Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Likizo ya corona hii nilitegemea uzi uwe wa moto,lakini visa vichache ila stori nyingi.
Shusheni mambo ya maana bana mnatuboa.
 
DADA WA KAZI (rest in peace)
Sikuwahi wala kufikilia hata siku moja ila ndio imetokea hivyo
Ni moja ya picha mbaya ya kuogopesha inayoishi kichwani mwangu hadi sasa
Mnamo mwaka 2014 tukipata dada wa kazi kutoka mbeya mweusi mnene kiasi umbo la mapenzi makalio ndio ilikuwa silaha yake kwa mabaharia pale kitaa alikuwa mchapakazi msafi upendo ucheshi yaani hakuwa na kasoro familia tulimpenda tukaishi naye kama mwana familia tukasahau kwamba ni mfanyakazi furaha ikatawala nyumba ikapendeza maisha yakaendelea
Dada wa kazi kumbe alipewa dili la kuja dar na mtu baki yeye akatoroka hakuaga nyumbani kwao alikuwa akikaa na bibi yake tu kumbe bibi alipanga kumtumia kwenye kazi zake za upande wa pili (uchawi)
Wengi wetu tumefundishwa mapenzi na wadada. Wa kazi tulikuwa kama mke na mme vile ikafika kipindi analala chumba changu au mimi chumba chake tulikuwa tunafanya mapenzi usiku kucha damu inachemka balehe ya kwanza nguo za shule zilipigwa pasi nilifuliwa nilitengewa chakula yaani nilipiwa kila kitu hakika alinipenda tulipendana nilikuwa na furaha nilifurahia upendo wake nilibadikika nikawa kijana smart sana nyumbani na shuleni uwezo pia wa kitaaluma ukaongezeka adi familia ikawa inashangaa lkn siri tuliijua sisi
Shida ikaanza yule dada akaanza sumbuliwa na mauza uza maajabu vitu visivyo eleweka akaanza kuumwa na kudhoofu tukiwa tukilala atapiga kelele akisema bibi bibi akiumwa analia uku akitaja jina la bibi yake familia ikachanganyikiwa mawasiliano na kwao yalikatika hakuna paleka sana hospital wapi shida bado ipo
Ukifika usiku ambao sitaweza kuhusahau ule usiku kama ningekuwa director ningetengenezea movie ingeuza dunia nzima kama ningekuwa mwandishi ningetengenezea kitabu kingeuza ulimwengu mzima ni jambo la kusisimua kutisha kuhuzunisha
Nakumbuka mvua ilikuwa kubwa sana radi zinapiga baridi Kali umeme umekatika usiku saa 8 dada wa kazi anakuja ndani kwangu akiwa na hofu na uwoga uliopitiliza ananiamsha nashtuka baada ka kumuona yeye nikatulia nilishaa kidogo ni mda atujakutana kimwili kutokana na matatizo yake kiafya alikuwa mtu wa kitandani nikamuiliza vipi akaniaambia

Naogopa naomba niwe nawe usiku wa leo sidhani kama nitaliona juu la kesho bibi ananiua alikuwa kiongea kwa hisia kali sana huku akipanda kitandani alinikumbatia na kuanza kulia kilio cha chini chini mikito mikito nakupenda nakupoteza nakufa mwenzio alikuwa amevaa khanga yake moja nilimfaliji na kumbembeleza akatulia nikaanza kumpapasa pale tulienjoy tulifurahia nakumbuka alikuwa akiniambia mimi nakuacha lkn nikumbuke daima alikuwa akitabasamu na kifurahi. Tulilala asubuhi na mapema nataka kumuasha aludi chumbani kwake mtu hamki labda kwa kazi ya usiku amechoka nikatoka nikaenda bafuni bado amelala sikuwa na wazo kuwa amekufa au vipi nilitaka kujiaandaa kwenda shule nilimtikisa wapi wasi wasi ukaanza kuniingia nikachukua maji wapi niliogopa nikaanza kulia nililia kwa uchungu sana wazazi wakaja walimkuta dada wa kazi amekufa kitandani kwangu haikuwa na jinsi taratibu zingine zikafwatwa ukachukuliwa mwili mpaka hospital kilicho muua akijulikana tulijua ni ugonjwa wake ukiokuwa ukimsumbua tu tulizika familia yangu ndio iliyo mzika na kufanya taratibu zote baada ya mda wazazi wakaniweka kikao nikawaeleza yote wakaelewa
Maisha yakaendelea nililudiw kwenye hali yangu ya zamani kwa haraka sana nikawa rafu uelewa ukashuka furaha upendo ukapotea
Dada wa kazi pumzika kwa amani nitakukumbuka daima
Mikito at his Best
 
DADA WA KAZI (rest in peace)
Sikuwahi wala kufikilia hata siku moja ila ndio imetokea hivyo
Ni moja ya picha mbaya ya kuogopesha inayoishi kichwani mwangu hadi sasa
Mnamo mwaka 2014 tukipata dada wa kazi kutoka mbeya mweusi mnene kiasi umbo la mapenzi makalio ndio ilikuwa silaha yake kwa mabaharia pale kitaa alikuwa mchapakazi msafi upendo ucheshi yaani hakuwa na kasoro familia tulimpenda tukaishi naye kama mwana familia tukasahau kwamba ni mfanyakazi furaha ikatawala nyumba ikapendeza maisha yakaendelea
Dada wa kazi kumbe alipewa dili la kuja dar na mtu baki yeye akatoroka hakuaga nyumbani kwao alikuwa akikaa na bibi yake tu kumbe bibi alipanga kumtumia kwenye kazi zake za upande wa pili (uchawi)
Wengi wetu tumefundishwa mapenzi na wadada. Wa kazi tulikuwa kama mke na mme vile ikafika kipindi analala chumba changu au mimi chumba chake tulikuwa tunafanya mapenzi usiku kucha damu inachemka balehe ya kwanza nguo za shule zilipigwa pasi nilifuliwa nilitengewa chakula yaani nilipiwa kila kitu hakika alinipenda tulipendana nilikuwa na furaha nilifurahia upendo wake nilibadikika nikawa kijana smart sana nyumbani na shuleni uwezo pia wa kitaaluma ukaongezeka adi familia ikawa inashangaa lkn siri tuliijua sisi
Shida ikaanza yule dada akaanza sumbuliwa na mauza uza maajabu vitu visivyo eleweka akaanza kuumwa na kudhoofu tukiwa tukilala atapiga kelele akisema bibi bibi akiumwa analia uku akitaja jina la bibi yake familia ikachanganyikiwa mawasiliano na kwao yalikatika hakuna paleka sana hospital wapi shida bado ipo
Ukifika usiku ambao sitaweza kuhusahau ule usiku kama ningekuwa director ningetengenezea movie ingeuza dunia nzima kama ningekuwa mwandishi ningetengenezea kitabu kingeuza ulimwengu mzima ni jambo la kusisimua kutisha kuhuzunisha
Nakumbuka mvua ilikuwa kubwa sana radi zinapiga baridi Kali umeme umekatika usiku saa 8 dada wa kazi anakuja ndani kwangu akiwa na hofu na uwoga uliopitiliza ananiamsha nashtuka baada ka kumuona yeye nikatulia nilishaa kidogo ni mda atujakutana kimwili kutokana na matatizo yake kiafya alikuwa mtu wa kitandani nikamuiliza vipi akaniaambia

Naogopa naomba niwe nawe usiku wa leo sidhani kama nitaliona juu la kesho bibi ananiua alikuwa kiongea kwa hisia kali sana huku akipanda kitandani alinikumbatia na kuanza kulia kilio cha chini chini mikito mikito nakupenda nakupoteza nakufa mwenzio alikuwa amevaa khanga yake moja nilimfaliji na kumbembeleza akatulia nikaanza kumpapasa pale tulienjoy tulifurahia nakumbuka alikuwa akiniambia mimi nakuacha lkn nikumbuke daima alikuwa akitabasamu na kifurahi. Tulilala asubuhi na mapema nataka kumuasha aludi chumbani kwake mtu hamki labda kwa kazi ya usiku amechoka nikatoka nikaenda bafuni bado amelala sikuwa na wazo kuwa amekufa au vipi nilitaka kujiaandaa kwenda shule nilimtikisa wapi wasi wasi ukaanza kuniingia nikachukua maji wapi niliogopa nikaanza kulia nililia kwa uchungu sana wazazi wakaja walimkuta dada wa kazi amekufa kitandani kwangu haikuwa na jinsi taratibu zingine zikafwatwa ukachukuliwa mwili mpaka hospital kilicho muua akijulikana tulijua ni ugonjwa wake ukiokuwa ukimsumbua tu tulizika familia yangu ndio iliyo mzika na kufanya taratibu zote baada ya mda wazazi wakaniweka kikao nikawaeleza yote wakaelewa
Maisha yakaendelea nililudiw kwenye hali yangu ya zamani kwa haraka sana nikawa rafu uelewa ukashuka furaha upendo ukapotea
Dada wa kazi pumzika kwa amani nitakukumbuka daima

hili jamaa linachai hadi kero
 
Collage mate wangu wa discussion(Mdada) wakati tunasoma aliwahi kunisimulia kuwa kuna hadithi nyingine huwa kuzisimulia kwake mara baada ya kutokea ni nadra sana. Akanambia kuwa yeye na dadake wa kuzaliwa wameolewa, na familia zao ni kama family friends na familia za waume zao. Kila misimu ya sikukuu huwa wanaalikana kwa zamu kwenda kusherekea sikukuu kwenye moja ya nyumba ya mwenzao. Na baadae usiku huwa wanamalizia na outing matata, baba na mama kwa familia zote mbili kwenda kwenye hotel za fukwe kufurahia music na maisha.

Tabia hiyo ilijengeka kwa muda, na licha ya kufahamiana sana pia walipata kuzoeana mno. Yaaani dada wawili kwa kuzaliwa na waume zao. Siku moja mkesha wa mwaka mpya, baada ya pilikapilika za kufurahia kuufunga mwaka mchana, ilipowadia usiku Dec 31, walipata kwenda out wakiwa kama couples kwenda kuufunga mwaka kama waswahili wasemavyo. Walifika kwenye hotel moja nzuri kwenye fukwe za jiji la Dar na walipanga kuwa wangelala huko hadi January Mosi.

Wakati wakifurahia kuuona mwaka mpya usiku wa Manane, walijikuta wamekunywa kiasi kingi cha WINE huku wakicheza muziki mlaini kwenye ukumbi wa hotel ile huku wakiwa wamebadilishana mtu na shemejiye huku wakiwa wanacheza kwa kujiachia bila ya woga na wasiwasi wowote.

Ilipotimu mida ya saa tisa usiku, waliamua kwenda kujipumzisha kwenye vyumba vyao.

Cha ajabu, walishtuka asubuhi na kujikuta kila mmoja akiwa amelala na mume wa Mwenzie.
Sasa swali linakuja: je ni wote walifanikiwa kugegedana wakati wakiwa wamelewa? Je! Aliyefanya ku-spare ili agegede asubuhi, angeweza kuwa na hiyo nguvu ya kufanya hivyo baaada ya kubaini kuwa aliyelala naye ni shemeji yake?

Alichoniambia huyu college mate wangu,
Kuna baadhi ya Story zinapoanzia, basi ndio hapo hapo mwisho wake. Hutoweza kuzisikia au kusimulia kwingine[emoji23][emoji1787]

Nilipomdadisi kama bado mahusiano ya kifamilia yapo kama hapo awali, alikubali kuwa bado yapo, ila outing hawakuwahi kwenda tena, na hakuna mtu aliyewahi kumuuliza mwenzie ilikuwaje hadi hali ile ikatokea. Ila Dada wa mdogo mtu, alimpa vitisho mdogo wake, kuwa iwe ni mwanzo na Mwisho kama ile siku walipeana utamu. [emoji1787][emoji23]

Dunia ina Mengi hatari.

Sent using [Iphone XS Max]
 
Pombe gani hiyo, kuna mmoja wapo alipanga
Collage mate wangu wa discussion(Mdada) wakati tunasoma aliwahi kunisimulia kuwa kuna hadithi nyingine huwa kuzisimulia kwake mara baada ya kutokea ni nadra sana. Akanambia kuwa yeye na dadake wa kuzaliwa wameolewa, na familia zao ni kama family friends na familia za waume zao. Kila misimu ya sikukuu huwa wanaalikana kwa zamu kwenda kusherekea sikukuu kwenye moja ya nyumba ya mwenzao. Na baadae usiku huwa wanamalizia na outing matata, baba na mama kwa familia zote mbili kwenda kwenye hotel za fukwe kufurahia music na maisha.

Tabia hiyo ilijengeka kwa muda, na licha ya kufahamiana sana pia walipata kuzoeana mno. Yaaani dada wawili kwa kuzaliwa na waume zao. Siku moja mkesha wa mwaka mpya, baada ya pilikapilika za kufurahia kuufunga mwaka mchana, ilipowadia usiku Dec 31, walipata kwenda out wakiwa kama couples kwenda kuufunga mwaka kama waswahili wasemavyo. Walifika kwenye hotel moja nzuri kwenye fukwe za jiji la Dar na walipanga kuwa wangelala huko hadi January Mosi.

Wakati wakifurahia kuuona mwaka mpya usiku wa Manane, walijikuta wamekunywa kiasi kingi cha WINE huku wakicheza muziki mlaini kwenye ukumbi wa hotel ile huku wakiwa wamebadilishana mtu na shemejiye huku wakiwa wanacheza kwa kujiachia bila ya woga na wasiwasi wowote.

Ilipotimu mida ya saa tisa usiku, waliamua kwenda kujipumzisha kwenye vyumba vyao.

Cha ajabu, walishtuka asubuhi na kujikuta kila mmoja akiwa amelala na mume wa Mwenzie.
Sasa swali linakuja: je ni wote walifanikiwa kugegedana wakati wakiwa wamelewa? Je! Aliyefanya ku-spare ili agegede asubuhi, angeweza kuwa na hiyo nguvu ya kufanya hivyo baaada ya kubaini kuwa aliyelala naye ni shemeji yake?

Alichoniambia huyu college mate wangu,
Kuna baadhi ya Story zinapoanzia, basi ndio hapo hapo mwisho wake. Hutoweza kuzisikia au kusimulia kwingine[emoji23][emoji1787]

Nilipomdadisi kama bado mahusiano ya kifamilia yapo kama hapo awali, alikubali kuwa bado yapo, ila outing hawakuwahi kwenda tena, na hakuna mtu aliyewahi kumuuliza mwenzie ilikuwaje hadi hali ile ikatokea. Ila Dada wa mdogo mtu, alimpa vitisho mdogo wake, kuwa iwe ni mwanzo na Mwisho kama ile siku walipeana utamu. [emoji1787][emoji23]

Dunia ina Mengi hatari.

Sent using [Iphone XS Max]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom