Ulishawahi kula tunda kimasihara?
[emoji3][emoji16][emoji16]nakumbuka niko field msalala kahama mwenzetu mmoja alishindwa uzalendo akaliwa denti yaani Dada alilegea mnoo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sisahau,kuna dogo alikua anaitwa Hamisi alikua ananipenda halafu mi namuona mwanafunzi kuna siku akasema"sijui kwa nini nimechelewa kusoma "yaani wanafunzi wa shule miaka 2010 kurudi yalikua makubwa halafu hayaogopi sema sijawahi yaani kumpendaga mwanafunzi km mpenzi.
[emoji23][emoji23]
Unawezakuta ulikua unawaelewa sema unakaza Moyo tu!!
 
Hii ya kwangu sijui ni masihara au vipi.

Kulikuwapo binti fulani mitaa niliyopanga hatukuwahi kuwa na mazoea yoyote zaidi ya salamu na sikuwaza kuja kumla hata kidogo maana nilikuwa nina mchumba ambaye nampenda na sikuwa na tamaa ya ngono kwa mademu wengine maana mchumba wangu alikuwa ananitimizia kila nilipohitaji.

Basi nikaendelea na uaminifu kwa mchumba wangu mpaka siku niliyokuta anachat kimapenzi na bwana mwingine ambaye walikuwa mpaka wanatumiana nauli wakutane mikoani.Hasira za kufumania text za mapenzi kwa mchumba angu zikanifanya niwaze kisasi kwake japo nilishaamua kumuacha,kisasi hiko kikanifanya niwale mpaka ndugu zake wawili waliokuwa wananipigia simu ili kuleta suluhu ili uchumba usivunjike.

Basi siku ya kwanza tu ya kugundua usaliti sikulala kwa mawazo na hasira huku nikiwa nawaza jinsi ya kulipiza kwa mchumba angu,ndipo akilini nikamuwaza binti jirani ambaye alikuwa hapiti bila kunisalimia. Nikapiga hesabu za fasta jinsi ya kumpata huyo jirani japo Sina mazoea nae zaidi ya salamu tu. Sijui ujasiri wa kwenda kumuulizia kwao niliutolea wapi,kufika nikamkuta mdada wa makamo aliyejitambulisha ni shangazi yake. Nikaeleza shida yangu kuwa namuhitaji huyo binti maana sijamuona muda wa kama wiki mtaani,yule dada akashangaa nikajifanya sijali huku nazidi kujipa ununda ambao sijazaliwa nao kabisaaa[emoji3][emoji3][emoji3]kusalitiwa kubaya jamani.
Yule dada akasema kuwa huyo bint hayupo kaenda kwa dada yake sehemu flan iv nje ya jiji la dar,nikaomba mawasiliano yake akagoma akidai haijui Nia yangu,nikazidi kusisitiza maana kwa jinsi tulivyokuwa tunaongea hakuonyesha kuwa na misimamo ya kishangazi kabisa. Nikaendelea kukaza huku akitaka kujua lengo langu hasa Ni nini huku akiomba kujua Kama mie ni mkwewe[emoji3] mwishowe akanipa namba ya bintiye huku akinipa baadhi ya mikwara ambayo kwangu niliona kama utani.

Nilipopiga ile namba muda ule haikupatikana,nikatuma text ili akiipata inipe notification niruke hewani. Mida ya mchana nikampata hewani,nikajitambulisha kidogo akanielewa,nikamuomba tuonane akawa anasita akidai hajanizoea na hajui dhamila yangu,nikamtoa wasiwasi kuwa sitomdhuru kwa chochote maana ninapoishi ni jirani na kwa shangazi yake so hata akipiga kelele ndugu zake watakuja[emoji3]akawa ananiomba aje weekend Ila nikamkazania sana aje siku hiyohiyo (sijui kwanini nilikuwa mtukutu ghafla[emoji3]) mwishowe akakubali nikamtumia nauli na baada ya masaa ma3 akawa amefika huku nikimpitishia mlango wa nyuma kwa siri wanaomjua wasimuone. Vile kukubali tu kuja room kwa Siri nikawa nimejihakikishia ushindi,alivyopata ndani nikajiongelesha kidogo akawa hataki kukaa kwa bed na sikuwa na kiti wala stuli kipindi hiko. Vile kubembelezana nikajikuta namgusagusa maeneo hatari akawa ananikataza huku akijitahidi sauti yake isisikike nje,nikazidi kumfanyia fujo na mwishowe akaelekea kibla. Nilimla kwa hasira sana maana sikutegemea kumpata kirahisi na wakati nafanya nilikuwa naona Kama ndo namfanya mchumba angu msaliti,Basi nilimpelekea Moto wa wa ajabu mpaka akaomba poo.
Tulikaa room mpaka usiku sana huku huduma zote tukizimalizia humoho room,nakumbuka nilimpikia wali nyama,Basi alinisifia kwa vingi jirani yake na ndo ikawa mwanzo wa kulianika hadharani penzi letu.
Nini kilifuata baadae? Hatma ya mchumba wako ilikuwaje?
 
Naendelea na sehemu ya pili ya jinsi nilivyokula shemeji zangu baada ya kusalitiwa na dada yao.

Baada ya kumla kimasihara yule jirani yangu siku 1 baada ya fumanizi kwa mchumba angu penzi letu jipya na jirani yangu likawa sio siri japo najua nilikuwa nae sababu ya hasira tu. Bado mchumba angu alikuwa ananipigia kuomba msamaha kila siku na hakuacha kunitumia text kila uchwao ili kunipoza moyo wangu,hakika nilimchukia maana nilikuwa msafi kwake muda wote niliokuwa nae kimapenzi.

Alipoona mbinu zake za kuniomba msamaha hazisaidii na kila alipokuja nilikuwa namtimua na kumuonyesha live kuwa nina mwengine akaamua kuwashirikisha ndugu zake ambao kwake Ni Kama marafiki maana hawakupishana sana umri japo yeye ndo mkubwa wao.Muda wote huo hatukuwahi kuwaambia wakubwa wetu kuhusu mgogoro wa uchumba wetu.

Siku 1 nikapokea text ya shemeji yangu mdogo aliyeomba tuzungumze kuhusu dada ake,nikajaribu kuchat nae nikagundua kuwa hakuwa akijua undani wa mgogoro wenu maana dada ake alimficha. Nikiwa bado na hasira nikaomba nionane nae ili nimueleze kila kitu (hapa nikiri kuwa nilimpenda vibaya mno yule mchumba wangu sikuweza kumsahau kirahisi japo nilishaamua kutomrudia)
Jioni ilipofika nilikutana na Shem wng,nikamueleza Mambo mengi ambayo hakuwahi kujua kuhusu ndugu yake,alinihurumia sana na nguvu ya kumuombea msamaha hakuwa nayo kabisaaa,tangu tumefika pale restaurant ni mie tu ndo nilikuwa muongeaji mkuu huku yeye akibaki kuguna na kushangaa kwa kila nisemalo,ktk maongezi yng yote sikusema km tayari natoka na dem jiran yng,nkawa nalia upweke tu na kuumizwa moyo. Shem alikuwa deep kuchanganua story zangu mpaka mida ya jioni iv nikawa namsindikiza arudi kwao ambako hata kwa mguu kunafikika kama huna haraka.

Wakati tunaongea huku namsindikiza nikawa nashangaa shem Ni mpole sana na amezidi huzuni,basi nikaanza kumdadisi kujua undani wa ukimya wake,nikamsogelea karibu kutaka kujua bado hakuwa akisema chochote nikawa nambembeleza aniambie tatizo nini. Vile kumsogelea kwa ukaribu fikra zangu zikawa zimebadilika na kujihisi tamaa ikiutawala mwili wangu + kile kiharufu kizuri anachonukia nikawa nishachanganyikiwa.

Huku tukiwa tumesimama gizani pembezoni mwa uwanja wa mpira ambako kuna kanjia nikawa namshikashika mabega na mikono huku akiwa hanizuii chochote nikajikuta namsogeza kifuani na kuanza kumlamba baadhi baadhi ya maeneo,muda wote huo hakuwa akibisha kwa lolote mpaka nilipoanza kumpiga deep kiss na bado akawa ananisapoti huku akiongea maneno ambayo siyaelewi na kunifanya nizidi kudata nae.

Akili zikanirudia kidogo na kuiona hatari iliyopo kama ningezidi kuendelea maana mtoto hakuwa akinipinga kwa kila nifanyacho. Nikamuachia na kuendelea na safari huku wakati huo maongezi yakibadilika na kuanza kumsifia utamu wake. Nikamfikisha mpaka kwao Kisha nikarudi kwangu. Usiku tulichat sana huku tukitiana nyege kwa vineno mbalimbali huku nikimlazimisha akubali kuja ghetto asubuhi. Akakubali kuonana nami lkn kwa sharti isiwe ghetto kwangu nitafute sehemu nyingine,nikakubali na kumuelekeza lodge flan karibu na stendi kuu ya mkoa.

Kulipokucha wala sikuwa na mambo mengi nikaenda eneo la tukio na kulipia room na haikupita muda shem akaja. Tulishinda tukipeana raha humo ndani huku nikifurahia kisasi changu kwa nduguye,tulipanga mengi na jinsi ya kuendelea kula tunda bila kujulikana. Nashukuru tu alishakubali tulane kisiri mpaka nitakapopata mtu mwingine permanent. (Alisharidhia nimuache dada ake kabisa na alimuita malaya kwa kuwa na tamaa nje wakati mie namuhudumua vingi[emoji3])

Nitarudi tena kuwaeleza nilivyomla binamu yao kwa kesi hiyohiyo
 
Yule mtoto naye vipi?
Yule mtoto bhana tuliendelea na raha zetu mpaka nikawa natamani kumchumbia pia japo kidonda cha moyo kilikuwa hakijapona. Baada ya muda niligundua ana dalili za ujauzito na nikifurahia sana. Nikamshauri tukapime tujue akakubali,majibu yalitoka kuwa ana ujauzito wa miezi mitatu wakati mie ndo Kwanza nakaribia kutimiza mwezi wa pili tangu kuwa nae. Ikabidi aseme tu kuwa alikuwa na jamaa ambaye aliamua kumuacha baada ya kuona u-serious wangu kwenye mapenzi,so ikabidi tu ampelekee tumbo lake jamaa. Wameoana tayari [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Yule mtoto bhana tuliendelea na raha zetu mpaka nikawa natamani kumchumbia pia japo kidonda cha moyo kilikuwa hakijapona. Baada ya muda niligundua ana dalili za ujauzito na nikifurahia sana. Nikamshauri tukapime tujue akakubali,majibu yalitoka kuwa ana ujauzito wa miezi mitatu wakati mie ndo Kwanza nakaribia kutimiza mwezi wa pili tangu kuwa nae. Ikabidi aseme tu kuwa alikuwa na jamaa ambaye aliamua kumuacha baada ya kuona u-serious wangu kwenye mapenzi,so ikabidi tu ampelekee tumbo lake jamaa. Wameoana tayari [emoji3][emoji3][emoji3]
aisee hii kiboko, kwahyo dem kapeleka tumbo lake kwa jamaa
 
Yule mtoto bhana tuliendelea na raha zetu mpaka nikawa natamani kumchumbia pia japo kidonda cha moyo kilikuwa hakijapona. Baada ya muda niligundua ana dalili za ujauzito na nikifurahia sana. Nikamshauri tukapime tujue akakubali,majibu yalitoka kuwa ana ujauzito wa miezi mitatu wakati mie ndo Kwanza nakaribia kutimiza mwezi wa pili tangu kuwa nae. Ikabidi aseme tu kuwa alikuwa na jamaa ambaye aliamua kumuacha baada ya kuona u-serious wangu kwenye mapenzi,so ikabidi tu ampelekee tumbo lake jamaa. Wameoana tayari [emoji3][emoji3][emoji3]
Hii noma mkuu..!!
sema mtoto wa mwenzio nikama mtoto wako, ungemlea tu mkuu
 
Back
Top Bottom