Mkuu katika watu ambao wameonesha rangi halisi ya mioyo ya mtu mweusi kama mie ni weye, kwa kawaida sisi hupenda uongo, husda , chuki na ni wanafiki.
Nilisoma post zako kam mbili tatu, hivi, nikahisi kuwa ulikuwa Unapost story za uongo, sikuelewa hasa motive yako ya kuzungumza uongo katika uzi ambao haimlazimishi mtu yoyote kuchangia , simply kama huna kisa unakuwa msomaji. pale ilikuwa unawakilisha vema jadii yetu ya kupenda kusema uongo
Hii ya leo ni kama ya kufunga uzi nadhan baada ya jitihada zako nyingi za kufanya uzi uwe useless kwa Visa vyako vya uongo, hapa sasa unawakilisha chuki na husda kwa pamoja, kama kawaida yetu , rikkiboy ni bahati yake tu kuanzisha uzi na uka hit, ungeweza kujipanga na wewe uanzishe wako ili tukuchangie views na post , badala yake umetia fitna na leo unashangilia uzi unapodorora . Na utafurahi ukipotea kabisa
Comments yako hii ya leo inatia full stop , kwa kejeli na shangwe zenye husda ndani yake ,kwa kitu ambacho hata hukukianzisha , inasikitisha sana!!!
Kitu amabcho najiuliza kwa nini tuna mioyo ya namna hii?
Sent using
Jamii Forums mobile app