namba yake Wala yeye hakuchukua namba yangu

Usiku mwema wadau



Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo hatari atakuwa alipata hofu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha Mimi nilikuwa mjanja aisee... Nikitokea bweni la LUMUMBA chemba moja tuliita maghorofani... Nilikuwa na mafundi akina George Gambi, Selemani Ayubu (mwandishi wa gazeti la shule) na wengine kibao
Hahahah lumumba B pale karibu na getini opposite na ketoboma [emoji3]

Tuliwaacha pale sisi ndio lile 4m4 darasa tuliokinukisha pale Hadi shule ikafungwa miezi mitatu .

Ile shule imezalishwa madogo zege wengie sana japo walikuwa na akili kichwa

Mkiona sketi za kalobe mnachanganyikiwa sana[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moro na Manka kimasihara tu.

Basi bwana baharia 2017 nimetoka zangu bushini hukoooo morogoro naenda zangu mjini daslamu kumsabahi bibi angu mgonjwa haswa afu navyomuhusudu bibi huyu, acha tu!! Mpira umenisumbua hatari kuanzia Mikumi mbugani feni imezingua mbovu yani laana. Imagine unaendesha gari dakika 10 inachemka basi unaegesha road side ipoe ndo ivo ivo mpaka nikafika Moro town mida imeenda kiseeera, moja kwa moja nikaenda Mogas kuirekebisha.

Kufika Mogas daktari wa mashine akaniambia huna namna baharia nnua feni mpya hii ilisha-jam na mortar imeungua!! Dah jau kweli, nikamwambia jamaa sio kesi twenzetu tukaichukue wote, lengo kupunguza loop hole ya jamaa kunipiga cha juu si unajua mafundi wetu hawa. Basi bwana tukadaka boda tukajipindua tu mpaka fire njia ya kwenda Mazimbu kuna maduka kibao ya used spare parts wenyeji wa moro wanapajua hapa.

Picha ikaanzia hapa
Ile tunarudi pale Mogas kwenye matoyo yetu kwa mbele tumeongozana na boda lingine ndo nikamuona Manka wa Rombo. Mtoto kajaa kwenye toyo rangi ya mtume masabufa yametokelezea kwa pembeni wallah huoni side mirrorr za lile toyo. Basi baharia nikajiongeza fasta nikamsanua pilot wangu, "Mwamba ebu vuta kibati icho mkaribie huyo mtoto anaemiliki ilo boda kwa saizi nataka nimsomee risala."

Vuuuuuuum boda likaitika, mie fasta nikajilipua, "Manka mambo?" Mtoto akaniangalia kama ananikumbuka kama kanisahau, fasta nikamuongeza jingine, "Mi mwafulani, umenisahau kidogo vishavu vya kitimoto na bia vimenitoka" Muda huo boda ziko sambamba na baharia anajitahidi tukiachwa akeep pace ili mwanae nilongelonge na mtoto kama nna kifurushi cha YATOSHA. Basi bwana mtoto akamwambia boda wake ebu weka pembeni bombadia niongee na sponsor.

Mita 30 mbele boda likasimama, baharia wangu nae akasimama. Basi nikamfata nikamkumbusha manka, enzi izo mi nasoma jiwe chuo fulani Moro ww ulikuwa diploma, "Waoooooo kumbe ni wewe?" Bila kupoteza muda nikamuomba manamba akanicholea nikamwacha akaenda zake, mimi nikaenda garage pale tukamaliza ufundi mi safari dar.

Kesho yake sasa.
Nikamaliza yangu ya dar kama saa tisa ivi alasiri muhuni nikachomoka dar safari moro, saa moja flani nikafika mjini. Moja kwa moja nikamvutia waya bibie stori mbili tatu nikamwita maeneo, uwanja wa nyumbani Top life hotel. Mwenyeji wa Moro ataelewa kwann nilimwita pale, moja sikutaka kupoteza muda kuanza kuzurura umelewa Buza unataka ukalale Tegeta pale ni multifunctional.

Nimefika nikaagiza kisichana na redbull, dakika kumi nyingi manka kafika kaagiza juice. Dah nikaona nshaanza kufeli, lakini akawa na sense kwamba hajala haweza kufakamia ulabu atahaibika. Fasta nikamuita wa restaurant tukaagiza mapochopocho pale. Kuna dish moja ivi inakujaga na manyama nyama na chips humo humo basi tukaanza kufakamia stori mbili tatu nikijaribu kumprob manka huku mi nikiendelea kupaua tu na visichana. Basi kwenye gari nilikuwa nimenunua vi open shoes pair mbili ivi vya kimasai, nikamwomba vile vi sandal vyake nikaangalia size nikakuta size 40, what a coincidence!! Nikaenda nikafata pair moja huku nimechukua vile alivyovyaa vyake nikaviweka kwenye gari nikarudi na vile vipya nikampa akavaa. Weee asante kama zote namm wala sikujiangusha nikamsifia umependeza kama nn yani ili mradi kumvuruga akili.

Basi bwana manka akanipa stori zake pale, muda huo ashaanza kupakia redds kwamba yupo Mzumbe University anakula jiwe basi namm nikampa zangu za uongo na ukweli pale ilimradi kusogeza muda huku nikifurahia kampani ya mtoto mzuri na mweupe haswaa wa kichaga. ***** redds hazidanganyi aisee, 4 tu mtoto akaanza kurembua namimi sina hiyana nammiminia kwenye glass kila akipiga funda moja, kufika saa tano usiku ashalewa anadai amechoka anataka kulala.

Fastaaaaa nikapanda reception nikachukua chumba cha 30k nikatoka nje kwenye gari nikachukua supplies, if you know what i mean??? Nikarudi bar chamber nikaendelea na stori za kuzuga zuga tu muda huo mkuyenge unaniharakisha niache ubwege niondoke na mtoto room nikale nyasi.

Nikamnyanyua mtoto watu wachache waliokuwepo pale muda huo haswa wastaafu wote macho kwangu wakifaidi kwa macho ile mega-specie nnavyoondoka nayo kuelekea jimbo la kabul kulipua mabomu. Basi tukaingia runduno mtoto akajitupa kitandani. Hakuna siku nilipata tabu kama siku ile ingelikuwa sio Senior Superintendent baharia wallah ile mission ninge abort usiku ule nakuwithdraw majeshi toka battle ground.

Ilikuwaje??

Mtoto alikuja amevaa amedamshi vibaya sana na tshirt moja nyeupe sana kama vile anajiandaa kwenda club, chini akawa kamaliza na jeans moja iliyomkaa barabara ivyo kumfanya shepu lake liwe kama ndege mnana. Kumbe lile jeans liliibuka kuwa kikwazo kikubwa kuliko hata cha COVI-19 kwa wafanyabiashara kwenda China. Kuanzania saa tano na nusu ivi usiku ni vita ya kuvua jeans mpaka saa sita na kitu, ajabu mtoto nikimpa mate anakubali nikinyonya zile boribo kifuani anasisima ila jeans hataki kushusha "Unataka kunifanya nn??" Kauli ilitawala muda ule kama corona na vyombo vya habari karne hii

Hatimaye nikafanikiwa kushusha ule ukuta wa Berlin fasta sana nikavaa rough rider zangu taratiibu nikala nyasi, nikala nyasi kavu, nikala nyasi mbichi, nikala nyasi, kwa hasira nikala sana nyasi usiku ule. Tukalala mpaka asubuhi tukaamka na morning glory, basi tukaoga tukashuka restaurant pale tukapiga breakfast pale masoseji nini na nini. Nikamuuliza mtoto elekeo wapiii? Akaniambia nanenane basi nikampeleka nane nane nikamwacha mm huyoooo nikarudi bushini kwangu.

Aisee ile siku siwezi isahau jinsi nilivyo kula kimasihara manka.
Nje ya mada kidogo ;

Umesema kuhusu top life hotel!
Hii hotel niliwahi kupita kama mara mbili ama tatu hivi.. wanachakula kizuri na malazi mazuri pia.. ila sijui kama kuna lift. Bado inafanya vyema kama zamani.!?
 
Daah New Force walikuwa vizuri mabasi yao yalikuwa classic. Nakumbuka likizo fulani wanafunzi walienda kuchukua kitabu cha ticket cha Newforce, ikaonekana Basi zima watapanda wanafunzi tu... Uongozi wa Newforce ukaamua kuhamishia wanafunzi wote kwenye Abood cause wanafunzi wangeweza kupiga machata kwenye siti... Wanafunzi walikasirika balaa ila wakapanda Abood hivyo hivyo ila Sasa huko njiani hawakutaka kupangiwa maisha walikuwa wanapanda na viatu kwenye siti
Nomaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nje ya mada kidogo ;

Umesema kuhusu top life hotel!
Hii hotel niliwahi kupita kama mara mbili ama tatu hivi.. wanachakula kizuri na malazi mazuri pia.. ila sijui kama kuna lift. Bado inafanya vyema kama zamani.!?
Lift sidhana maana sio ndefu ile ghorofa. Mi pia mkuu nilipita 2017 mara ya mwisho
 
Daah New Force walikuwa vizuri mabasi yao yalikuwa classic. Nakumbuka likizo fulani wanafunzi walienda kuchukua kitabu cha ticket cha Newforce, ikaonekana Basi zima watapanda wanafunzi tu... Uongozi wa Newforce ukaamua kuhamishia wanafunzi wote kwenye Abood cause wanafunzi wangeweza kupiga machata kwenye siti... Wanafunzi walikasirika balaa ila wakapanda Abood hivyo hivyo ila Sasa huko njiani hawakutaka kupangiwa maisha walikuwa wanapanda na viatu kwenye siti
Jinga sana hao watoto

xi xhua tumzgunch
 
X ni Samia, hii story umeirudia ila kwa kuipa nyama zaidi.

Shukrani Sana mkuu

Hahahaha kumbe nishawahi kusimulia... Kweli Samia ananivuruga huenda siku nyingine nikaisimulia tena

HAPA SASA NDIO HUWA NAWAKUBALI WANYAMWEZI MNAJUA KUCHIMBA AHAHAHA DAAAH NA MNAMEMORY NZURI, kweli aliwah kusimulia ila anasema utamu ulizid sukari hata siku nyingine anaweza akarudia 🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nakumbuka nikiwa form 3 kulikuwa na demu(Jirani) ananiuliza eti kwa nini wewe mademu hupendi kuongea nao na unawaonea aibu? Kwa vile alikuwa mbaya na mfupi nikamjibu kirahisi kuwa mimi govi ndo maana sipendi kusocialize na wanawake.Kumbe akaenda kumhadithia mwenzake ambae alikuwa kisu kichizi,mwenzie nae alivyokuwa mjinga si akaja na kuanza kujifanya ananionea huruma eti ananipa hope kuwa nisijitenge na sijachelewa na wala nisilione kuwa ni tatizo kubwa na hivyo yupo kwa ajili yangu.Siku kaja geto sijui alikuwa anahisi mimi govi kweli aisee alichapwa nao mpaka kaenda kumuambia mwenzie kuwa yule sio govi katahiriwa.
MWANZO SIKUJUA KWA NINI ALIKUWA ANANIONEA HURUMA KIJINGA JINGA VILE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka nikiwa form 3 kulikuwa na demu(Jirani) ananiuliza eti kwa nini wewe mademu hupendi kuongea nao na unawaonea aibu? Kwa vile alikuwa mbaya na mfupi nikamjibu kirahisi kuwa mimi govi ndo maana sipendi kusocialize na wanawake.Kumbe akaenda kumhadithia mwenzake ambae alikuwa kisu kichizi,mwenzie nae alivyokuwa mjinga si akaja na kuanza kujifanya ananionea huruma eti ananipa hope kuwa nisijitenge na sijachelewa na wala nisilione kuwa ni tatizo kubwa na hivyo yupo kwa ajili yangu.Siku kaja geto sijui alikuwa anahisi mimi govi kweli aisee alichapwa nao mpaka kaenda kumuambia mwenzie kuwa yule sio govi katahiriwa.
MWANZO SIKUJUA KWA NINI ALIKUWA ANANIONEA HURUMA KIJINGA JINGA VILE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona baharia ulitambaa na ukali [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulitumia ndomu?? Au uliuza match...

Nakumbuka nikiwa form 3 kulikuwa na demu(Jirani) ananiuliza eti kwa nini wewe mademu hupendi kuongea nao na unawaonea aibu? Kwa vile alikuwa mbaya na mfupi nikamjibu kirahisi kuwa mimi govi ndo maana sipendi kusocialize na wanawake.Kumbe akaenda kumhadithia mwenzake ambae alikuwa kisu kichizi,mwenzie nae alivyokuwa mjinga si akaja na kuanza kujifanya ananionea huruma eti ananipa hope kuwa nisijitenge na sijachelewa na wala nisilione kuwa ni tatizo kubwa na hivyo yupo kwa ajili yangu.Siku kaja geto sijui alikuwa anahisi mimi govi kweli aisee alichapwa nao mpaka kaenda kumuambia mwenzie kuwa yule sio govi katahiriwa.
MWANZO SIKUJUA KWA NINI ALIKUWA ANANIONEA HURUMA KIJINGA JINGA VILE.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa uandishi wako huu is very fun.

Hahaha so ni kweli manka mlischool nae au ndio mbinu za kibaharia
Moro na Manka kimasihara tu.

Basi bwana baharia 2017 nimetoka zangu bushini hukoooo morogoro naenda zangu mjini daslamu kumsabahi bibi angu mgonjwa haswa afu navyomuhusudu bibi huyu, acha tu!! Mpira umenisumbua hatari kuanzia Mikumi mbugani feni imezingua mbovu yani laana. Imagine unaendesha gari dakika 10 inachemka basi unaegesha road side ipoe ndo ivo ivo mpaka nikafika Moro town mida imeenda kiseeera, moja kwa moja nikaenda Mogas kuirekebisha.

Kufika Mogas daktari wa mashine akaniambia huna namna baharia nnua feni mpya hii ilisha-jam na mortar imeungua!! Dah jau kweli, nikamwambia jamaa sio kesi twenzetu tukaichukue wote, lengo kupunguza loop hole ya jamaa kunipiga cha juu si unajua mafundi wetu hawa. Basi bwana tukadaka boda tukajipindua tu mpaka fire njia ya kwenda Mazimbu kuna maduka kibao ya used spare parts wenyeji wa moro wanapajua hapa.

Picha ikaanzia hapa
Ile tunarudi pale Mogas kwenye matoyo yetu kwa mbele tumeongozana na boda lingine ndo nikamuona Manka wa Rombo. Mtoto kajaa kwenye toyo rangi ya mtume masabufa yametokelezea kwa pembeni wallah huoni side mirrorr za lile toyo. Basi baharia nikajiongeza fasta nikamsanua pilot wangu, "Mwamba ebu vuta kibati icho mkaribie huyo mtoto anaemiliki ilo boda kwa saizi nataka nimsomee risala."

Vuuuuuuum boda likaitika, mie fasta nikajilipua, "Manka mambo?" Mtoto akaniangalia kama ananikumbuka kama kanisahau, fasta nikamuongeza jingine, "Mi mwafulani, umenisahau kidogo vishavu vya kitimoto na bia vimenitoka" Muda huo boda ziko sambamba na baharia anajitahidi tukiachwa akeep pace ili mwanae nilongelonge na mtoto kama nna kifurushi cha YATOSHA. Basi bwana mtoto akamwambia boda wake ebu weka pembeni bombadia niongee na sponsor.

Mita 30 mbele boda likasimama, baharia wangu nae akasimama. Basi nikamfata nikamkumbusha manka, enzi izo mi nasoma jiwe chuo fulani Moro ww ulikuwa diploma, "Waoooooo kumbe ni wewe?" Bila kupoteza muda nikamuomba manamba akanicholea nikamwacha akaenda zake, mimi nikaenda garage pale tukamaliza ufundi mi safari dar.

Kesho yake sasa.
Nikamaliza yangu ya dar kama saa tisa ivi alasiri muhuni nikachomoka dar safari moro, saa moja flani nikafika mjini. Moja kwa moja nikamvutia waya bibie stori mbili tatu nikamwita maeneo, uwanja wa nyumbani Top life hotel. Mwenyeji wa Moro ataelewa kwann nilimwita pale, moja sikutaka kupoteza muda kuanza kuzurura umelewa Buza unataka ukalale Tegeta pale ni multifunctional.

Nimefika nikaagiza kisichana na redbull, dakika kumi nyingi manka kafika kaagiza juice. Dah nikaona nshaanza kufeli, lakini akawa na sense kwamba hajala haweza kufakamia ulabu atahaibika. Fasta nikamuita wa restaurant tukaagiza mapochopocho pale. Kuna dish moja ivi inakujaga na manyama nyama na chips humo humo basi tukaanza kufakamia stori mbili tatu nikijaribu kumprob manka huku mi nikiendelea kupaua tu na visichana. Basi kwenye gari nilikuwa nimenunua vi open shoes pair mbili ivi vya kimasai, nikamwomba vile vi sandal vyake nikaangalia size nikakuta size 40, what a coincidence!! Nikaenda nikafata pair moja huku nimechukua vile alivyovyaa vyake nikaviweka kwenye gari nikarudi na vile vipya nikampa akavaa. Weee asante kama zote namm wala sikujiangusha nikamsifia umependeza kama nn yani ili mradi kumvuruga akili.

Basi bwana manka akanipa stori zake pale, muda huo ashaanza kupakia redds kwamba yupo Mzumbe University anakula jiwe basi namm nikampa zangu za uongo na ukweli pale ilimradi kusogeza muda huku nikifurahia kampani ya mtoto mzuri na mweupe haswaa wa kichaga. ***** redds hazidanganyi aisee, 4 tu mtoto akaanza kurembua namimi sina hiyana nammiminia kwenye glass kila akipiga funda moja, kufika saa tano usiku ashalewa anadai amechoka anataka kulala.

Fastaaaaa nikapanda reception nikachukua chumba cha 30k nikatoka nje kwenye gari nikachukua supplies, if you know what i mean??? Nikarudi bar chamber nikaendelea na stori za kuzuga zuga tu muda huo mkuyenge unaniharakisha niache ubwege niondoke na mtoto room nikale nyasi.

Nikamnyanyua mtoto watu wachache waliokuwepo pale muda huo haswa wastaafu wote macho kwangu wakifaidi kwa macho ile mega-specie nnavyoondoka nayo kuelekea jimbo la kabul kulipua mabomu. Basi tukaingia runduno mtoto akajitupa kitandani. Hakuna siku nilipata tabu kama siku ile ingelikuwa sio Senior Superintendent baharia wallah ile mission ninge abort usiku ule nakuwithdraw majeshi toka battle ground.

Ilikuwaje??

Mtoto alikuja amevaa amedamshi vibaya sana na tshirt moja nyeupe sana kama vile anajiandaa kwenda club, chini akawa kamaliza na jeans moja iliyomkaa barabara ivyo kumfanya shepu lake liwe kama ndege mnana. Kumbe lile jeans liliibuka kuwa kikwazo kikubwa kuliko hata cha COVI-19 kwa wafanyabiashara kwenda China. Kuanzania saa tano na nusu ivi usiku ni vita ya kuvua jeans mpaka saa sita na kitu, ajabu mtoto nikimpa mate anakubali nikinyonya zile boribo kifuani anasisima ila jeans hataki kushusha "Unataka kunifanya nn??" Kauli ilitawala muda ule kama corona na vyombo vya habari karne hii

Hatimaye nikafanikiwa kushusha ule ukuta wa Berlin fasta sana nikavaa rough rider zangu taratiibu nikala nyasi, nikala nyasi kavu, nikala nyasi mbichi, nikala nyasi, kwa hasira nikala sana nyasi usiku ule. Tukalala mpaka asubuhi tukaamka na morning glory, basi tukaoga tukashuka restaurant pale tukapiga breakfast pale masoseji nini na nini. Nikamuuliza mtoto elekeo wapiii? Akaniambia nanenane basi nikampeleka nane nane nikamwacha mm huyoooo nikarudi bushini kwangu.

Aisee ile siku siwezi isahau jinsi nilivyo kula kimasihara manka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom